Makabila yanayopatikana Morogoro na wilaya yanakopatikana

Asante kwa shule.
 
Hili litasadia aje nnchi kupiga hatua watu wa Moro wanajiona Rai special Sana Kuna Yule mavi wa clous fm farhani kil siku kuimbamba Moro alfu fika Sasa Moro uone ushirikina wa kiluguru
 
Ni halmashauri ya gairo, wilaya ya Kilosa...japo sina utaalam tofauti ya halmashauri na wilaya
Kuna wilaya zina halmashauri mbili

Mfano bagamoyo Ina halmashauri za chalinze na bagamoyo.

LUSHOto Ina halmashauri za lushoto na bumbuli
 
Halafu wanawake wao wanaongea Kama redio lakini hawaongei point. Ni nonsense mwanzo mwisho.
Watu mnaoishi nyumba za kupanga, mkishinda na waswahili wenzenu wa kiluguru mnaona waluguru wote waswahili waswahili. Kumbe tupe waluguru wenye uzungu mwingi
 
Umetufananisha na wazaramo ndugu.Mpogolo hayupo dar,mpogolo yuko Ulanga,kilombelo na malinyi
 
Masai na Sukuma kwa kilosa, Malinyi na Ulanga ndiyo majority
Wahamiaji haramu hai.Wanatusumbua sana hao.Tangu wake kila siku migogoro ya wakulima na wahamiaji haramu(wafugaji)
 
Hili litasadia aje nnchi kupiga hatua watu wa Moro wanajiona Rai special Sana Kuna Yule mavi wa clous fm farhani kil siku kuimbamba Moro alfu fika Sasa Moro uone ushirikina wa kiluguru
Wivu tu
 
Mm hata sijui makabila ya huko yan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…