Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raia gani hao wasiomwamini?mbona wengine tunamwamini sana tu
Mheshimiwa Makamba amesema kumkosoa Hayati Raisi Magufuli sio Zambi. Je yale mabilioni anayodaiwa na NSSF ameshalipa? Au anataka kujikosha kwa ana busara sana mpaka kuona mapungufu ya Hayati?
My take. Kujipendekeza kwa Mama, kutatonyesha vinyonga wengi safari hii.
Karudie tena ile Video.Mheshimiwa Makamba amesema kumkosoa Hayati Raisi Magufuli sio Zambi. Je yale mabilioni anayodaiwa na NSSF ameshalipa? Au anataka kujikosha kwa ana busara sana mpaka kuona mapungufu ya Hayati?
My take. Kujipendekeza kwa Mama, kutatonyesha vinyonga wengi safari hii.
Kabla ya kumkosoa mtu inabidi kujichunguza na mapungufu yako piaKwahiyo wale wote wenye mapungufu hawastahili kumkosoa huyo 'mungu wenu marehem'..
Watu walizuiwa kumkosoa akiwa hai
Bado hamtaki akosolewe hata sasa ameshakufa?..
Kwahiyo marehem wenu alikuwa perfect hakosei?
Aaa wapi, kawapigeni kwa kiswahili mnaojifanya wanazi wa mwendazake! Na kama Makamba Jr akiwa zao lolote, Hawezi kuwa zao la mwendazake, kwa vyovyote! Kuna watu wachache sana kwenye siasa ya Tanzania, anaweza kukosoa kwa hekima kama alivyo fanya Makamba hapa!Waziri aliye enda naye Uganda akapiga Kiswahili kwa kujiamini. Ujumbe utakuwa umemfikia Mh.
Makamba naye kaongea kwa nidhamu na tahadhari kubwa. Hayati JPM alisema anaweka viwango vya utumishi kama Rais ili wataokamfuata kuongoza wapitie mumo mumo na hili limejidhihirisha wazi.
Bungen saiv wangmbn wenywe kwa wenyweTaratibu Tunawaona Wanamalizana
Aaa wapi, kawapigeni kwa kiswahili mnaojifanya wanazi wa mwendazake! Na kama Makamba Jr akiwa zao lolote, Hawezi kuwa zao la mwendazake, kwa vyovyote! Kuna watu wachache sana kwenye siasa ya Tanzania, anaweza kukosoa kwa hekima kama alivyo fanya Makamba hapa!
Raia wa wapi hao wasiomwamini Makamba?Makamba haaminiki tena na raia sijui afanyaje aeleweke na wananchi wa kawaida.
Kwanza akwenda mzika Magufuli na pia alikuwa ameanzisha vuguvugu la kumsaliti pindi akiwa hai.
Yote Sawa tu, lakini unakubali kwamba alicho kisema Junior siyo zao zuri la mwendazake! Eti aliweka njia, Makamba amepita mule mule, ni upotoshaji! Makamba hafuati njia yenu hiyo, anajaribu kuwarudisha kwenye njia sahihi!Kakosoa kwa hekima ama hofu na unafiki kwa kusema ambacho hakikujaza moyo wake ila imemlazimu kusema hivyo eti "koti zuri" mawee! Hanabudi maana the standard bar is there for everyone to use it or face massive public rejection.
Waulize nduguze na prof teni teni, "the power of hunger" Wanatamani wangerudisha vifuani mwao matamshi yao lakini aah wàpi historia imeyaingiza kwenye kumbukumbu zake na yatawawinda kila itakapoonekana inafaa.
Yote Sawa tu, lakini unakubali kwamba alicho kisema Junior siyo zao zuri la mwendazake! Eti aliweka njia, Makamba amepita mule mule, ni upotoshaji! Makamba hafuati njia yenu hiyo, anajaribu kuwarudisha kwenye njia sahihi!
Alishiriki kikubwa wizi wa kura za Lowasa 2015 laana itamuandama na kizazi chakeYote Sawa tu, lakini unakubali kwamba alicho kisema Junior siyo zao zuri la mwendazake! Eti aliweka njia, Makamba amepita mule mule, ni upotoshaji! Makamba hafuati njia yenu hiyo, anajaribu kuwarudisha kwenye njia sahihi!
Kwa hapo mkuu, nakubali!Alishiriki kikubwa wizi wa kura za Lowasa 2015 laana itamuandama na kizazi chake
Hiyo ingewezekana sana, awamu ya tano!Atafuata atake asitake labda aseme hataki kuwa kiongozi wa kisiasa hapa Tanzsnia na akamua kuwa anaenda kufanya biashara zake huko of which I don't see any trait of this in him. Huu ndio ukweli mchungu. Wafuate marangapi hata hivyo?!