Makabila yanayoongoza kwa watu wengi wenye kipato kidogo na kikubwa nchini

Makabila yanayoongoza kwa watu wengi wenye kipato kidogo na kikubwa nchini

Duh! hadi zaramoz wana mpunga mrefu, leo ndo nimeamini biashara ya ubuyu na vitumbua uswazi inalipa......
Watu wa pwani Wana hela mkuu, usafiri wa umma pale Dar asilimia kubwa wao ndio wamewekeza
 
Shida ya wachaga sifa za kijinga. Wengi bado ni maskini wa kutupwa. Tunawajua, acheni sifa za kipuuzi mmefanya utafiti wapi nammetumia njia ipi.

Halafu wachaga banah yani sio kwa wanaume pekee hata wanawake yani kuna wanawake nao ni majembe kwa kweli chagaz noma yani w kuitafuta tu tunaweza kwa kweli wachaga hoi hoi hoi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sa wakinga ukiwahesabu tanzania nzima hawafiki hata laki 5
 
Mmea wa Arusha ni balaa. Angalia alichoandika mwenye huu uzi ! Ni shida
 
Makabila yenye idadi kubwa ya watu wenye mpunga mwingi
1. Chagaz
2.Kingaz
3. Zaramoz

Makabila yaliyofulia zaidi
1.Gogoz
2. Kondez
3. Nyirambaz n Iraqis

Huu ni ukweli na Wala haihusiani na kuwa mbaguz Mimi ni mhehe Kama kigogo
Kwa wanyiramba sina uhakika sana ila yanependa sifa sana afu wanagawa sana papa
 
Acha unafiki na kudanganya watu wazaramo wanapesa???!!!waache kucheza ngoma zao??!!
Makabila yenye pesa ni haya
1 wahaya
2 wanyakyusa
3 wachaga
4 wakinga
Wamasai
Wengine wanajikongoja ni ukweli bila chenga fanya tafiti
 
Kuna watu wana pesa Tanzania...

Lkn hakuna kabila lenye pesa Tanzania!

Kila mtu atafute pesa zake.

Acheni shobo na pesa za watu!!
 
Back
Top Bottom