Makala ya wazi kwa Rais Samia imfikie popote alipo na kuisoma

😀😀😀😀jitahidi uwe zaidi ya chawa mkuu ikiwezekana uwe kupe kabisa ili angalau kwenye PDF lijalo upate hata ukuu wa wilaya
 
Nilikuonya tangu mwanzo ephen_ . Nikakusihi uje kwangu nina future nzuri ya kuwa hata katibu kata, hukusikia.
Naona unajitafutia matatizo makubwa sana. Usimguse ephen wangu maana huyo ndio Mboni yangu. Namtafutia tu Madera mazuri ya CCM awe anakaa na kupendeza vizurii
 
Trash bin langu lipo wazi hii ndio takataka ya kwanza kuingia humo leo.
 
Sasa Makalla ana maajabu gani? Hata unaibu waziri hajawahi kupata, ungesema namba ya Ridhwan hapo kweli
Unaona sasa unavyopotoshwa na huyo unayemng'ang'ania??! R1 hivi sasa hana issue. Hizi ni zama za Abdul. Ndiyo maana mm nimeanza na Makalla.
 
 

Attachments

  • IMG-20240609-WA0012.jpg
    36.5 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…