Makala ya wazi kwa Rais Samia imfikie popote alipo na kuisoma

Makala ya wazi kwa Rais Samia imfikie popote alipo na kuisoma

Moderator Uzi huu unatakiwa upelekwe pale juu kwenye Ushauri na maoni Kwa SSH 🙏
Acha zako wewe. Maana naona kila siku unasemaga nyuzi zangu zipelekwe juu.kwanini wewe usiwe unaweka zako pale juu. Unaumia nini ndugu yangu mtanzania uliyejaa chuki.
 
Acha zako wewe. Maana naona kila siku unasemaga nyuzi zangu zipelekwe juu.kwanini wewe usiwe unaweka zako pale juu. Unaumia nini ndugu yangu mtanzania uliyejaa chuki.
Sio chuki,

Nyuzi za kumpongeza na kumshauri SSH zimewekewa thread maalum inayohusu Maoni,Ushauri,mapendekezo na Pongezi Kwa Rais Samia Suluhu Hassan Maxence Melo , Moderator tafadhali threads za Lucas Mwashambwa zinazomuongelea SSH na kumshauri ziungwe pale juu tafadhali🙏
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii ni makala yangu ya wazi kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan Shujaa wa Afrika,Nuru ya wanyonge,Nyota ya Matumaini na jasiri Muongoza njia.Ni makala Ya kumtia moyo,kumpa faraja,kumpa pole kwa kazi nzito afanyayo pamoja na kumuombea afya njema na nguvu za kuendelea kuliongoza Taifa letu.

Mama yangu,mama yetu ,Rais wangu ,Rais wetu nipende kusema na kuanza kwa kusema Shikamoo Mama. Rais wetu, Mamillioni ya Watanzania wanaendelea kukuombea dua njema,kukuunga mkono wewe binafsi na serikali yako. Hii ni kwa kuwa kwa mikono yako umegusa maisha ya wengi,umewafuta machozi wengi,kuwapa matumaini mamilioni ya watanzania,kuwainua wengi ,kuwapa faraja waliokuwa wamekata tamaa,kuwashika mkono waliokuwa wameanguka na kuishiwa nguvu.

Kwa macho yako ya huruma ,kwa maamuzi yako,kwa sera zako ,kwa vipaombele vyako,kwa hatua zako,ajenda zako,kwa maoni yako,kwa ucha Mungu wako,kwa utu,upendo,huruma na unyenyekevu wako umewapa nuru mamilioni ya watanzania waliokuwa gizani, umesaidia wengi kutimiza ndoto zao,umewaondoa wengi katika dimbwi la umaskini,umewaamsha na kuwapa matumaini wagonjwa wengi waliokuwa wamelala Vitandani wakiwa wamekata tamaa kutokana na hali ya umaskini na kukosa pesa za kupata matibabu,lakini wewe uliwapelekea madaktari bingwa huko huko waliko.

Kwa ulimi wako umeliunganisha Taifa,umewaleta watu pamoja waliokuwa maadui na wakaweza kuzungumza lugha moja,kwa ulimi wako na matendo yako ya haki na huruma na hofu yako kwa Mungu umewapa imani waliokuwa wamekosa Imani ya kuishi na kurejea hapa Nchini,umewahakikishia usalama wao.

Lakini Mama yangu na Rais wangu Mpendwa pamoja na hayo mazuri na mengi Mema uliyoyatenda kwa Taifa letu.Bado kuna watu kwa kukosa uungwana na shukurani,kwa chuki binafsi,kwa maslahi yao binafsi,kwa kutumiwa na kutumika na watu wenye nia ovu wamekuwa wakikushambulia kwa lugha za matusi , udhalilishaji,ubaguzi,chuki na kutweza utu wako. Wamekwenda mbali zaidi kwa kuanza kudhalilisha na kushambulia familia yako na kuihusisha na kila aina ya ubaya kwa lengo la kukuchafua na kukuchonganisha na wananchi wako wenye imani kubwa na wewe.

Lengo lao ni moja tu Rais wangu kwako. Nalo ni kwamba wanataka kukuvunja moyo,kukukatisha tamaa,kukudhoofisha,kukupunguza kasi,kukuondoa kwenye reli,kukuhamisha na kukupa ajenda zao ndio uwe mjadala wa kitaifa kwa maslahi yao.wanataka kukunyong'onyesha na kukuvuruga hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu. Wanataka wakuchosha akili na kukutikisa,kutetemesha,kukutetelesha pamoja na kukupa hofu na uoga.

