Makala mengi kuhusu Freemason yanatofautiana sana. Naamini hakuna mwenye concrete info juu yao. Hii ni ishara jinsi gani FM walivyo na weledi mkubwa.

Makala mengi kuhusu Freemason yanatofautiana sana. Naamini hakuna mwenye concrete info juu yao. Hii ni ishara jinsi gani FM walivyo na weledi mkubwa.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Tena unaweza kuta hata hawajiiti Freemason 😂

Yani sisi tuendelee na wale freemason wetu wa "kujiunga freemason 5000" 😂

Anyway,

Kujua info ya mtu ni kummudu, namaanisha kama hawa jamaa wangejulikana kwa kina kuhusu utendaji wao basi ingekuwa rahisi wao kuwa infiltrated na kuwa dis-organized ila miaka na miaka wameendelea kuwa prolific na haujawahi sikia scandal yoyote juu yao.
 
Tena unaweza kuta hata hawajiiti Freemason 😂

Yani sisi tuendelee na wale freemason wetu wa "kujiunga freemason 5000" 😂

Anyway,

Kujua info ya mtu ni kummudu, namaanisha kama hawa jamaa wangejulikana kwa kina kuhusu utendaji wao basi ingekuwa rahisi wao kuwa infiltrated na kuwa dis-organized ila miaka na miaka wameendelea kuwa prolific na haujawahi sikia scandal yoyote juu yao.
ID yako imeibiwa au ni wewe? Unaweza kuwadis-organise Rothchilds?

Achana na Freemason hata Illuminati huwawezi.
 
Back
Top Bottom