Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

Huu Uzi Jamani
Katika Ujenzi
Ni vyema kuweka miundombinu ya kisasa kama vile umeme, simu (intercom), nyaya za televisheni, Kiyoyozi, na hata Data.

Kwa mjuzi wa haya Mambo waya za data,simu wkt wa wiring zinawekwa/kujengewa sehemu gani pale nyumbani
 
Shilling 200,000,000/-
 
Mwisho mwa maelekezo yako umeenda vzr Sana, hapo mwanzoni sijui ulikuwa unaandika ukiwaza papuchi?? Haya Mambo yaende taratibu...nimegombana na shemeji it enzi hizo najenga, kwamba tunajenga kwa mshahara wa kila mwezi akabisha. Mzee laki mbili mbili tu ilimaliza nyumba enzi hizooo sio leo. Weka malengo kuwa na subra, ishi kwa urefu wa kamba yako, acha Tamaa ya mijengo Anza taratibu
 
Kama hela ni ya kuunga unga Ujenzi ni mchakato mrefu asee,mi mwenyewe nimebaki nimeduwaa tu nawaza pa kuanzia
 
Kama hela ni ya kuunga unga Ujenzi ni mchakato mrefu asee,mi mwenyewe nimebaki nimeduwaa tu nawaza pa kuanzia
Mkuu nishakusoma kasoro uliyonayo.

Aidha unatamaa
Na umekata Tamaa ya kuishi na maisha

Huna malengo Ila una ndoto.

Kukisaidia.....Anza kubadili tabia. Unajua choo? Fikiria kuanza hata na choo Ni lengo, Anza na chumba kimoja. Angalia vzr Kama una umri wa chini ya 30 au 40 yawezekana huna majukumu laiti ungekuwa na majukumu hata chumba kimoja tu ungeishi ukiwa unajipanga

Kwanza Anza na kiwanja, usiogope kununua ndani ndani ambako watu wanapakimbia, jua hapo ndiyo penyewe.

Watanz hawataki kujiandaa. Jiandae kwa kuishi mbali ili uje upate eneo kubwa la kuishi badala ya kufikiria juu Sana wakati hujaandaa
 
Huku mikoani kama shinyanga, geita, musoma na katavi cement ni Tsh 19,000/=
 
ukubwa wa kiwanja kiasi ukoje na una kiasi gani cha fedha bajeti
 
M10 tu inatosha gharama kubwa hapo bati na mbao Labda na fundi tofar flatulsha tanul hata 3 kisha uza mbil tumia moja
 
Kwa makadilio hayo ya m50/zenu watumishi wa umma wasingejenga Mbona manake hata mkopo wa bank haufik
 
M10 tu inatosha gharama kubwa hapo bati na mbao Labda na fundi tofar flatulsha tanul hata 3 kisha uza mbil tumia moja
Kamanda asante kwa mchango wako mi si mwenye uzi ila nimekubali umepanua sana uwanja wa kufikiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…