Ndio sababu ya kuona wakitunga kila aina ya uzushi usio na ushahidi,kutumia lugha kali kali na mbaya pamoja na kuishambulia familia yako hasa mwanao wa kiume.

Lakini Mheshimiwa Rais Wangu Napenda kukuambia ya kuwa usiogope,usiteteleke,usiteteleshwe,usikate tamaa,usikatishwe tamaa wala kuvunjwa au kuvunjika moyo,usiumie Rais wangu maana tayari umeshaogelea katika bahari ya siasa yenye kila aina ya Mawimbi mpaka hapo ulipofika umri huo .Najuwa umepitia mengi na umekomaa na kuiva na hakuna geni kwako la kuweza kukuondoa katika reli ya kuwatumikia watanzania wenye imani kubwa na uongozi wako.

Rais wangu Mpendwa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan,Uwe Hodari na Moyo wa Ushujaa . USIOGOPE kwa kuwa Mungu aliyekuinua kwa mkono wake Hodari yupo bado na wewe.Uso wake upo na wewe na mkono wake upo juu yako na yeye yupo ndani yako.

Narudia tena kusema Mama Yangu USIOGOPE. Uwe HODARI na Moyo wa USHUJAA. MUNGU yupo pamoja na wewe.

Kikubwa nakuomba uhakikishe unaendelea kulinda Taifa letu kuendelea kuwa na amani na umoja wa kitaifa. Linda kwa uzalendo ,Wivu ,jasho na Damu kila kitu kilicho mali ya watanzania ndani na nje ya Taifa letu. Usibabaishwe na yeyote. Tumekukabidhi kila kitu mikononi mwako kikatiba. Tumekupa na kukuwekea Vyombo vyote vya ulinzi na usalama vyenye uzalendo uliotukuka na wa mfano kuwa chini yako. Vitumie na saidiana navyo kupigania na kulinda maslahi ya Taifa letu.

Ni mimi Lucas Hebel Mwashambwa. Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa.
Kila la kheri kwa rais wangu Mama samia piga kazi usiwasikilize wapiga kelele wengi wao wana udini sana
 
Sio chuki,

Nyuzi za kumpongeza na kumshauri SSH zimewekewa thread maalum inayohusu Maoni,Ushauri,mapendekezo na Pongezi Kwa Rais Samia Suluhu Hassan Maxence Melo , Moderator tafadhali threads za Lucas Mwashambwa zinazomuongelea SSH na kumshauri ziungwe pale juu tafadhali🙏
Kwani wewe unaumia nini hadi utake ikae unakotaka wewe? Inahusiana nini na vipi na hiyo iliyopo huko unakosema wewe? Inakuzuia nini wewe kuweka nyuzi zako humu? Kuna nyuzi umeandika ikakakataa kukaa na Kusomwa na watu kwasababu nimeweka yangu? Acha wivu wivu wako na hoja zisizo na mashiko.maana naona kila muda unafanya kazi ya kuhangaika na mimi badala ya kuhangaika na mambo yako. Acha ujinga na utoto wako.
 
Lucas hii ngonjera kwanini usingemuimbia mama Lucas hapo Mbozi?
Ili asikie raha kuzaa jembe
WIVU unakusumbua, ungependa akusifie wewe tu @ephen.

Hiyo ndio hatari ya kuwa na urafiri na mtu chawa!!
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
 
Kwani wewe unaumia nini hadi utake ikae unakotaka wewe? Inahusiana nini na vipi na hiyo iliyopo huko unakosema wewe? Inakuzuia nini wewe kuweka nyuzi zako humu? Kuna nyuzi umeandika ikakakataa kukaa na Kusomwa na watu kwasababu nimeweka yangu? Acha wivu wivu wako na hoja zisizo na mashiko.maana naona kila muda unafanya kazi ya kuhangaika na mimi badala ya kuhangaika na mambo yako. Acha ujinga na utoto wako.
Umekasirika?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii ni makala yangu ya wazi kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan Shujaa wa Afrika,Nuru ya wanyonge,Nyota ya Matumaini na jasiri Muongoza njia.Ni makala Ya kumtia moyo,kumpa faraja,kumpa pole kwa kazi nzito afanyayo pamoja na kumuombea afya njema na nguvu za kuendelea kuliongoza Taifa letu.

