nyabhera
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 661
- 733
Masai na Sukuma kwa kilosa, Malinyi na Ulanga ndiyo majorityWasukuma umewasahau..shame on you.
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masai na Sukuma kwa kilosa, Malinyi na Ulanga ndiyo majorityWasukuma umewasahau..shame on you.
#MaendeleoHayanaChama
Asante kwa shule.Wabena manga ndio Waluguru. Wabena, Kinga na Wahehe ndio wamezaa Waluguru. Kwa Mfano Majina kama Luvanda ni Kibena lakini Kiluguru ni Luwanda, Kibiki ni Mbiki Kiluguru, Mwenda kibena na Mwenda Kiluguru, Mabena kibena na Mbena au Kibena Kiluguru, Mgera Kibena na Mgera Kiluguru, Mzeru Kihehe na Mzeru Kiluguru, Anofu Kibena na Anogha. Kisaki Kinga na Kisaki Kiluguru, Fungo Kinga na Fungo Kiluguru. Kwahiyo Waluguru ni Wabena waliopotea. Wakaguru ni Mchanganyiko wa Waluguru na Wagogo. Wapogoro ni Mchanganyiko wa Waluguru na Wandendeule wa Namtumbo Songea.
Hili litasadia aje nnchi kupiga hatua watu wa Moro wanajiona Rai special Sana Kuna Yule mavi wa clous fm farhani kil siku kuimbamba Moro alfu fika Sasa Moro uone ushirikina wa kiluguruMorogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake
1. Halmashauri ya Morogoro: Hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni; Waluguru, Wakwere, Wakutu, na Wazaramo
2. Morogoro Mjini: Hapa wenyeji ni Waluguru.
3. Wilaya ya Kilosa: Wenyeji hapa ni Waluguru, Wakaguru, Wasagara, na Wazigua japo sio wengi, Wavidunda,
4. Mvomero: Waluguru, Wazigua (Wazigua wanapatikana kwa wingi hasa Turiani), Wasagara.
5. Kilombero; Wanapatikana Wandamba, Wapogoro, Wambunga, Wabena ( wanapatikana eneo kunaitwa Mbingu Ifakara)
6. Ulanga; Wapogoro
7. Malinyi; wanapatika Wapogoro na Wandamba .
Kama kuna kabila nimelisahau nitashukuru mkinikumbusha... maana Morogoro kuna makabila mengi na mengine sio maarufu sana. Ahsanteni
Sio kweli, mimi nilikuwa nae mmoja pale Msamvu anajituma na ana shanga kama zote.
Wakutu not wahutu. Na wanapatikana maeneo ya kisaki hukoHivi Gairo sio moja ya Wilaya za Morogoro?
Na hapo wanapatikana Wahutu wangapi?
Tujuze Ndugu.
Mkuu shanga Kama zote ni mganga wa kienyeji????Sio kweli, mimi nilikuwa nae mmoja pale Msamvu anajituma na ana shanga kama zote.
Kuna wilaya zina halmashauri mbiliNi halmashauri ya gairo, wilaya ya Kilosa...japo sina utaalam tofauti ya halmashauri na wilaya
Shukrani kwa ufafanuzi, nadhani ndivo ilivyo gairo na kilosaKuna wilaya zina halmashauri mbili
Mfano bagamoyo Ina halmashauri za chalinze na bagamoyo.
LUSHOto Ina halmashauri za lushoto na bumbuli
Chalinze tayari ni wilayaKuna wilaya zina halmashauri mbili
Mfano bagamoyo Ina halmashauri za chalinze na bagamoyo.
LUSHOto Ina halmashauri za lushoto na bumbuli
Hata Gairo ni wilaya tayari, ila zamani ilikuwa sehemu ya kilosaShukrani kwa ufafanuzi, nadhani ndivo ilivyo gairo na kilosa
Halafu wanawake wao wanaongea Kama redio lakini hawaongei point. Ni nonsense mwanzo mwisho.Waluguru ni wavivu sana
Watu mnaoishi nyumba za kupanga, mkishinda na waswahili wenzenu wa kiluguru mnaona waluguru wote waswahili waswahili. Kumbe tupe waluguru wenye uzungu mwingiHalafu wanawake wao wanaongea Kama redio lakini hawaongei point. Ni nonsense mwanzo mwisho.
Wewe jamaa wewe,tunakuona!Wapogoro wanaongea kama cherehani, na wana mambo ya kiswahili swahili kama Wazaramo vile
Mtua!Shika adabu yako, utakuwa unawafananisha wapogoro na waluguru.
Umetufananisha na wazaramo ndugu.Mpogolo hayupo dar,mpogolo yuko Ulanga,kilombelo na malinyiNamaanisha Wapogoro wala sijakosea...
Nimeishi mitaa walau miwili yenye Wapogoro, mtaa mmoja ulikuwa na kaya tatu, mtaa mwingine kaya mbili...
Kwanza wanazaliana kishenzi, wanapenda kujumuika kwenye baraza au sehemu ya mbele ya nyumba na kuanza kusimanga watu wa mtaani, wakorofi wa mipaka na wanapenda ulozi...
Wahamiaji haramu hai.Wanatusumbua sana hao.Tangu wake kila siku migogoro ya wakulima na wahamiaji haramu(wafugaji)Masai na Sukuma kwa kilosa, Malinyi na Ulanga ndiyo majority
Wivu tuHili litasadia aje nnchi kupiga hatua watu wa Moro wanajiona Rai special Sana Kuna Yule mavi wa clous fm farhani kil siku kuimbamba Moro alfu fika Sasa Moro uone ushirikina wa kiluguru
Mwakashina gwenga.Mtua!
Mm hata sijui makabila ya huko yanMorogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake
1. Halmashauri ya Morogoro: Hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni; Waluguru, Wakwere, Wakutu, na Wazaramo
2. Morogoro Mjini: Hapa wenyeji ni Waluguru.
3. Wilaya ya Kilosa: Wenyeji hapa ni Waluguru, Wakaguru, Wasagara, na Wazigua japo sio wengi, Wavidunda,
4. Mvomero: Waluguru, Wazigua (Wazigua wanapatikana kwa wingi hasa Turiani), Wasagara.
5. Kilombero; Wanapatikana Wandamba, Wapogoro, Wambunga, Wabena ( wanapatikana eneo kunaitwa Mbingu Ifakara)
6. Ulanga; Wapogoro
7. Malinyi; wanapatika Wapogoro na Wandamba .
Kama kuna kabila nimelisahau nitashukuru mkinikumbusha... maana Morogoro kuna makabila mengi na mengine sio maarufu sana. Ahsanteni