Makabila yanayopatikana Morogoro na wilaya yanakopatikana

Makabila yanayopatikana Morogoro na wilaya yanakopatikana

Morogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake

1. Halmashauri ya Morogoro: hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni; Waluguru, Wakwere, Wakutu, na Wazaramo

2. Morogoro Mjini: hapa wenyeji ni Waluguru.

3. Wilaya ya Kilosa: Wenyeji hapa ni Waluguru, Wakaguru, Wasagara, na Wazigua japo sio wengi, Wavidunda,

4. Mvomero: Waluguru, Wazigua (Wazigua wanapatikana kwa wingi hasa Turiani), Wasagara.

5. Kilombero; Wanapatikana Wandamba, Wapogoro, Wambunga, Wabena ( wanapatikana eneo kunaitwa Mbingu Ifakara)

6. Ulanga; Wapogoro

7. Malinyi; wanapatika Wapogoro na Wandamba .

Kama kuna kabila nimelisahau nitashukuru mkinikumbusha...maana morogoro kuna makabila mengi na mengine sio maarufu sana. Ahsanteni
Ngoja nianze 'Kuwakaza' Mademu zao Mmoja baada ya mwingine na nikimaliza nitawapeni mrejesho ni Mademu wa Kabila lipi ( gani ) ndiyo Watamu zaidi.
 
Morogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake

1. Halmashauri ya Morogoro: hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni; Waluguru, Wakwere, Wakutu, na Wazaramo

2. Morogoro Mjini: hapa wenyeji ni Waluguru.

3. Wilaya ya Kilosa: Wenyeji hapa ni Waluguru, Wakaguru, Wasagara, na Wazigua japo sio wengi, Wavidunda,

4. Mvomero: Waluguru, Wazigua (Wazigua wanapatikana kwa wingi hasa Turiani), Wasagara.

5. Kilombero; Wanapatikana Wandamba, Wapogoro, Wambunga, Wabena ( wanapatikana eneo kunaitwa Mbingu Ifakara)

6. Ulanga; Wapogoro

7. Malinyi; wanapatika Wapogoro na Wandamba .

Kama kuna kabila nimelisahau nitashukuru mkinikumbusha...maana morogoro kuna makabila mengi na mengine sio maarufu sana. Ahsanteni
Wasukuma umewasahau..shame on you.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wavidunda hatari Sana hao watu. Waligoma kuhama kupisha ujenzi wa bwawa la Kidatu wakahamia milimani wakafanya yao Hadi serikali kupitia Tanesco ikaingia nao mkataba. Inawasafirisha mara 2 Kila wiki kwenda mjini kupeleka mazao Yao Sokoni na kuwarudisha jioni, matibabu bure.
Yah [emoji23]wavidunda wanaishi hasa mlimani , kilombero road watata Sana hao
 
Mm Nduguyo!
Fuko
Morogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake

1. Halmashauri ya Morogoro: hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni; Waluguru, Wakwere, Wakutu, na Wazaramo

2. Morogoro Mjini: hapa wenyeji ni Waluguru.

3. Wilaya ya Kilosa: Wenyeji hapa ni Waluguru, Wakaguru, Wasagara, na Wazigua japo sio wengi, Wavidunda,

4. Mvomero: Waluguru, Wazigua (Wazigua wanapatikana kwa wingi hasa Turiani), Wasagara.

5. Kilombero; Wanapatikana Wandamba, Wapogoro, Wambunga, Wabena ( wanapatikana eneo kunaitwa Mbingu Ifakara)

6. Ulanga; Wapogoro

7. Malinyi; wanapatika Wapogoro na Wandamba .

Kama kuna kabila nimelisahau nitashukuru mkinikumbusha...maana morogoro kuna makabila mengi na mengine sio maarufu sana. Ahsanteni
 
Na Mkuyuni pia WALUGURU wamejaa
Kilosa wenyeji hasa ni wasagara, wakaguru na wavidunda ambao wanapatikana hasa pale KIDODI
Kwa waluguru kuwa ni wenyeji wa kilosa hapo umetuokota waluguru wanapatikana hasa wilaya yao mama yenye asili yao Huko MOROGORO VIJIJINI. matombo , kolelo nk
 
Mkuu sema kweli!
Nlikuwa sijapatapo kuiskia hii story pamoja na kuwa Mzawa wa Morogoro
Wavidunda hatari Sana hao watu. Waligoma kuhama kupisha ujenzi wa bwawa la Kidatu wakahamia milimani wakafanya yao Hadi serikali kupitia Tanesco ikaingia nao mkataba. Inawasafirisha mara 2 Kila wiki kwenda mjini kupeleka mazao Yao Sokoni na kuwarudisha jioni, matibabu bure.
 
Morogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake

1. Halmashauri ya Morogoro: hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni; Waluguru, Wakwere, Wakutu, na Wazaramo

2. Morogoro Mjini: hapa wenyeji ni Waluguru.

3. Wilaya ya Kilosa: Wenyeji hapa ni Waluguru, Wakaguru, Wasagara, na Wazigua japo sio wengi, Wavidunda,

4. Mvomero: Waluguru, Wazigua (Wazigua wanapatikana kwa wingi hasa Turiani), Wasagara.

5. Kilombero; Wanapatikana Wandamba, Wapogoro, Wambunga, Wabena ( wanapatikana eneo kunaitwa Mbingu Ifakara)

6. Ulanga; Wapogoro

7. Malinyi; wanapatika Wapogoro na Wandamba .

Kama kuna kabila nimelisahau nitashukuru mkinikumbusha...maana morogoro kuna makabila mengi na mengine sio maarufu sana. Ahsanteni
Umesahau makabila yafuatayo:-
1. Wandwewe.
2. Wangindo
3. Wabenamanga
 
Umesahau makabila yafuatayo:-
1. Wandwewe.
2. Wangindo
3. Wabenamanga
Shukrani mkuu kwa nyongeza, wangindo wanapatikana Kilosa. Hivi kuna tofauti Kati ya Wabena na Wabena manga? Nadhani kiuhalisia moro inatakiwa kuwa namba moja kwa kuwa na MAKABILA mengi
 
Back
Top Bottom