yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,530
- 1,961
Ni asilimia 30 ya watanzania woote.sio kumiWasukuma wamezidi 10% ya nchi, wakiwa wengi kwenye nafasi za uongozi utashangaa na kusema uchawi hapo, wakati ni suala la statistics tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni asilimia 30 ya watanzania woote.sio kumiWasukuma wamezidi 10% ya nchi, wakiwa wengi kwenye nafasi za uongozi utashangaa na kusema uchawi hapo, wakati ni suala la statistics tu?
duh!Peramiho ndio jimbo lake Songea huko....atamfanya Jojo awe shirkina maana huyo mama hajambo kwa kupuliza na kuua.. wenzake...kwa ndumba
vipi kuhusu mkoa wa Tanga?Naambiwa wana akili sana.
wanyiramba wanakula nini?Makabila wanaokula samaki, parachichi, dagaa, ndizi kwa wingi wana akili sana
1. Wanyakyusa wanakula sana ndizi, parachichi, samaki
2. Wahaya ndizi, samaki na parachichi
3. Makabila ya Pwani-samaki na mazao ya baharini
4. Wachagga ndizi, parachichi
5. Pia Wanyasa na Waha wapo
Toa Wanyakyusa kwenye huo upuuziWasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Wanaroga sana hakuna sababu nyingine zaidi ya hio ni mwendo wa kucheza na matunguli tuNipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Hajawataja labda Wa-Tulia Ila wanyakyusa hakunaToa Wanyakyusa kwenye huo upuuzi
Makabila ya mikoa ya kaskazini kama Arusha, Tanga, Manyara na Kilimanjaro ina mawaziri na manaibu waziri wengi tu lkn kwavile lengo lako ni kujioshea na kuleta ukabila hujaliona hilo.Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Hakuna kabila inaitwa "wapemba", pemba ni kisiwa kinachoishi makabila tofauti tofauti.Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Hakuna kabila inaitwa "wapemba", pemba ni kisiwa kinachoishi makabila tofauti tofauti.Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
Wahaya ni hatari sana kwa juju,usijidanganye,limbwata la kihaya hutokiToka lini mhaya akamiliki juju?
Haya toa neno wapembs weka neno vichwa bapaHakuna kabila inaitwa "wapemba", pemba ni kisiwa kinachoishi makabila tofauti tofauti.
Sijawahi kusikia wanyiramba kwamba ni maarufu kwa juju
Sababu si umesema wana JUJU KALI au unataka watu waseme nn tena?Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?