Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Au watakuwa wametenda kupewa mafunzo ya kishoga ili wakija waendeleze ushoga kama Papa wao arivyowaamrisha MK254 mbona kimya ewe kafiri!
Sometimes kama huna kitu cha kusema bora ukae kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au watakuwa wametenda kupewa mafunzo ya kishoga ili wakija waendeleze ushoga kama Papa wao arivyowaamrisha MK254 mbona kimya ewe kafiri!
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimi tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia inaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
Huwa sikisi, ndiyo maana nikasema, tusitafute mchawi, Bashe na Makamba na Mama Samia wanaujuwa ukweli, ongezea na Waziri wetu wa Ulinzi. Unagtaka nini zaidi kuelewa hilo:Myahudi aje kufundisha kivipi? Vijana wanaoenda kule wanatoka SUA na wanaenda kwenye mafunzo kwa vitendo, mimi ndugu alikwenda akawa huko kwa karibu mwaka mzima. Walikuwa attached kwenye mashamba ya huko, kwamba wanapelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi ni hoja dhaifu mno.
Kama ni mafunzo ya kijeshi wanapelekwa wanajeshi wenyewe, sio wahitimu wa vyuo vikuu.
Vv

Ndiyo maana nikasema Makamba, Bashe , Mama Samia na sasa nakuongezea, waziri wetu wa ulinzi wanayajuwa hayo. Tusitafute mchaewi wa vijana wa Kitanzania wakifa front huko.Kwani ni mara ya kwanza tanzania kupeleka vijana nje kusomea jambo fulani?
Kwa record huu uratibu wa kupeleka vijana nje umekuwepo muda mrefu sasa.
Ulichoandika hapa ni hisia but no facts
Kumbe sisi tunapiga kelele za bure dahTusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimi tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia inaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
Huwezi kupewa msaadana Mmarekani kama haupo pamoja na Israel.Kumbe sisi tunapiga kelele za bure dah
Ni ukatili na aibu kubwa Watanzania kushiriki masuala ya kijeshi ya Israel.
Tunajiingiza kwenye mashaka makubwa kimataifa. Sasa Wapalestina na jamii ya wapenda haki wanatuonaje kama nchi.
Madhara yake ni makubwa huko mbeleni kuliko vifo vya vijana hao.
Kwenye hili namuona mtangulizi wa January ndiye anajua zaidiTunaoajuwa sisi ni wawili tiu, tujiulize 260 wako wapi?
Tena tuspate tabu ya kujiuliza, Makamba anajuwa, Bashe pia anajuwa.
Serikali nzima inajuwa nini kinaendelea. Hakuna siri kijana.Sasa naelewa kwa nini Faiza Foxy anashambuliwa vikali siku hizi mbili.
Upumbavu wa Msomali Bashe unatugharimu kama Taifa.
Kwa hiyo ule msimamo wa kutofungamana na upande umeshapigwa teke....Huwezi kupewa msaadana Mmarekani kama haupo pamoja na Israel.
Tanzania ni vibaraka wa Israel kama ilivyo marekani.
Ile ni siasa tu za kinafik tu.Kwa hiyo ule msimamo wa kutofungamana na upande umeshapigwa teke....
Tunakemea mauaji ya pale Gaza na Israel na hatujaona serikali yetu ikilaani hii vita, kumbe kuna mbinumbinu zinaendelea
Yaani sisi tunaenda kushiriki kukandamiza binadamu wengine.Serikali nzima inajuwa nini kinaendelea. Hakuna siri kijana.
Unafikiri juzi pesa za Millenium na Mmarekani burebure? Na jana imetangazwa IMF wamewachia zingine, kwa kuwa wanatupeda sana? Hapana.
Wananunuwa damu ya vijana wetu, halijaanza leo hilo, sema ujinga wa kina Bashe ni kusema uongo na kutuona Watanzania ni wajinga, si wangesema ukweli tu, vijana wanapelekwa mafunzo ya kijeshi.
Haiingii akilini vijana 260 waende kufundishwa kulima Israel wakati vituo kibao vya kilimo tunavyo Tanzania.
Na hiyo namba 260 haijaja hivihivi, hiyo ni idadi ya wanayopanda ndege moja ijae.
Kama haya hapa.Au watakuwa wametenda kupewa mafunzo ya kishoga ili wakija waendeleze ushoga kama Papa wao arivyowaamrisha MK254 mbona kimya ewe kafiri!
Ndiyo maana nikasema Makamba, Bashe , Mama Samia na sasa nakuongezea, waziri wetu wa ulinzi wanayajuwa hayo. Tusitafute mchaewi wa vijana wa Kitanzania wakifa front huko.
Mambo yapo wazi kabisa, siyo siri.
Halafu ameigoogle. Unaona alamyHIyo picha hao ni Wafalasha mura.
Una uhakika mama?Tena mazayuni kwa usjiga afadhali ya papa.
Huko kama siyo shoga huwi mwanajeshi.
Unafikiri picha zinatoka wapi? hewani? Tuna google:Halafu ameigoogle. Unaona alamy
