Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

1. Khadija Omar Kopa (khadija kopa) = Mzenji
2. Mzee Yussuf = Mzenji
3. Khadija Yussuf = Mzenji
4. Hammer Q = Mzenji
5. Ali Toli (AT) = Mzenji
6. Lil geto wa akhenato record = Mzenji
7. Nedy Music = Mzenji
8. Khalid Mohd (TID) = Mzenji
9. Issa Matona (marhum) = Mzenji
10. Omar Kopa (marhum) = Mzenji
11. Salama Jabir = Mzenji
12. Meena Ally wa clouds = Mzenji
13. Sharifa (comedian anayeishi USA) = Mzenji
14.Lamar (producer wa fish crab) = Mzenji
15. Kaliser (model) = Mzenji, japo kaloweya sana temeke kwa aziz ali.
16. Zungu (dancer wa diamond) = Mzenji
17. Feisal (fey) toto = Mzenji
18. Riyama Ally = Mzenji ila kaloweya sana dar
19. Nisha Jabu (bongomovie) = Mzenji ila kaloweya sana dar
20. Khadija Mnoga (kimobitel) = Mzenji ila kwao sidhani kama atarudi tn.
21. Jamila (baby J) = Mzenji
22. Sultan King = Mzenji

nikiwakumbuka wengine nitawalist...

Huko Zenji nyie hamna makabila?
 
Mr.nice....mchaga
Barnaba boy...mchaga
Master jay..mchaga
Nandy...mchaga
Diamond...mchaga
Niki wa pili...mpare
Kitaulo.... Mchaga
Mshana jr...mchaga
Kifudilo...mchaga
Mbowe...mchaga
Lema... Mchaga
Basili mramba...mchaga
 
Generally hakuna makabila ila kuna lahaja...japo huwa kuna vijikabila ambavyo watu hujinasibisha navyo kutokana na koo za mababu zao au asili ya mababu zao...Na kimsingi wazanzibari asili ni WASHIRAZI na hili ndio kabila pekee linalotokea kwenye vyeti vyetu vya kuzaliwa.
Watumbatu...wale washirikina, ni kabila hilo.
 
Mbona sioni WAMATUMBI wakina mbonde!!
Anita Ngombale - Mwiru
Presenter kipindi kinaitwa the trend
Chemical wa Kilwa so anaweza kua mmatumbi
Alaf Mbonde lipo makabila mawili matumbi na ndengereko
 
foby - mngoni

producer mr. t touch - mngoni

producer C9 kanjenje - mngoni

marehemu mangwea - mngoni

mrisho mpoto - mngoni

prof. jay - mngoni.

walter chilambo - mngoni.

marehemu D. Rob wa kwanza Unit - mngoni

jokate(aliwahi kuwa mwanamziki) - mngoni.

marehemu john komba - mngoni

cosmas chidumule - mngoni

mwanamziki wa zamani wa Rnb mr. paul - mngoni.
 
Back
Top Bottom