Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Yaani atoke alipotaka kupewa rushwa na Abduli alafu ahamie aliko Abduli na wagawa rushwa wenzake?
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaan viongoz wengine bhn😅😅😅😅Yaani atoke alipotaka kupewa rushwa na Abduli alafu ahamie aliko Abduli na wagawa rushwa wenzake?
🤣🤣🤣
Hilo ndo tatizo la Wabongo!Yaaan viongoz wengine bhn😅😅😅😅
Anaona mtoa rushwa ndo Yuko sahihi kulko wapokeaj
Su awez kua na mindset iyoHilo ndo tatizo la Wabongo!
Wengi wanamuona huyo Abduli kama shujaa
Mbona ccm na rushwa ni kama samaki na maji?!Akihutubia wananchi wa mkoa wa Kagera makala amesema chadema wameshindwa kabisa kujibu kiu ya Lissu ambapo Lissu amelalamikia rushwa na kukosekana demokrasia ndani ya CHADEMA lakini hawana mpango wowote kuyashughulikia.
Ndugu Makalla amesema kutokana na ukweli huo alimsikia Lissu akisema CHADEMA sio mama yake ikionyesha kuwa yuko njiani kukihama chama hicho.
---
Misenyi. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amemkaribisha Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kujiunga na chama hicho akidai tayari chama chake kimeacha misingi yake.
Makalla ameeleza hayo Agosti 9, 2024 kwenye mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi uliofanyika katika Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera anakoendelea na ziara ya siku nne.
Ukaribisho huo umetolewa zikiwa zimepita siku chache baada ya Lissu kunukuliwa akisema Chadema si mama yake na kwamba, atakuwa tayari kukihama chama hicho endapo kitakiuka misingi yake.
Hata hivyo, alipotafutwa Lissu amesema, "Mimi nijiunge na chama chao? Yaani niende CCM kwa sababu gani au wana misingi ipi?CCM kuna nini niende kufuata? Tukajenge Taifa kwa... muulizeni Makalla anafikiria mimi nitajiunga na CCM?,’’ amehoji.
Akizungumza kwenye mkutano huo, Makalla amemkaribisha Lissu kujiunga na CCM akidai tayari chama chake kimepoteza misingi yake, hivyo anakaribishwa kujiunga na CCM ili wafanye kazi pamoja kulijenga Taifa.
Amedai kwa sasa Chadema ni chama kisichofuata misingi ya demokrasia, kinakabiliwa na rushwa, viongozi wake hawana mpango wa kutoka madarakani na hakihubiri umoja wa kitaifa, hivyo Lissu hana sababu ya kuendelea kuwa huko.
"Kwa usomi wake Tundu Lissu, sehemu pekee ya kufanya siasa ni kwenye Chama cha Mapinduzi. Kwa hiyo nimkaribishe ndugu yangu Lissu aje tufanye kazi, tuijenge nchi yetu," amesema Makalla.
Kwa hilo jibu laini kutoka kwa TAL, nashawishika pasi na shaka kusema kwamba huenda kweli yuko mbioni kujiunga na Sisiemu, kama hajajiunga nao moyoni tayari!
Aje ccm tena kwani hakuna rushwa huko ccm wewe unalijua ccm na rushwa wewe jaribu kuomba nafasi ndani ya chama cha ccm ndiyo utajua rushwa na uchawiAkihutubia wananchi wa mkoa wa Kagera makala amesema chadema wameshindwa kabisa kujibu kiu ya Lissu ambapo Lissu amelalamikia rushwa na kukosekana demokrasia ndani ya CHADEMA lakini hawana mpango wowote kuyashughulikia.
Ndugu Makalla amesema kutokana na ukweli huo alimsikia Lissu akisema CHADEMA sio mama yake ikionyesha kuwa yuko njiani kukihama chama hicho.
---
Misenyi. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amemkaribisha Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kujiunga na chama hicho akidai tayari chama chake kimeacha misingi yake.
Makalla ameeleza hayo Agosti 9, 2024 kwenye mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi uliofanyika katika Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera anakoendelea na ziara ya siku nne.
Ukaribisho huo umetolewa zikiwa zimepita siku chache baada ya Lissu kunukuliwa akisema Chadema si mama yake na kwamba, atakuwa tayari kukihama chama hicho endapo kitakiuka misingi yake.
