Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Odinga nae ni njaa na uchoyo wa madaraka hana jipya la maana!!, Huyu sio aliyelambishwa asali na kibaki?.
Afu Kenya ni Nchi ya watu hai sio watu mfu Kama ninyi Tz!!, Watu ambao sukari imetoka kuuzwa kwa kilo 1600 hadi 3000 huku mchele ukiuzwa Mara mbili ya awali!!. Unategemea Mbowe au Lema ambao wanaweza kuitwa ikulu wakahakikishiwa kila mwezi 20m+ ndio waingie barabarani kufanya maandamano huku kapuku anachekelea bila kujali!!.
Afu Kenya ni Nchi ya watu hai sio watu mfu Kama ninyi Tz!!, Watu ambao sukari imetoka kuuzwa kwa kilo 1600 hadi 3000 huku mchele ukiuzwa Mara mbili ya awali!!. Unategemea Mbowe au Lema ambao wanaweza kuitwa ikulu wakahakikishiwa kila mwezi 20m+ ndio waingie barabarani kufanya maandamano huku kapuku anachekelea bila kujali!!.