Makabila yenye JUJU KALI, ndo yanatoa viongozi na wateuliwa wengi nchini. Nipe maoni yako

Makabila yenye JUJU KALI, ndo yanatoa viongozi na wateuliwa wengi nchini. Nipe maoni yako

Ahaaa Jenista Mhagama,Huvi ni mbunge wa wapi?

Naona ni Waziri miaka nenda rudi hatoki,Na sasa naona anamuandaa nasikia ndugu yake Jokate Mogelo arithi jimbo lake huko Pera Miho

Hata wale wanyaki ni pale walipoamua kustaafu tu mfano Prof Mark Mwandosya na mwenzake Prof homil Mwakyusa

Hata kule sumbawanga alikuwepo Mzee Paul kimiti na mwenzake Mzindakaya miaka nenda rudi
Peramiho ndio jimbo lake Songea huko....atamfanya Jojo awe shirkina maana huyo mama hajambo kwa kupuliza na kuua.. wenzake...kwa ndumba
 
Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Mkuu si useme tu kuwa wewe ni Mganga na huu wakati wa Uchaguzi ndiyo mnalamba maokoto ya Wanasiasa.Kwaiyo hayo Makabila ndiyo yameonekana kilingeni kwako?

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ahaaa Jenista Mhagama,Huvi ni mbunge wa wapi?

Naona ni Waziri miaka nenda rudi hatoki,Na sasa naona anamuandaa nasikia ndugu yake Jokate Mogelo arithi jimbo lake huko Pera Miho

Hata wale wanyaki ni pale walipoamua kustaafu tu mfano Prof Mark Mwandosya na mwenzake Prof homil Mwakyusa

Hata kule sumbawanga alikuwepo Mzee Paul kimiti na mwenzake Mzindakaya miaka nenda rudi
Jenista ana Mjomba wake ni Chief huko Songea,alikuja Bungeni amevaa ngozi ya chui![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Wasukuma wamezidi 10% ya nchi, wakiwa wengi kwenye nafasi za uongozi utashangaa na kusema uchawi hapo, wakati ni suala la statistics tu?
 
Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
ni kitu cha ajabu sana kwamba mwanadamu anaweza kuringia uchawi. Mungu yupo na anakuona, unaamua kuchagua uchawi na shetani badala ya kumtegemea Mungu. hii ndio hukumu ya kwanza kabisa watu watahukumiwa, kumkataa Mungu, kumsaliti Mungu wa kweli anayetupenda na kutuwazia mema mno, na wakaamua kuchagua adui wa Mungu, ushetani. hata dini zinazokubali kuwa kuna majini mabaya na mazuri hivyo ufuge yale mazuri wapo kwenye fungu hilo. dini ambazo kiongozi wao ni yule mwenye kusoma dua vizuri, mwenye uwezo wa kutengeneza jini, uwezo wa nguvu za giza, wale wale tu.

kuna siku ninyi mliovaa mahirizi, mnaoenda kwa waganga kwasababu ya ajira biashara au ulinzi, mtalia na kusaga meno na wala mtatamani heri msingelizaliwa, kwasababu mhukumu wa dunia hii atawaweka kizimbani na mtapata matunda ya yale mliyoyachagua. Heri wale wamtumainio Bwana, jueni hivi leo basi kwamba hakuna aliyemtumaini Bwana akaaibika. Biblia imesema hivyo, na Neno la Mungu ni kweli na limethibitishwa, Mithali 30:5 imeandikwa: Kila neno la Mungu limehakikishwa; Yeye ni ngao yao wamwaminio.

HEBU WEWE UNAYEMTUMAINI BWANA, TAFAKARI PAMOJA NAMI MISTARI HII YA BIBLIA. NA MUNGU AKUSAIDIE!


1. Mithali 3:5-6 “Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.”

2. Isaya 26:3-4 “Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea katika amani kamilifu, Kwa maana anakutumaini Wewe. Mtumaini Bwana milele, kwa maana Bwana, Bwana, ndiye shujaa wa milele."

3. Zaburi 9:10 “Nao wakujuao jina lako watakutumaini Wewe; Kwa maana Wewe, Bwana, hukuwaacha wakutafutao.”

4. Zaburi 37:3-5
“Mtumaini Bwana ukatende mema; Kaeni katika nchi, na mlishe uaminifu wake. Nawe utajifurahisha kwa Bwana, Naye atakupa haja za moyo wako. Umkabidhi Bwana njia yako, Pia umtumaini, naye ataitimiza."

5. Yeremia 17:7-8 “Heri mtu yule anayemtegemea Bwana, Ambaye BWANA ni tumaini lake. Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Bali jani lake litakuwa bichi, Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda.”
 
Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Wasukuma ni kwa sababu ya wingi wao tu.ktk kila watu kumi,wasukuma ni watatu.hivyo huwezi kuwakwepa kwenye jambo lolote lile.wala hakuna dawa pale.
 
Back
Top Bottom