Hata hivyo, alipotafutwa Lissu amesema, "Mimi nijiunge na chama chao? Yaani niende CCM kwa sababu gani au wana misingi ipi?CCM kuna nini niende kufuata? Tukajenge Taifa kwa... muulizeni Makalla anafikiria mimi nitajiunga na CCM?,’’ amehoji.
Akizungumza kwenye mkutano huo, Makalla amemkaribisha Lissu kujiunga na CCM akidai tayari chama chake kimepoteza misingi yake, hivyo anakaribishwa kujiunga na CCM ili wafanye kazi pamoja kulijenga Taifa.
Amedai kwa sasa Chadema ni chama kisichofuata misingi ya demokrasia, kinakabiliwa na rushwa, viongozi wake hawana mpango wa kutoka madarakani na hakihubiri umoja wa kitaifa, hivyo Lissu hana sababu ya kuendelea kuwa huko.
"Kwa usomi wake Tundu Lissu, sehemu pekee ya kufanya siasa ni kwenye Chama cha Mapinduzi. Kwa hiyo nimkaribishe ndugu yangu Lissu aje tufanye kazi, tuijenge nchi yetu," amesema Makalla.
Lile ni bichwa tu, empty headKwa hiyo atakimbia chama Cha wapokea rushwa atahamia chama Cha watoa rushwa kupitia mtoto wa mwenye kiti
Hiyo rushwa anayosema inatoka huko CCM.Kwa hilo jibu laini kutoka kwa TAL, nashawishika pasi na shaka kusema kwamba huenda kweli yuko mbioni kujiunga na Sisiemu, kama hajajiunga nao moyoni tayari!
Haya ndio madhara ya kuokoteza viongozi wasiokuwa visionary! Unamsemea mtu jambo ambalo hajawahi kukutamkia au kulisema.Akihutubia wananchi wa mkoa wa Kagera makala amesema chadema wameshindwa kabisa kujibu kiu ya Lissu ambapo Lissu amelalamikia rushwa na kukosekana demokrasia ndani ya CHADEMA lakini hawana mpango wowote kuyashughulikia.
Ndugu Makalla amesema kutokana na ukweli huo alimsikia Lissu akisema CHADEMA sio mama yake ikionyesha kuwa yuko njiani kukihama chama hicho.
---
Misenyi. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amemkaribisha Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kujiunga na chama hicho akidai tayari chama chake kimeacha misingi yake.
Makalla ameeleza hayo Agosti 9, 2024 kwenye mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi uliofanyika katika Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera anakoendelea na ziara ya siku nne.
Ukaribisho huo umetolewa zikiwa zimepita siku chache baada ya Lissu kunukuliwa akisema Chadema si mama yake na kwamba, atakuwa tayari kukihama chama hicho endapo kitakiuka misingi yake.
Hata hivyo, alipotafutwa Lissu amesema, "Mimi nijiunge na chama chao? Yaani niende CCM kwa sababu gani au wana misingi ipi?CCM kuna nini niende kufuata? Tukajenge Taifa kwa... muulizeni Makalla anafikiria mimi nitajiunga na CCM?,’’ amehoji.
Akizungumza kwenye mkutano huo, Makalla amemkaribisha Lissu kujiunga na CCM akidai tayari chama chake kimepoteza misingi yake, hivyo anakaribishwa kujiunga na CCM ili wafanye kazi pamoja kulijenga Taifa.
Amedai kwa sasa Chadema ni chama kisichofuata misingi ya demokrasia, kinakabiliwa na rushwa, viongozi wake hawana mpango wa kutoka madarakani na hakihubiri umoja wa kitaifa, hivyo Lissu hana sababu ya kuendelea kuwa huko.
"Kwa usomi wake Tundu Lissu, sehemu pekee ya kufanya siasa ni kwenye Chama cha Mapinduzi. Kwa hiyo nimkaribishe ndugu yangu Lissu aje tufanye kazi, tuijenge nchi yetu," amesema Makalla.
Huyu sijui kala maharage ya wapi? Ccm na rushwa ni mtu na mpenxi wake!Ww makala nguvu ya kusema CCM hawapendi RUSHWA unaitoa wap🤭
Ccm na rushwa ni chanda na Pete!Hiyo rushwa anayosema inatoka huko CCM.
Mwandiko wa mbogamboga utaujua TU!Aende zake tu,hakuna aliyemkubwa zaidi ya Chama.Chadema ni taasisi sio mtu ebo!