JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Chanzo: Wasafi FM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaaah now you are talking, kama yeye mkweli asimuatak mtoa hoja, attack hoja ilotolewaAd hominem logical fallacy.
Argument from authority fallacy.
Chama kinafuata katiba au tamaduni zaoMalisa amepita vyama tofauti vya siasa ndio akaja CCM kwaiyo bado hajaelewa misingi ya CCM kwaiyo huko aliko akajifunze misingi ya chama cha mapinduzi – Makalla.
Chanzo: Wasafi FM
Huyu Makalla naye si vema angefunga tu domo lake.Malisa amepita vyama tofauti vya siasa ndio akaja CCM kwaiyo bado hajaelewa misingi ya CCM kwaiyo huko aliko akajifunze misingi ya chama cha mapinduzi – Makalla.
Chanzo: Wasafi FM
Ni hoja isiyokuwa na mashiko. Kwa umri wake, Mzee Malisa hawezi kuwa ameanzia vyama vya upinzani ndiyo akaja CCM. Mfumo wa sasa wa vyama vingi ulianza 1992. Before that, kuliwa na political affiliation option moja tu: CCM! Needless to say, Malisa is just one of thousands upon thousands of CCM members who believe Samia’s nomination is unconstitutional.Malisa amepita vyama tofauti vya siasa ndio akaja CCM kwaiyo bado hajaelewa misingi ya CCM kwaiyo huko aliko akajifunze misingi ya chama cha mapinduzi – Makalla.
Chanzo: Wasafi FM
Hili guluguja Makalla nalo hovyo kabisaMalisa amepita vyama tofauti vya siasa ndio akaja CCM kwaiyo bado hajaelewa misingi ya CCM kwaiyo huko aliko akajifunze misingi ya chama cha mapinduzi – Makalla.
Chanzo: Wasafi FM