Mama yangu,mama yetu ,Rais wangu ,Rais wetu nipende kusema na kuanza kwa kusema Shikamoo Mama. Rais wetu, Mamillioni ya Watanzania wanaendelea kukuombea dua njema,kukuunga mkono wewe binafsi na serikali yako. Hii ni kwa kuwa kwa mikono yako umegusa maisha ya wengi,umewafuta machozi wengi,kuwapa matumaini mamilioni ya watanzania,kuwainua wengi ,kuwapa faraja waliokuwa wamekata tamaa,kuwashika mkono waliokuwa wameanguka na kuishiwa nguvu.

Kwa macho yako ya huruma ,kwa maamuzi yako,kwa sera zako ,kwa vipaombele vyako,kwa hatua zako,ajenda zako,kwa maoni yako,kwa ucha Mungu wako,kwa utu,upendo,huruma na unyenyekevu wako umewapa nuru mamilioni ya watanzania waliokuwa gizani, umesaidia wengi kutimiza ndoto zao,umewaondoa wengi katika dimbwi la umaskini,umewaamsha na kuwapa matumaini wagonjwa wengi waliokuwa wamelala Vitandani wakiwa wamekata tamaa kutokana na hali ya umaskini na kukosa pesa za kupata matibabu,lakini wewe uliwapelekea madaktari bingwa huko huko waliko.

Kwa ulimi wako umeliunganisha Taifa,umewaleta watu pamoja waliokuwa maadui na wakaweza kuzungumza lugha moja,kwa ulimi wako na matendo yako ya haki na huruma na hofu yako kwa Mungu umewapa imani waliokuwa wamekosa Imani ya kuishi na kurejea hapa Nchini,umewahakikishia usalama wao.

Lakini Mama yangu na Rais wangu Mpendwa pamoja na hayo mazuri na mengi Mema uliyoyatenda kwa Taifa letu.Bado kuna watu kwa kukosa uungwana na shukurani,kwa chuki binafsi,kwa maslahi yao binafsi,kwa kutumiwa na kutumika na watu wenye nia ovu wamekuwa wakikushambulia kwa lugha za matusi , udhalilishaji,ubaguzi,chuki na kutweza utu wako. Wamekwenda mbali zaidi kwa kuanza kudhalilisha na kushambulia familia yako na kuihusisha na kila aina ya ubaya kwa lengo la kukuchafua na kukuchonganisha na wananchi wako wenye imani kubwa na wewe.

Lengo lao ni moja tu Rais wangu kwako. Nalo ni kwamba wanataka kukuvunja moyo,kukukatisha tamaa,kukudhoofisha,kukupunguza kasi,kukuondoa kwenye reli,kukuhamisha na kukupa ajenda zao ndio uwe mjadala wa kitaifa kwa maslahi yao.wanataka kukunyong'onyesha na kukuvuruga hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu. Wanataka wakuchosha akili na kukutikisa,kutetemesha,kukutetelesha pamoja na kukupa hofu na uoga.

Ndio sababu ya kuona wakitunga kila aina ya uzushi usio na ushahidi,kutumia lugha kali kali na mbaya pamoja na kuishambulia familia yako hasa mwanao wa kiume.

Lakini Mheshimiwa Rais Wangu Napenda kukuambia ya kuwa usiogope,usiteteleke,usiteteleshwe,usikate tamaa,usikatishwe tamaa wala kuvunjwa au kuvunjika moyo,usiumie Rais wangu maana tayari umeshaogelea katika bahari ya siasa yenye kila aina ya Mawimbi mpaka hapo ulipofika umri huo .Najuwa umepitia mengi na umekomaa na kuiva na hakuna geni kwako la kuweza kukuondoa katika reli ya kuwatumikia watanzania wenye imani kubwa na uongozi wako.

Rais wangu Mpendwa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan,Uwe Hodari na Moyo wa Ushujaa . USIOGOPE kwa kuwa Mungu aliyekuinua kwa mkono wake Hodari yupo bado na wewe.Uso wake upo na wewe na mkono wake upo juu yako na yeye yupo ndani yako.

Narudia tena kusema Mama Yangu USIOGOPE. Uwe HODARI na Moyo wa USHUJAA. MUNGU yupo pamoja na wewe.

