Dodoma messengers
JF-Expert Member
- Aug 28, 2019
- 565
- 902
Nasikiaga ni wafupi wa kimo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nianze 'Kuwakaza' Mademu zao Mmoja baada ya mwingine na nikimaliza nitawapeni mrejesho ni Mademu wa Kabila lipi ( gani ) ndiyo Watamu zaidi.Morogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake
1. Halmashauri ya Morogoro: hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni; Waluguru, Wakwere, Wakutu, na Wazaramo
2. Morogoro Mjini: hapa wenyeji ni Waluguru.
3. Wilaya ya Kilosa: Wenyeji hapa ni Waluguru, Wakaguru, Wasagara, na Wazigua japo sio wengi, Wavidunda,
4. Mvomero: Waluguru, Wazigua (Wazigua wanapatikana kwa wingi hasa Turiani), Wasagara.
5. Kilombero; Wanapatikana Wandamba, Wapogoro, Wambunga, Wabena ( wanapatikana eneo kunaitwa Mbingu Ifakara)
6. Ulanga; Wapogoro
7. Malinyi; wanapatika Wapogoro na Wandamba .
Kama kuna kabila nimelisahau nitashukuru mkinikumbusha...maana morogoro kuna makabila mengi na mengine sio maarufu sana. Ahsanteni
Pia mgeta, mlali, Kisaki.Kilosa wenyeji hasa ni wasagara, wakaguru na wavidunda ambao wanapatikana hasa pale KIDODI
Kwa waluguru kuwa ni wenyeji wa kilosa hapo umetuokota waluguru wanapatikana hasa wilaya yao mama yenye asili yao Huko MOROGORO VIJIJINI. matombo , kolelo nk
Wasukuma umewasahau..shame on you.Morogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake
1. Halmashauri ya Morogoro: hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni; Waluguru, Wakwere, Wakutu, na Wazaramo
2. Morogoro Mjini: hapa wenyeji ni Waluguru.
3. Wilaya ya Kilosa: Wenyeji hapa ni Waluguru, Wakaguru, Wasagara, na Wazigua japo sio wengi, Wavidunda,
4. Mvomero: Waluguru, Wazigua (Wazigua wanapatikana kwa wingi hasa Turiani), Wasagara.
5. Kilombero; Wanapatikana Wandamba, Wapogoro, Wambunga, Wabena ( wanapatikana eneo kunaitwa Mbingu Ifakara)
6. Ulanga; Wapogoro
7. Malinyi; wanapatika Wapogoro na Wandamba .
Kama kuna kabila nimelisahau nitashukuru mkinikumbusha...maana morogoro kuna makabila mengi na mengine sio maarufu sana. Ahsanteni
Nikweli asili ya watu wa moro ni wafupi sana..nadhani ile milima.Nasikiaga ni wafupi wa kimo.
Hao watani zetu tunawaita wabara ( wakuja) sio wenyeji wa asili wa morogoro japo KWA idadi ni wengi sana. Hasa kisaki, mvua na ifakaraWasukuma umewasahau..shame on you.
#MaendeleoHayanaChama
Pia mgeta, mlali, Kisaki.
Yah [emoji23]wavidunda wanaishi hasa mlimani , kilombero road watata Sana haoWavidunda hatari Sana hao watu. Waligoma kuhama kupisha ujenzi wa bwawa la Kidatu wakahamia milimani wakafanya yao Hadi serikali kupitia Tanesco ikaingia nao mkataba. Inawasafirisha mara 2 Kila wiki kwenda mjini kupeleka mazao Yao Sokoni na kuwarudisha jioni, matibabu bure.
Hapana wahehe ndio chimbuko la waluguluKumbe Wagogo ndio walioyazaa Makabila ya Kikaguru na Waluguru?
Morogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake
1. Halmashauri ya Morogoro: hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni; Waluguru, Wakwere, Wakutu, na Wazaramo
2. Morogoro Mjini: hapa wenyeji ni Waluguru.
3. Wilaya ya Kilosa: Wenyeji hapa ni Waluguru, Wakaguru, Wasagara, na Wazigua japo sio wengi, Wavidunda,
4. Mvomero: Waluguru, Wazigua (Wazigua wanapatikana kwa wingi hasa Turiani), Wasagara.
5. Kilombero; Wanapatikana Wandamba, Wapogoro, Wambunga, Wabena ( wanapatikana eneo kunaitwa Mbingu Ifakara)
6. Ulanga; Wapogoro
7. Malinyi; wanapatika Wapogoro na Wandamba .
Kama kuna kabila nimelisahau nitashukuru mkinikumbusha...maana morogoro kuna makabila mengi na mengine sio maarufu sana. Ahsanteni
Kilosa wenyeji hasa ni wasagara, wakaguru na wavidunda ambao wanapatikana hasa pale KIDODI
Kwa waluguru kuwa ni wenyeji wa kilosa hapo umetuokota waluguru wanapatikana hasa wilaya yao mama yenye asili yao Huko MOROGORO VIJIJINI. matombo , kolelo nk
Wavidunda hatari Sana hao watu. Waligoma kuhama kupisha ujenzi wa bwawa la Kidatu wakahamia milimani wakafanya yao Hadi serikali kupitia Tanesco ikaingia nao mkataba. Inawasafirisha mara 2 Kila wiki kwenda mjini kupeleka mazao Yao Sokoni na kuwarudisha jioni, matibabu bure.
Umesahau makabila yafuatayo:-Morogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake
1. Halmashauri ya Morogoro: hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni; Waluguru, Wakwere, Wakutu, na Wazaramo
2. Morogoro Mjini: hapa wenyeji ni Waluguru.
3. Wilaya ya Kilosa: Wenyeji hapa ni Waluguru, Wakaguru, Wasagara, na Wazigua japo sio wengi, Wavidunda,
4. Mvomero: Waluguru, Wazigua (Wazigua wanapatikana kwa wingi hasa Turiani), Wasagara.
5. Kilombero; Wanapatikana Wandamba, Wapogoro, Wambunga, Wabena ( wanapatikana eneo kunaitwa Mbingu Ifakara)
6. Ulanga; Wapogoro
7. Malinyi; wanapatika Wapogoro na Wandamba .
Kama kuna kabila nimelisahau nitashukuru mkinikumbusha...maana morogoro kuna makabila mengi na mengine sio maarufu sana. Ahsanteni
Shukrani mkuu kwa nyongeza, wangindo wanapatikana Kilosa. Hivi kuna tofauti Kati ya Wabena na Wabena manga? Nadhani kiuhalisia moro inatakiwa kuwa namba moja kwa kuwa na MAKABILA mengiUmesahau makabila yafuatayo:-
1. Wandwewe.
2. Wangindo
3. Wabenamanga
Wandwewe wapo wilaya gani mkuu?Umesahau makabila yafuatayo:-
1. Wandwewe.
2. Wangindo
3. Wabenamanga
Wapo Ulanga na Malinyi. Ila wapo wachache hadi wanajuana.Wandwewe wapo wilaya gani mkuu?
Shukrani kaka, kweli moro kuna makabila mengiWapo Ulanga na Malinyi. Ila wapo wachache hadi wanajuana.