Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

Ni zile za migongo midogo,za rangi ya blue,mita 3 x1
 
duuh wap huko mfuko wa cement unauzwa kabei hyo
 


Kama unajipenda na kutaka jengo bora usimtumie tena huyo, anatakupiga kwenye kumalizia nyumba vibaya ambabapo haitadumu au utapata shida kurudia rudia.

Pia jitahidi sana kuonyesha unajua na ile ya kama unataka kusikia ya mwingine.

Hata vya kuongea unatoa humu kujionyesha nawe upo unayajua kumbe ujanja tu muhimu wasikulize
 

Sawa sawa kiongozi hapo nimekueleaa vizuri kabisaa na asante sana na nashukuru sanaa tena sanaaa na ndio hapo na mimi nilikuwa sijaelewa hasa inakuwaje imekuwa gharama hizo zote kwa ujumla nilijaribu kumgusia kumlipa kwa tofali akasema kwamba hapo anajenga tu tofali ila kuna kazi zingine nyingi sana kama kuweka mawe,mchanga,kushindilia na kila kitu so hapo akasema haitowezekana....so hapo itabidi niongee nae tu tufanye kazi kwa kujenga kila tofali maana nimeshanunua tofsli 2000 za msingi tayari....so hapo anawwza kufanya kwa kila tofali lets say 450 plus kuchimba kumwaga mchanga mawe na mpaka kuweka jamvi.....
 

Aiseeeee wakuuu mmenifungua kwa mambo mengi sanaa na nashukuru sanaa tena sanaaa sio kidogo asante sanaaa na ndio nilikuwa makini sanaaa toka mwanzoni kabisaaaaa na ikabidi nimekuja kuomba ushauri humu ndani so nashukuru na asante sanaa kwa mawazo mazuri.....

Na itabidi nitafute mwingine tu maana hamna tena fundi pale zaidi ya tamaaaa
 
Haya wakuu wa JF kama mna mafundi wazuri na waaminifu tafadhali wekeni number zako au nitumieni number zako tafadhali me hasaaa nilikuwa nataka kujenga msingi mpaka kupiga jamvi then nitaendelea pole pole na ikiwezekana nianze kupandisha pole pole sasa msaada unahitajika na eneo ni kigamboni.......
 


Kuwa makini na wa humu as watakuwa wameshakusoma unakotokea na kupiga dili na fundi hata aongeze chao.

Jaribu kwanza kuuliza au tembelea maeneo hayo unakojenga angalia kazi zinazokuvutia ongea na mwenyekiti wa serikali za mitaa etc wanawajuaga sana hata ambao wanaletewa malalamiko na matapeli.

pia watu wa karibu nawe ndugu na marafiki, utashangaa unao wajuao bali hujasema wakakupatia unayohitaji hata kutoka kwa watu wanaowafahamu wanajua unachotafuta.
 
Pigia garama ya boma kwanza... Yaani kiwanja, msingi, tofali , renta , misumali, cement, mchanga mbao , mabati na milango . kisha finishing utaenda nayo taratibu ukiwa usha hamia au bado .
 
Ndiyo inaweza fanyiwa marekebisho ila yasiwe makubwa sana!


jamani naomba kujuzwa kwa wale wachora ramani na wajenzi.
je inawezekana kuibadirisha ramani kwa nyumba iliyojengwa ikafika nusu halafu ikabadirishwa kwa kutumia msingi uleule??
 

nami pia nipeni gharama ya kujenga nyumba mpaka kwenye linta tofali nishapiga ukubwa wa nyumba ni 13mmx15mm ya vyumba 4 eneo lilipo ni tanga mjini.

Millioni 15 - 20

Sio 13mmx15mm, ni 13m by 15m
Mzingo wa nyumba yako ni 13+15+13+15= 56m gawanya kwa 0.45 hapo utapata ni tofali ngapi zinafanya mzunguko mmoja. Ukizidisha na kozi za nyumba utajua unahitaji tofali ngapi. Hilo ni kadirio la juu kabisa na wala usiongeze hata tofali moja kwani wakati wa ujenzi kuna milango na madirisha.
 
Habarini wakuu, mi ni technician wa civil, kwa yeyote aliye serious kufanyiwa tathimini au ushauri anaweza kuni pm!!
 

Mkuu kwa hesabu hizi si ni kama anajenga darasa kwa hiyo akipiga hiyo hesabu anapata idadi ya tofali za kumaliza darasa
 

Kuna gtoup moja facebook linaitwa "Ujenzi zone"

Kuna mengi, maswali na majibu, ushauri etc


Itakupa moyo pia
 
Kuna gtoup moja facebook linaitwa "Ujenzi zone"

Kuna mengi, maswali na majibu, ushauri etc

Itakupa moyo pia

Hilo group nimeona humo ndani kuna kila kitu naonaaaa....mafundi umeme kil kitu nashukuru sanaa hatua kwa hatua tutafila tu bila kujali au kukata tamaaaa.....asante sana cocochanel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…