Kikubwa nakuomba uhakikishe unaendelea kulinda Taifa letu kuendelea kuwa na amani na umoja wa kitaifa. Linda kwa uzalendo ,Wivu ,jasho na Damu kila kitu kilicho mali ya watanzania ndani na nje ya Taifa letu. Usibabaishwe na yeyote. Tumekukabidhi kila kitu mikononi mwako kikatiba. Tumekupa na kukuwekea Vyombo vyote vya ulinzi na usalama vyenye uzalendo uliotukuka na wa mfano kuwa chini yako. Vitumie na saidiana navyo kupigania na kulinda maslahi ya Taifa letu.

Ni mimi Lucas Hebel Mwashambwa. Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa.
Tafuta hela dogo!!

Kule Tabora Kuna Taasisi ya Athuman Kapuya itakumeza
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
Huu ni ushahidi tosha unaweza kukuweka gerezani,

Unashawishi umma upewe KAZI Kwa RUSHWA,

TAKUKURU tafadhali🙏
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii ni makala yangu ya wazi kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan Shujaa wa Afrika,Nuru ya wanyonge,Nyota ya Matumaini na jasiri Muongoza njia.Ni makala Ya kumtia moyo,kumpa faraja,kumpa pole kwa kazi nzito afanyayo pamoja na kumuombea afya njema na nguvu za kuendelea kuliongoza Taifa letu.

Mama yangu,mama yetu ,Rais wangu ,Rais wetu nipende kusema na kuanza kwa kusema Shikamoo Mama. Rais wetu, Mamillioni ya Watanzania wanaendelea kukuombea dua njema,kukuunga mkono wewe binafsi na serikali yako. Hii ni kwa kuwa kwa mikono yako umegusa maisha ya wengi,umewafuta machozi wengi,kuwapa matumaini mamilioni ya watanzania,kuwainua wengi ,kuwapa faraja waliokuwa wamekata tamaa,kuwashika mkono waliokuwa wameanguka na kuishiwa nguvu.

Kwa macho yako ya huruma ,kwa maamuzi yako,kwa sera zako ,kwa vipaombele vyako,kwa hatua zako,ajenda zako,kwa maoni yako,kwa ucha Mungu wako,kwa utu,upendo,huruma na unyenyekevu wako umewapa nuru mamilioni ya watanzania waliokuwa gizani, umesaidia wengi kutimiza ndoto zao,umewaondoa wengi katika dimbwi la umaskini,umewaamsha na kuwapa matumaini wagonjwa wengi waliokuwa wamelala Vitandani wakiwa wamekata tamaa kutokana na hali ya umaskini na kukosa pesa za kupata matibabu,lakini wewe uliwapelekea madaktari bingwa huko huko waliko.

Kwa ulimi wako umeliunganisha Taifa,umewaleta watu pamoja waliokuwa maadui na wakaweza kuzungumza lugha moja,kwa ulimi wako na matendo yako ya haki na huruma na hofu yako kwa Mungu umewapa imani waliokuwa wamekosa Imani ya kuishi na kurejea hapa Nchini,umewahakikishia usalama wao.

Lakini Mama yangu na Rais wangu Mpendwa pamoja na hayo mazuri na mengi Mema uliyoyatenda kwa Taifa letu.Bado kuna watu kwa kukosa uungwana na shukurani,kwa chuki binafsi,kwa maslahi yao binafsi,kwa kutumiwa na kutumika na watu wenye nia ovu wamekuwa wakikushambulia kwa lugha za matusi , udhalilishaji,ubaguzi,chuki na kutweza utu wako. Wamekwenda mbali zaidi kwa kuanza kudhalilisha na kushambulia familia yako na kuihusisha na kila aina ya ubaya kwa lengo la kukuchafua na kukuchonganisha na wananchi wako wenye imani kubwa na wewe.

Lengo lao ni moja tu Rais wangu kwako. Nalo ni kwamba wanataka kukuvunja moyo,kukukatisha tamaa,kukudhoofisha,kukupunguza kasi,kukuondoa kwenye reli,kukuhamisha na kukupa ajenda zao ndio uwe mjadala wa kitaifa kwa maslahi yao.wanataka kukunyong'onyesha na kukuvuruga hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu. Wanataka wakuchosha akili na kukutikisa,kutetemesha,kukutetelesha pamoja na kukupa hofu na uoga.

