Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Watu wa pwani Wana hela mkuu, usafiri wa umma pale Dar asilimia kubwa wao ndio wamewekezaDuh! hadi zaramoz wana mpunga mrefu, leo ndo nimeamini biashara ya ubuyu na vitumbua uswazi inalipa......
Umesahau ule uzi wako ulioonyesha kwamba huna akili.Wanyaturu tunaongoza kwa akili TANZANIA NZIMA
ingekuwa makabila yote yanafanana kwa tabia zao tungesema kweli ukabila hauna haja ya kuuzungumziaHuu ukabila nyerere aliukataa
Halafu wachaga banah yani sio kwa wanaume pekee hata wanawake yani kuna wanawake nao ni majembe kwa kweli chagaz noma yani w kuitafuta tu tunaweza kwa kweli wachaga hoi hoi hoi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha mwamba ngomaWanyaturu tunaongoza kwa akili TANZANIA NZIMA
Wazaramo??? You are not serious
Yaani Mbwiga Mbwiguke ana hela kwelo??? my foot!!!
Kwa wanyiramba sina uhakika sana ila yanependa sifa sana afu wanagawa sana papaMakabila yenye idadi kubwa ya watu wenye mpunga mwingi
1. Chagaz
2.Kingaz
3. Zaramoz
Makabila yaliyofulia zaidi
1.Gogoz
2. Kondez
3. Nyirambaz n Iraqis
Huu ni ukweli na Wala haihusiani na kuwa mbaguz Mimi ni mhehe Kama kigogo