denoo JG
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 2,701
- 9,759
Unazeeka na kuzidi kuwa mjinga, siku zote hizo usiandike huu ujinga wako wa kizee hapa, umeukumbuka leo ili kuwafichia siri hao ndugu zenu mashetani katika imani.Ni mpumbavu Tu ndo anaamini mtu ataenda Israel kujifunza kilimo'....
Na mtu mpumbavu zaidi ndo anaamini kuwa "the so called mwanafunzi " wa kilimo alikuwa attacked innocently.....
Watu wenye akili wanajua there is more to the story ....
Kwani ni mara ya kwanza wanafunzi wa kitanzania kwenda kujifunza nje kwa makundi? kwanini huko kote msiseme wazungu walete watu wao kuja kuwafundisha? hujawahi kuona Tanzania na nchi za nje tukibadilishana wanafunzi?
Jinga wahed.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app