Ndio sababu ya kuona wakitunga kila aina ya uzushi usio na ushahidi,kutumia lugha kali kali na mbaya pamoja na kuishambulia familia yako hasa mwanao wa kiume.

Lakini Mheshimiwa Rais Wangu Napenda kukuambia ya kuwa usiogope,usiteteleke,usiteteleshwe,usikate tamaa,usikatishwe tamaa wala kuvunjwa au kuvunjika moyo,usiumie Rais wangu maana tayari umeshaogelea katika bahari ya siasa yenye kila aina ya Mawimbi mpaka hapo ulipofika umri huo .Najuwa umepitia mengi na umekomaa na kuiva na hakuna geni kwako la kuweza kukuondoa katika reli ya kuwatumikia watanzania wenye imani kubwa na uongozi wako.

Rais wangu Mpendwa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan,Uwe Hodari na Moyo wa Ushujaa . USIOGOPE kwa kuwa Mungu aliyekuinua kwa mkono wake Hodari yupo bado na wewe.Uso wake upo na wewe na mkono wake upo juu yako na yeye yupo ndani yako.

Narudia tena kusema Mama Yangu USIOGOPE. Uwe HODARI na Moyo wa USHUJAA. MUNGU yupo pamoja na wewe.

Kikubwa nakuomba uhakikishe unaendelea kulinda Taifa letu kuendelea kuwa na amani na umoja wa kitaifa. Linda kwa uzalendo ,Wivu ,jasho na Damu kila kitu kilicho mali ya watanzania ndani na nje ya Taifa letu. Usibabaishwe na yeyote. Tumekukabidhi kila kitu mikononi mwako kikatiba. Tumekupa na kukuwekea Vyombo vyote vya ulinzi na usalama vyenye uzalendo uliotukuka na wa mfano kuwa chini yako. Vitumie na saidiana navyo kupigania na kulinda maslahi ya Taifa letu.

Ni mimi Lucas Hebel Mwashambwa. Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa.
Mwenyezi MUNGU mbarik mama Samia suluhu hassani namkubali mama kama mama..

Mwenyezi MUNGU ibariki TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Umekasirika?
Fungua au anzisha jukwaa lako ambako utaweka mashariti kama ya nyumbani kwako. Huko utakuwa huru kabisa kuweka masharti unayoyataka na kuwa na member wa kuendana na matakwa yako na wenye mawazo na mitizamo kama yako ambako mimi huko wala hutaniona wala kukanyaga.
 
Wallah wewe ungekutana na kiongozi anayejitambua angekufunga!!

Unachofanya ni dhihaka Kwa kiongozi Mkuu wa Nchi!! Hizi sifa za kijinga hazikibaliki Kwa mtu mwenye akili timamu!!

Please stop such stupid behaviour!! Acha dharau Kwa Viongozi wetu wewe MPUMBAVU
Kama unaona wivu basi kufa tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii ni makala yangu ya wazi kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan Shujaa wa Afrika,Nuru ya wanyonge,Nyota ya Matumaini na jasiri Muongoza njia.Ni makala Ya kumtia moyo,kumpa faraja,kumpa pole kwa kazi nzito afanyayo pamoja na kumuombea afya njema na nguvu za kuendelea kuliongoza Taifa letu.

Mama yangu,mama yetu ,Rais wangu ,Rais wetu nipende kusema na kuanza kwa kusema Shikamoo Mama. Rais wetu, Mamillioni ya Watanzania wanaendelea kukuombea dua njema,kukuunga mkono wewe binafsi na serikali yako. Hii ni kwa kuwa kwa mikono yako umegusa maisha ya wengi,umewafuta machozi wengi,kuwapa matumaini mamilioni ya watanzania,kuwainua wengi ,kuwapa faraja waliokuwa wamekata tamaa,kuwashika mkono waliokuwa wameanguka na kuishiwa nguvu.

Kwa macho yako ya huruma ,kwa maamuzi yako,kwa sera zako ,kwa vipaombele vyako,kwa hatua zako,ajenda zako,kwa maoni yako,kwa ucha Mungu wako,kwa utu,upendo,huruma na unyenyekevu wako umewapa nuru mamilioni ya watanzania waliokuwa gizani, umesaidia wengi kutimiza ndoto zao,umewaondoa wengi katika dimbwi la umaskini,umewaamsha na kuwapa matumaini wagonjwa wengi waliokuwa wamelala Vitandani wakiwa wamekata tamaa kutokana na hali ya umaskini na kukosa pesa za kupata matibabu,lakini wewe uliwapelekea madaktari bingwa huko huko waliko.

