Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio sababu Hamas walimuita Joshua ni Alshabab member?Mayahudi wanawapeleka nyie chambo kwa njaa zenu, nenda na wewe ukawasqidie wajomba wa mungu wako.
Si unaona Bashe anawasaidia wayahudi wenzie.
JKT ni wazo la Israel Ujue!Myahudi aje kufundisha kivipi? Vijana wanaoenda kule wanatoka SUA na wanaenda kwenye mafunzo kwa vitendo, mimi ndugu alikwenda akawa huko kwa karibu mwaka mzima. Walikuwa attached kwenye mashamba ya huko, kwamba wanapelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi ni hoja dhaifu mno.
Kama ni mafunzo ya kijeshi wanapelekwa wanajeshi wenyewe, sio wahitimu wa vyuo vikuu.
Vv
Okey tuseme "there is more to the story"Ni mpumbavu Tu ndo anaamini mtu ataenda Israel kujifunza kilimo'....
Na mtu mpumbavu zaidi ndo anaamini kuwa "the so called mwanafunzi " wa kilimo alikuwa attacked innocently.....
Watu wenye akili wanajua there is more to the story ....
Jeshi la israel na taasisi zingine kama immigration,polisi n.k kuna waafrika wengi tu hasa waethipia na waeritrea,na si kama eti wanawachukua chukua tu kama unavyoaminisha watu hapa,uwa wanakua raia wa israel kabisaTusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Nnaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kija a aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimi tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia inaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
Mbona unaleta ukinzani katika mabdandiko yako mwenyewe? Mara useme wakina Makamba na Bashe ndio wanafahamu mara utoe conclusion kwamba raia wa Tz wanahusika katika vita, kipi hicho unachokisimamia?Uwe jeshini Israel halafu useme wanateketea bila hatia?
Una akili kichwani au kwenye masaburi?
Umakasirika nini Bibie hizo picha ni za Wafalasha Mura Wayahudi wa Ethiopia waliopelekwa Israel miaka ya 80.Kwani uliambiwa hao mashoga wameenda kuingizwa jeshi la palestina?
Kabla ya Israel kuingia kwenye awamu hii ya vita na Hamas, mchakato ulikuwepo uliopeleka vijana wa kitanzania sio TU Israel lakini pia Marekani. Kama ilivyoada pongezi[emoji122][emoji122][emoji122]zilikuwa nyingi. Inawezekana wengine Bado wapo huko . Baada ya mauaji tumewageuzia kibao Bashe na Makamba (ambaye amekuta mchakato nilioufahamu 2019). Tuache unafikiTusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Nnaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kija a aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimi tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia inaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
😀 ishi na watu vizuri michongo ya israel ya kumwaga mbona 😀na mimi nataka kwenda israel
Haijalishi.Kabla ya Israel kuingia kwenye awamu hii ya vita na Hamas, mchakato ulikuwepo uliopeleka vijana wa kitanzania sio TU Israel lakini pia Marekani. Kama ilivyoada pongezi[emoji122][emoji122][emoji122]zilikuwa nyingi. Inawezekana wengine Bado wapo huko . Baada ya mauaji tumewageuzia kibao Bashe na Makamba (ambaye amekuta mchakato nilioufahamu 2019). Tuache unafiki
Vijana wawe jeshini Israel halafu Hamas wawakute nje ya mji wakiwa peke yao? umeona vitambulisho vyao vya jeshi?Kwa hao vijana, kama ni kweli Watanzania, kuwepo jeshini Israel maana yake Tanzania imechaguwa upande na ipo vitani rasmi.
Tusidanganyane kuwa atanzania haifungamani na yeyote.
Huu uzi hauongelei Hamas, usome vizuri.Mnajipa moyo kwa kuandika ujinga tu, mnajidai hamzijui tabia za Hamas enyi wapuuzi, hamjawahi kuona video yoyote Hamas wakiwachinja raia wasio na hatia? au na wale raia walienda kujifunza mafunzo ya kijeshi Israel?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hii Mada ni fikirishi sana,ukweli utajulikana mwisho wa siku.Vyovyote vile, nadhani mada umeiona.