Nyau ana EGO na ndio inampeleka vibaya😂Netanyahu inambidi akubali hapo mashariki ya kati kuna chizi kama wao!
Ambaye haogopi kama wao!
Ambaye wana maamuzi magumu kama wao!
Ambaye ana uwezo wa kuleta madhara moja kwa moja Israel na makubwa.
Mistake yoyote atakayoifanya itaigharimu Israel pakubwa na ataingia kwenye historia ya taifa lao kama kiongozi mjinga.
Tatizo la Netanyahu ni kiburi ana majivuno na hakubali kudhalilika.
Ndiyo maana anatafuta kila namna ya kutoonekana mnyonge kwa Iran.
Sasa hii itamgharimu! Iran nao ni vichaa kama wao!
Ndiyo maana sasa hivi anatetemeka hovyo haamini macho yake kwa yanayoendelea. Na akifanya masihara atapata kiharusi.Nyau ana EGO na ndio inampeleka vibaya😂
Makombora ICBM 200 with zero impact???Kiwewe cha Oktoba 1 kinaitesa Israel unajua Netanyahu kisaikolojia ni mtu asiyependa kushindwa Wala kuaibishwa kwa namna yeyote maana alishajitapa kuwa yeye pale Middle East ndio mwenye sharubu kwahiyo kile kipigo cha jumanne mpaka sasa presha yake ipo juu ni kwamba tu sasa mtu mwenyewe ni Iran lazima aombe msaada huku na huku na kujipanga ili ionekana amefanya kitu kujibu hata kama jaribio likifeli potelea mbali
Wanakurupuka eeh? ila mziki wao mnaujua kuna mmoja ameresign cheo chake juzi tangu 1991 na bado watakufa sanaHii haisaidii kitu kwa sababu viongozi wanateuliwa wengine na watu wanaendelea na operation zao kama awali.
Anachotakiwa kufanya Israel ni kupiga miundombinu ya kijeshi ya Hizbullah na akifanya hivi atampunguza nguvu na kumdhibiti.
Hii kuua viongozi haisaidii kitu. Mpaka muda huu bado anashindwa kuingia South Lebanon licha ya kuua viongozi wengi wa Hizbullah.
Ni sawa sawa unapigana na Tanzania halafu kazi yako ni kuua makamanda wake hali ya kuwa base zetu bado zipo na silaha za kumwaga. Uwanja wetu wa ndege na bandari bado zinafanya kazi kama kawaida silaha zinaingia. Askari wetu bado wapo wa kumwaga. Wewe unahangaika kuua viongozi hali ya kuwa akiuliwa mmoja ni suala la kuteuliwa mwengine na shughuli inaendelea sasa unafanya nini?
Viongozi wa Israel ni kama genge fulani la wahalifu, maamuzi yao ni kukurupuka sana.
Hii vita wameshafeli hata kabla hawajaanza. Hizbullah imeshashinda hii vita.
Umeandika kimahaba sana tuambieni huyu yuko wapi 🤣🤣Ndiyo maana sasa hivi anatetemeka hovyo haamini macho yake kwa yanayoendelea. Na akifanya masihara atapata kiharusi.
Na alivyokuwa jau nguvu yenyewe hana!
Anaomba msaada Marekani imsaidie kulipiza kisasi ili asionekane mnyonge. Hafikirii athari ambayo itakayoigharimu nchi yake, yeye anafikiria kutunza pride yake.
Inabidi wamtoe kwa nguvu hapo Israel. Wakiendelea kumchekea ataichafua mashariki ya kati yote.
Kitu ambacho Israel inabidi ikielewe ni kwamba Iran ni machizi kama wao!
Kama kipi.Hii ni habari au hadithi?
NB: Habari ni lazima iwe chanzo konachoaminika.
Mmarekani hapigani vita isiona maslahi kwake km sio kuuza silaha basi atapata rasilimali kutokana na hio vita na sometimes anazianzisha yeye ili auze silaha,wanajeshi wake mpk wanakasirika kusipikua na vita maana wanakua wanabaki ofisini na wao wanapenda kwenda field.Hawatofanikiwa kuingia Iran maana hawakuanza Leo tangu 1979 wamekua wakihangaika na Iran lakini ndio Iran imekuwa strong zaidi. Lakini naona kama huu ushirika mpya wa BRICKS ulioasisiwa na urusi nao utaleta mabadiliko makubwa sana katika siasa za kutawala hii Dunia.
Wamekusikia mkuu wa vigango.Mbona mnaweweseka sana wakati nyie ndio mmeishambulia Israel Kwa vibaruti 200 Israel haiwezi kujibu hiyo tufanye Iran imeshinda naona mnakiwewe Sanaa wakati Iran imeshinda tulieni nyie wavaa kobazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Juzi tu myaduh kakichafua sana kwenye base za mrusi pale syria pamoja s400 zakeSahizi Iran atapewa Iskander na mrusi ili kuwaangamiza panya watakaojificha kwenye bunkers😂 akiwemo Netanyahu na asiombee radar iwasome huko mafichoni.
Hajapiga base ya Russia, ni karibu na base ya Russia.Unajua ndugu yangu, anachofanya Ayatollah ni siasa.
Wairan wamechoshwa na utawala wa kidini wenye uonevu na ukandamizaji. Hali ya kisiasa Iran ni Mbaya, hivyo, kuhamisha mada, anajaribu kuwaleta wananchi kwny ishu ya Israel, kwamba we have one enemy, Israel.
Hiyo ni njia ya kuwaunganisha wananchi.
Pili, anajaribu kuwapa moyo wapiganaji wake wa Hezbollah na Hamas waliochakazwa vibaya kwamba yuko pamoja nao.
Hivyo, anafanya shambulio ili mradi shambulio, hata kama halina madhara yeyote kwa Israel na linaigharimu Iran gharama kubwa kulitekeleza.
Israel na Marekani wanalijua hilo, hivyo wanaweza kumpotezea tu na kuendelea na oparesheni yao ya kusafisha Hamas na Hezbollah.
Lakini, wanaweza kumjibu ili asizoee.
Kwa maoni yangu mimi, kumpotezea ndio option bora zaidi.
Iran hana madhara yeyote kwa Israel, na wakiamua kumshughulikia, hachukui raundi.
Myahudi kapiga airbase ya Urusi na Urusi hawezi kufanya lolote, zaidi ya kutoa umbea tu wa kuona ndege za Israel, sembuse Iran.
Iran ni underdog.
cc Kiranga Nyani Ngabu
Hiyo Kila mtu anajua na ndio maana Iran imesema inataka kuondoa uwizi wa marekani pale Middle EastMmarekani hapigani vita isiona maslahi kwake km sio kuuza silaha basi atapata rasilimali kutokana na hio vita na sometimes anazianzisha yeye ili auze silaha,wanajeshi wake mpk wanakasirika kusipikua na vita maana wanakua wanabaki ofisini na wao wanapenda kwenda field.
Ukimuona mmarekani yupo ujue kunamaslahi,UkreIni yupo kwakua raisi wao ni myahudi,israeli the same huyo jamaa anapenda vita,anayofanya Israel ingekua nchi nyingine mngeambiwa ni gaidi mkubwa sana but Kwa mmarekani ni halali