Kwa ulimi wako umeliunganisha Taifa,umewaleta watu pamoja waliokuwa maadui na wakaweza kuzungumza lugha moja,kwa ulimi wako na matendo yako ya haki na huruma na hofu yako kwa Mungu umewapa imani waliokuwa wamekosa Imani ya kuishi na kurejea hapa Nchini,umewahakikishia usalama wao.

Lakini Mama yangu na Rais wangu Mpendwa pamoja na hayo mazuri na mengi Mema uliyoyatenda kwa Taifa letu.Bado kuna watu kwa kukosa uungwana na shukurani,kwa chuki binafsi,kwa maslahi yao binafsi,kwa kutumiwa na kutumika na watu wenye nia ovu wamekuwa wakikushambulia kwa lugha za matusi , udhalilishaji,ubaguzi,chuki na kutweza utu wako. Wamekwenda mbali zaidi kwa kuanza kudhalilisha na kushambulia familia yako na kuihusisha na kila aina ya ubaya kwa lengo la kukuchafua na kukuchonganisha na wananchi wako wenye imani kubwa na wewe.

Lengo lao ni moja tu Rais wangu kwako. Nalo ni kwamba wanataka kukuvunja moyo,kukukatisha tamaa,kukudhoofisha,kukupunguza kasi,kukuondoa kwenye reli,kukuhamisha na kukupa ajenda zao ndio uwe mjadala wa kitaifa kwa maslahi yao.wanataka kukunyong'onyesha na kukuvuruga hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu. Wanataka wakuchosha akili na kukutikisa,kutetemesha,kukutetelesha pamoja na kukupa hofu na uoga.

Ndio sababu ya kuona wakitunga kila aina ya uzushi usio na ushahidi,kutumia lugha kali kali na mbaya pamoja na kuishambulia familia yako hasa mwanao wa kiume.

Lakini Mheshimiwa Rais Wangu Napenda kukuambia ya kuwa usiogope,usiteteleke,usiteteleshwe,usikate tamaa,usikatishwe tamaa wala kuvunjwa au kuvunjika moyo,usiumie Rais wangu maana tayari umeshaogelea katika bahari ya siasa yenye kila aina ya Mawimbi mpaka hapo ulipofika umri huo .Najuwa umepitia mengi na umekomaa na kuiva na hakuna geni kwako la kuweza kukuondoa katika reli ya kuwatumikia watanzania wenye imani kubwa na uongozi wako.

Rais wangu Mpendwa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan,Uwe Hodari na Moyo wa Ushujaa . USIOGOPE kwa kuwa Mungu aliyekuinua kwa mkono wake Hodari yupo bado na wewe.Uso wake upo na wewe na mkono wake upo juu yako na yeye yupo ndani yako.

Narudia tena kusema Mama Yangu USIOGOPE. Uwe HODARI na Moyo wa USHUJAA. MUNGU yupo pamoja na wewe.

Kikubwa nakuomba uhakikishe unaendelea kulinda Taifa letu kuendelea kuwa na amani na umoja wa kitaifa. Linda kwa uzalendo ,Wivu ,jasho na Damu kila kitu kilicho mali ya watanzania ndani na nje ya Taifa letu. Usibabaishwe na yeyote. Tumekukabidhi kila kitu mikononi mwako kikatiba. Tumekupa na kukuwekea Vyombo vyote vya ulinzi na usalama vyenye uzalendo uliotukuka na wa mfano kuwa chini yako. Vitumie na saidiana navyo kupigania na kulinda maslahi ya Taifa letu.

Ni mimi Lucas Hebel Mwashambwa. Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa.
Dah Lucas Mwashambwa shkamoo aisee, wewe umeshindikana..😂😂
 
Fungua au anzisha jukwaa lako ambako utaweka mashariti kama ya nyumbani kwako. Huko utakuwa huru kabisa kuweka masharti unayoyataka na kuwa na member wa kuendana na matakwa yako na wenye mawazo na mitizamo kama yako ambako mimi huko wala hutaniona wala kukanyaga.
Unaamini maoni yangu yanaweza kupunguza posho unayolipwa kusifia viongozi Ili kuwapumbaza wasifanye KAZI zao Kwa weledi?
 
Back
Top Bottom