Sasa,si utuambie ukweli halisi uliopo?,Mbona mnazunguka kwa kutuita wapumbavu!! Fungukeni na sisi tujue kilicho nyuma ya paziaNi mpumbavu Tu ndo anaamini mtu ataenda Israel kujifunza kilimo'....
Na mtu mpumbavu zaidi ndo anaamini kuwa "the so called mwanafunzi " wa kilimo alikuwa attacked innocently.....
Watu wenye akili wanajua there is more to the story ....
Hivi kumbe ukiacha ujinga wako wa udini huwa na hoja japo pale mwisho umeharibu lakini siyo mbayaTusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa watakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepelekwa pia kujifundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kina nani hawa?:
View attachment 2847132
Hawa wajinga hawezi kubaki salama hata mmojaIsrael pigeni mabomu yote hayo mashetani ya Hamas.
Damu ya watanzania haitawaacha salama, wataishi kwenye mashimo kama panya mpaka wakome.
A good Palestiane is a dead one.
Yule msomali ni gaidi kama magaidi mengineIla Kama Bashe Pale Tumepigwa Mchana Sana Tena Kweupe
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa watakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepelekwa pia kujifundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kina nani hawa?:
View attachment 2847132
Maajenti haoMyahudi aje kufundisha kivipi? Vijana wanaoenda kule wanatoka SUA na wanaenda kwenye mafunzo kwa vitendo, mimi ndugu alikwenda akawa huko kwa karibu mwaka mzima. Walikuwa attached kwenye mashamba ya huko, kwamba wanapelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi ni hoja dhaifu mno.
Kama ni mafunzo ya kijeshi wanapelekwa wanajeshi wenyewe, sio wahitimu wa vyuo vikuu.
Vv
acha uzuzu hii picha ni ya kutengenezaView attachment 2847687
EWE KAFIRI AMKA KUMEKUCHA!
Ukiona hivyo fidia yake ya Magomeni imechelewaBibi yetu kumbe kuna nyakati netweki inashika au ndio kusema kuna wakati unaamua kujitoa ufahamu? Angalau sasa unaonesha kidogo roho ya kiubinadamu kuhoji mustakabali wa raia wa Tanzania ambao wanateketea huko Israel bila hatia, mara nyingi tunakuona ukiwaunga mkono HAMAS wanaochinja watu hadharani
Uislam hauna "moderate" wala "extreme" hizo ni "terminology" za kwenu kanisani ambako kufirana ni rukhsa kwa mujibu wa papa.kwa nini umekuwa criticised kwenye uislam kiasi hiki? Hebu kuwa moderate pengine utaeleweka bibie
ndio uwaheshimu hao viongoziVijana mnaosema wameuliwa israel walipelekwa na nani?
Dah...!Uislam hauna "moderate" wala "extreme" hizo ni "terminology" za kwenu kanisani ambako kufirana ni rukhsa kwa mujibu wa papa.
Uislam ni mmoja tu.
Kama unamfahamu huyu, haya, mimi simfahamu:Myahudi aje kufundisha kivipi? Vijana wanaoenda kule wanatoka SUA na wanaenda kwenye mafunzo kwa vitendo, mimi ndugu alikwenda akawa huko kwa karibu mwaka mzima. Walikuwa attached kwenye mashamba ya huko, kwamba wanapelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi ni hoja dhaifu mno.
Kama ni mafunzo ya kijeshi wanapelekwa wanajeshi wenyewe, sio wahitimu wa vyuo vikuu.
Vv
Uongo pitia vyombo vya habari sio habari za vijiweni hizoNilikua naongea na jamaa wa middle east akasema, Hamas hauwi raia wa kigeni tena akashangaa, akasema lazina kuna kitu amekijua juu ya huyo, HAIWEZEKANA
hebu achana na udini kuwa mzalendo, jali raia wa nchi yako, hao raia wa nchi nyingine unawatetea nini? Acha udini. Kumbuka pia kuna wauguzi wa kitanzania wamepata ofa kwenda saudi arabia, hapo napo utasema nini bibie mpendwa wetu humu?Hayo utajuwa wewe, mimi maoni yangu yapo post namba 1 ni machache sana. kajikumbshe.
thibitisha ugaidi wakeYule msomali ni gaidi kama magaidi mengine
Wewe bibi huoni kwamba hiyo ni photoshop?
Rudi post namba moja ukanisome tena, unambie andiko langu wapi limekosa uzalendo?hebu achana na udini kuwa mzalendo, jali raia wa nchi yako, hao raia wa nchi nyingine unawatetea nini? Acha udini. Kumbuka pia kuna wauguzi wa kitanzania wamepata ofa kwenda saudi arabia, hapo napo utasema nini bibie mpendwa wetu humu?
Issue ya kutofungamana na upande wowote ilikuwa katika vita baridi tu ya Ujamaa na Ubepari ila issue ya Israel na Palestina Tanzania ilikuwa upande wa Palestina na ndiyo maana tulivunja mahusiano na Israel mwaka 1973 na alikuja kurudisha uhusiano uo Maghfuli.Kwa hao vijana, kama ni kweli Watanzania, kuwepo jeshini Israel maana yake Tanzania imechaguwa upande na ipo vitani rasmi.
Tusidanganyane kuwa atanzania haifungamani na yeyote.