Makamba na Bashe semeni ukweli kuhusu vijana wa Kitanzania mliowapeleka Israel

Makamba na Bashe semeni ukweli kuhusu vijana wa Kitanzania mliowapeleka Israel

Ni mpumbavu Tu ndo anaamini mtu ataenda Israel kujifunza kilimo'....

Na mtu mpumbavu zaidi ndo anaamini kuwa "the so called mwanafunzi " wa kilimo alikuwa attacked innocently.....

Watu wenye akili wanajua there is more to the story ....
Sasa,si utuambie ukweli halisi uliopo?,Mbona mnazunguka kwa kutuita wapumbavu!! Fungukeni na sisi tujue kilicho nyuma ya pazia
 
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa watakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepelekwa pia kujifundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kina nani hawa?:

View attachment 2847132
Hivi kumbe ukiacha ujinga wako wa udini huwa na hoja japo pale mwisho umeharibu lakini siyo mbaya
 
Israel pigeni mabomu yote hayo mashetani ya Hamas.

Damu ya watanzania haitawaacha salama, wataishi kwenye mashimo kama panya mpaka wakome.

A good Palestiane is a dead one.
Hawa wajinga hawezi kubaki salama hata mmoja
 
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa watakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepelekwa pia kujifundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kina nani hawa?:


View attachment 2847132

Myahudi aje kufundisha kivipi? Vijana wanaoenda kule wanatoka SUA na wanaenda kwenye mafunzo kwa vitendo, mimi ndugu alikwenda akawa huko kwa karibu mwaka mzima. Walikuwa attached kwenye mashamba ya huko, kwamba wanapelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi ni hoja dhaifu mno.

Kama ni mafunzo ya kijeshi wanapelekwa wanajeshi wenyewe, sio wahitimu wa vyuo vikuu.

Vv
Maajenti hao
 
Bibi yetu kumbe kuna nyakati netweki inashika au ndio kusema kuna wakati unaamua kujitoa ufahamu? Angalau sasa unaonesha kidogo roho ya kiubinadamu kuhoji mustakabali wa raia wa Tanzania ambao wanateketea huko Israel bila hatia, mara nyingi tunakuona ukiwaunga mkono HAMAS wanaochinja watu hadharani
Ukiona hivyo fidia yake ya Magomeni imechelewa
 
kwa nini umekuwa criticised kwenye uislam kiasi hiki? Hebu kuwa moderate pengine utaeleweka bibie
Uislam hauna "moderate" wala "extreme" hizo ni "terminology" za kwenu kanisani ambako kufirana ni rukhsa kwa mujibu wa papa.

Uislam ni mmoja tu.
 
Uislam hauna "moderate" wala "extreme" hizo ni "terminology" za kwenu kanisani ambako kufirana ni rukhsa kwa mujibu wa papa.

Uislam ni mmoja tu.
Dah...!
Wewe unatamka hivi kweli ?
Hebu Mswalie Mtume.
 
Myahudi aje kufundisha kivipi? Vijana wanaoenda kule wanatoka SUA na wanaenda kwenye mafunzo kwa vitendo, mimi ndugu alikwenda akawa huko kwa karibu mwaka mzima. Walikuwa attached kwenye mashamba ya huko, kwamba wanapelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi ni hoja dhaifu mno.

Kama ni mafunzo ya kijeshi wanapelekwa wanajeshi wenyewe, sio wahitimu wa vyuo vikuu.

Vv
Kama unamfahamu huyu, haya, mimi simfahamu:

IMG-20231220-WA0011(1).jpg
 
Nilikua naongea na jamaa wa middle east akasema, Hamas hauwi raia wa kigeni tena akashangaa, akasema lazina kuna kitu amekijua juu ya huyo, HAIWEZEKANA
Uongo pitia vyombo vya habari sio habari za vijiweni hizo
 
Hayo utajuwa wewe, mimi maoni yangu yapo post namba 1 ni machache sana. kajikumbshe.
hebu achana na udini kuwa mzalendo, jali raia wa nchi yako, hao raia wa nchi nyingine unawatetea nini? Acha udini. Kumbuka pia kuna wauguzi wa kitanzania wamepata ofa kwenda saudi arabia, hapo napo utasema nini bibie mpendwa wetu humu?
 
hebu achana na udini kuwa mzalendo, jali raia wa nchi yako, hao raia wa nchi nyingine unawatetea nini? Acha udini. Kumbuka pia kuna wauguzi wa kitanzania wamepata ofa kwenda saudi arabia, hapo napo utasema nini bibie mpendwa wetu humu?
Rudi post namba moja ukanisome tena, unambie andiko langu wapi limekosa uzalendo?
 
Kwa hao vijana, kama ni kweli Watanzania, kuwepo jeshini Israel maana yake Tanzania imechaguwa upande na ipo vitani rasmi.

Tusidanganyane kuwa atanzania haifungamani na yeyote.
Issue ya kutofungamana na upande wowote ilikuwa katika vita baridi tu ya Ujamaa na Ubepari ila issue ya Israel na Palestina Tanzania ilikuwa upande wa Palestina na ndiyo maana tulivunja mahusiano na Israel mwaka 1973 na alikuja kurudisha uhusiano uo Maghfuli.

Tanzania iliandaa wapigania uhuru wa nchi za Africa, Tanzania itaendelea kuunga nchi yeyote kupambana kupata Uhuru wake kamili.

Viongozi wetu wasasahivi ni waoga tu wa mabeberu ila angekuwa Mwalimu Nyerere sasahivi ameshasema mbele ya vyombo vya habari kuisema UN kuwa ni kibaraka wa Marekani na sera yao ya mambo ya nje ni ya kimalaya.
 
Back
Top Bottom