Makadirio ya ujenzi Contemporary ya room 3

Nahisi hizi roofless wanazikosea mtu anajenga akifika kwenye kuezeka ndoa anawaza roofless. Nimeona jamaa anajenga hapa jirani yani toka msingi nyumba inaandaliwa njia za maji kupita wanamwaga zege bomba za kupitisha maji zinapita kwenye nguzo za nje hadi chini.
 
Ramani yako ni nzuri sana kwa family house. Kama kiwanja kiko level ground, halafu uwe na usimamizi mzuri usiobabaisha, hapo m65 mpaka m70 zinakamilisha nyumba yote, ila usipokuwa na usimamizi mzuri, andaa mpaka m90
 
Hii ramani ni za wakuu wa idara na maded ingia website ya tamisem utakuta kila kitu wamechanganua apo (schedule of materials) ukishindwa nicheki +255757552515
 
Ni sahihi sema zile gharama na ujenzi wao ni wa kiwango cha juu sana. Nahitaji kupunguza at least kuendeana na vipato vyetu vya kudundiliza.. Nitakucheki mkuu naamini kuna namna ya kuadjust au sio?
Karibu sana nicheki tufanye kazi
 
Mkuu hii ramani inatoshea kwenye eneo la sqm ngapi?
 
Ramani nzuri, design nzuri, hapo ni wewe na constructors wako tu, usimamizi mzuri hasa kwenye hiyo roof utakupa kitu kizuri. 190sqm ni nyumba kubwa(kwa viwango vyetu)
Mkuu kuuliza ni ujinga, umejuaje kuwa ni 190sqm? Na je nikiwa na eneo la 111.5sqm kipi nipunguze itoshee nyumba kama hiyo?
 
Nyumba yenye Sqm 189 ujenge kwa 40m,??
Haya yatakuwa maajabu ya dunia
 
Nyumba yenye Sqm 189 ujenge kwa 40m,??
Haya yatakuwa maajabu ya dunia
Mkuu kuuliza ni ujinga, umejuaje kuwa ni 189sqm? Na je nikiwa na eneo la 111.5sqm kipi nipunguze itoshee nyumba kama hiyo?
 
Eneo unalotarajia kufanya ujenzi litasaidia pia makadirio ya gharama,nataraji wajuzi wa mambo haya mtatoa mchango kwa nia njema ya udungu wa Kitanzania.
 
Mkuu kuuliza ni ujinga, umejuaje kuwa ni 189sqm? Na je nikiwa na eneo la 111.5sqm kipi nipunguze itoshee nyumba kama hiyo?
Nimefanya calculation mkuu ,
Mimi ni Injia by professional
 
Mkuu kuuliza ni ujinga, umejuaje kuwa ni 189sqm? Na je nikiwa na eneo la 111.5sqm kipi nipunguze itoshee nyumba kama hiyo?
Nimefanya calculation mkuu ,
Mimi ni Injia by professional
Mkuu kuuliza ni ujinga, umejuaje kuwa ni 189sqm? Na je nikiwa na eneo la 111.5sqm kipi nipunguze itoshee nyumba kama hiyo?
Na kwa ukubwa wa kiwanja chako hutaweza kujenga nyumba kama hyo.

Njia pekee either upungunze ukubwa wa nyumba,seble na baadhi ya vitu lakini sioni kama itapungua sana .
 
Nimefanya calculation mkuu ,
Mimi ni Injia by professional
111.5sqm naweza jenga contemporary ya vyumba vitatu(master moja), dining, kitchen na public
Nimefanya calculation mkuu ,
Mimi ni Injia by professional

Na kwa ukubwa wa kiwanja chako hutaweza kujenga nyumba kama hyo.

Njia pekee either upungunze ukubwa wa nyumba,seble na baadhi ya vitu lakini sioni kama itapungua sana .
Nataka kama hii
 

Attachments

  • IMG-20240702-WA0001.jpg
    25.4 KB · Views: 9
Nimefanya calculation mkuu ,
Mimi ni Injia by professional

Na kwa ukubwa wa kiwanja chako hutaweza kujenga nyumba kama hyo.

Njia pekee either upungunze ukubwa wa nyumba,seble na baadhi ya vitu lakini sioni kama itapungua sana .
Inawezeka kweli gharama za ujenzi zikawa juu kwa mikao kama Morogoro, Tanga , lindi , kilimanjaro na Arusha kuliko Dar es salaam ?
 
111.5sqm naweza jenga contemporary ya vyumba vitatu(master moja), dining, kitchen na public

Nataka kama hii
Gharama za ujenzi zinategemea sana na total square meters za jengo lako,
The more sqm znakuwa nyingi the more gharama za ujenzi wa jengo lako znakuwa kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…