Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu urefu 38ft upana 24ft ukubwa
wa nyumba yangu nipe makadirio mkuu keysersoze
Mimi sio carpenter mkuu ila najua vitu unavyohitaji kwenye estimation yako ni urefu na upana wa nyumba yako nadhani kwa hizo data ziongezee hapo juu ili upate msaada zaidi ungekuwa mtoni kuna online roof calculator inakupa bei kabisa kulingana na bei za huko
Roofing Calculator - Estimate the Cost of Any Roof in an Instant!
mbao za mita nne 2kwa4 = 75, 2kwa2 = 75 na 1kwa8 = 11. Bati za mita tatu = 73 jumla na kofia. misumari (a) ya bati = 15kg (b) 5" =6 kg, 4" = 15kg, 3" = 4 kg, 2.5" = 2 kg na 1,5" = 1 kg. (c) Kenchi waya = 6 kg.
Kwa mawasiliano zaidi email yangu ni komboemmanuel42@gmail.com
wadau wa ujenzi nawaomba munipe makadirio idadi ya mbao za 2*2 na 2*4 za kuweza kupaua mapaa manne nyumba yangu ya vyumba 5 na sebule na korido katikati yaani upana feet 24 na urefu feet 38 nitashukuru sana kwa mchango wenu.
kwanza nikushauri tumia 2*3 badala 2*2 zinaleta ufanisi wa kazi ikizingatia 2*2 za siku hizi ni kama 1.5*2.
2*4 kwaajili ya makenchi hazina shida. kwaio kwa vipimo hivyo na kama paa litakua kama ulivyosema kutakuwa na kenchi 3 nzima ambazo zitatumia mbao 8 kwa moja hivyo zitakua 24. kutakua na nusu kench 6 ambazo ni mbao 4 kwa moja.hivyo zitakuwa 24 pia. kutakuwa na mbao za mtamba panya 11. kwa hivyo 24+24+11=59 (2*2).unaweza ukaongeza 4.
na hizo za kushikia bati ziwe 26 unaweza ukaongeza 4 pia kwa hizi.
kwanza nikushauri tumia 2*3 badala 2*2 zinaleta ufanisi wa kazi ikizingatia 2*2 za siku hizi ni kama 1.5*2.
2*4 kwaajili ya makenchi hazina shida. kwaio kwa vipimo hivyo na kama paa litakua kama ulivyosema kutakuwa na kenchi 3 nzima ambazo zitatumia mbao 8 kwa moja hivyo zitakua 24. kutakua na nusu kench 6 ambazo ni mbao 4 kwa moja.hivyo zitakuwa 24 pia. kutakuwa na mbao za mtamba panya 11. kwa hivyo 24+24+11=59 (2*2).unaweza ukaongeza 4.
na hizo za kushikia bati ziwe 26 unaweza ukaongeza 4 pia kwa hizi.
Nataka kutengeneza frame za maduka around 5m kwa 20m nataka roof iwe single slope itakuwa kiasi gani full materials and labour cost
2x4 = 44 na2x2 = 32. bati Mita tatu = 53. garama za ufundi itategemea uko wapi