Wavidunda base yao iko kata ya vidunda,yenye vijiji vya chonwe,udung'u,itembe na vidunda yenyewe.kidodi hua wanaenda gulioni tu mkuuKilosa wenyeji hasa ni wasagara, wakaguru na wavidunda ambao wanapatikana hasa pale KIDODI
Kwa waluguru kuwa ni wenyeji wa kilosa hapo umetuokota waluguru wanapatikana hasa wilaya yao mama yenye asili yao Huko MOROGORO VIJIJINI. matombo , kolelo nk
Mngindo Yuko kusin mwa Moro...huko kwa wapogoro,sio kilosaShukrani mkuu kwa nyongeza, wangindo wanapatikana Kilosa. Hivi kuna tofauti Kati ya Wabena na Wabena manga? Nadhani kiuhalisia moro inatakiwa kuwa namba moja kwa kuwa na MAKABILA mengi
Pamoja na njombeMorogoro geographically ndio mkoa unao pakana na mikoa mingi Tanzania,Ruvuma,Iringa,Pwani,Tanga na Lindi
Ulanga pia kuna Wangindo wa kutosha bila kusahau Wamwera piaMorogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake
1. Halmashauri ya Morogoro: hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni; Waluguru, Wakwere, Wakutu, na Wazaramo
2. Morogoro Mjini: hapa wenyeji ni Waluguru.
3. Wilaya ya Kilosa: Wenyeji hapa ni Waluguru, Wakaguru, Wasagara, na Wazigua japo sio wengi, Wavidunda,
4. Mvomero: Waluguru, Wazigua (Wazigua wanapatikana kwa wingi hasa Turiani), Wasagara.
5. Kilombero; Wanapatikana Wandamba, Wapogoro, Wambunga, Wabena ( wanapatikana eneo kunaitwa Mbingu Ifakara)
6. Ulanga; Wapogoro
7. Malinyi; wanapatika Wapogoro na Wandamba .
Kama kuna kabila nimelisahau nitashukuru mkinikumbusha...maana morogoro kuna makabila mengi na mengine sio maarufu sana. Ahsanteni
Umenikumbusha kisa ch Wanyamwanga wa MbeyaWavidunda hatari Sana hao watu. Waligoma kuhama kupisha ujenzi wa bwawa la Kidatu wakahamia milimani wakafanya yao Hadi serikali kupitia Tanesco ikaingia nao mkataba. Inawasafirisha mara 2 Kila wiki kwenda mjini kupeleka mazao Yao Sokoni na kuwarudisha jioni, matibabu bure.
Shika adabu yako, utakuwa unawafananisha wapogoro na waluguru.Wapogoro wanaongea kama cherehani, na wana mambo ya kiswahili swahili kama Wazaramo vile
Umetumwa kutuchafua.Wote wale wale tu hata Wapogoro uswahili mwingi
Shika adabu yako, utakuwa unawafananisha wapogoro na waluguru.
Na wanasikiliza hao woteUlanga pia kuna Wangindo wa kutosha bila kusahau Wamwera pia
Au wapogoro wa dar hao?Namaanisha Wapogoro wala sijakosea...
Nimeishi mitaa walau miwili yenye Wapogoro, mtaa mmoja ulikuwa na kaya tatu, mtaa mwingine kaya mbili...
Kwanza wanazaliana kishenzi, wanapenda kujumuika kwenye baraza au sehemu ya mbele ya nyumba na kuanza kusimanga watu wa mtaani, wakorofi wa mipaka na wanapenda ulozi...
Shukrani kaka,Ukitaka kwenda Songea unapita Malinyi sio Mahenge, ukipita Mahenge utajikuta upo Mtwara au Lindi.
Na vipi kuhusu wavidunda? Naona kama kuna mambo mengi tunafananaWabena manga ndio Waluguru. Wabena, Kinga na Wahehe ndio wamezaa Waluguru. Kwa Mfano Majina kama Luvanda ni Kibena lakini Kiluguru ni Luwanda, Kibiki ni Mbiki Kiluguru, Mwenda kibena na Mwenda Kiluguru, Mabena kibena na Mbena au Kibena Kiluguru, Mgera Kibena na Mgera Kiluguru, Mzeru Kihehe na Mzeru Kiluguru, Anofu Kibena na Anogha. Kisaki Kinga na Kisaki Kiluguru, Fungo Kinga na Fungo Kiluguru. Kwahiyo Waluguru ni Wabena waliopotea. Wakaguru ni Mchanganyiko wa Waluguru na Wagogo. Wapogoro ni Mchanganyiko wa Waluguru na Wandendeule wa Namtumbo Songea.
Au wapogoro wa dar hao?
Correct!Wavidunda hatari Sana hao watu. Waligoma kuhama kupisha ujenzi wa bwawa la Kidatu wakahamia milimani wakafanya yao Hadi serikali kupitia Tanesco ikaingia nao mkataba. Inawasafirisha mara 2 Kila wiki kwenda mjini kupeleka mazao Yao Sokoni na kuwarudisha jioni, matibabu bure.
umeanza....Waluguru ni wavivu sana
Mboga na matunda yoote yale hamuyaoni looh!!!!umeanza....
Hapana, mkoa wa Mara ndiyo unaongoza kwa makabira mengi.Shukrani mkuu kwa nyongeza, wangindo wanapatikana Kilosa. Hivi kuna tofauti Kati ya Wabena na Wabena manga? Nadhani kiuhalisia moro inatakiwa kuwa namba moja kwa kuwa na MAKABILA mengi