Makamba na Bashe semeni ukweli kuhusu vijana wa Kitanzania mliowapeleka Israel

Makamba na Bashe semeni ukweli kuhusu vijana wa Kitanzania mliowapeleka Israel

Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimi tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia inaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:

View attachment 2847132

Kwani ni mara ya kwanza tanzania kupeleka vijana nje kusomea jambo fulani?
Kwa record huu uratibu wa kupeleka vijana nje umekuwepo muda mrefu sasa.
Ulichoandika hapa ni hisia but no facts
 
Myahudi aje kufundisha kivipi? Vijana wanaoenda kule wanatoka SUA na wanaenda kwenye mafunzo kwa vitendo, mimi ndugu alikwenda akawa huko kwa karibu mwaka mzima. Walikuwa attached kwenye mashamba ya huko, kwamba wanapelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi ni hoja dhaifu mno.

Kama ni mafunzo ya kijeshi wanapelekwa wanajeshi wenyewe, sio wahitimu wa vyuo vikuu.

Vv
Huwa sikisi, ndiyo maana nikasema, tusitafute mchawi, Bashe na Makamba na Mama Samia wanaujuwa ukweli, ongezea na Waziri wetu wa Ulinzi. Unagtaka nini zaidi kuelewa hilo:

IDF soldiers train Tanzanian soldiers in Tanzania (Screencapture/Channel 13)

Chanzo:



IDF soldiers train Tanzanian soldiers (Screencapture/Channel 13)
 
Kwani ni mara ya kwanza tanzania kupeleka vijana nje kusomea jambo fulani?
Kwa record huu uratibu wa kupeleka vijana nje umekuwepo muda mrefu sasa.
Ulichoandika hapa ni hisia but no facts
Ndiyo maana nikasema Makamba, Bashe , Mama Samia na sasa nakuongezea, waziri wetu wa ulinzi wanayajuwa hayo. Tusitafute mchaewi wa vijana wa Kitanzania wakifa front huko.

Mambo yapo wazi kabisa, siyo siri.
 
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimi tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia inaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:

View attachment 2847132
Kumbe sisi tunapiga kelele za bure dah
Ni ukatili na aibu kubwa Watanzania kushiriki masuala ya kijeshi ya Israel.

Tunajiingiza kwenye mashaka makubwa kimataifa. Sasa Wapalestina na jamii ya wapenda haki wanatuonaje kama nchi.

Madhara yake ni makubwa huko mbeleni kuliko vifo vya vijana hao.
 
Tunaoajuwa sisi ni wawili tiu, tujiulize 260 wako wapi?

Tena tuspate tabu ya kujiuliza, Makamba anajuwa, Bashe pia anajuwa.
 
Sasa naelewa kwa nini Faiza Foxy anashambuliwa vikali siku hizi mbili.

Upumbavu wa Msomali Bashe unatugharimu kama Taifa.
 
Kumbe sisi tunapiga kelele za bure dah
Ni ukatili na aibu kubwa Watanzania kushiriki masuala ya kijeshi ya Israel.

Tunajiingiza kwenye mashaka makubwa kimataifa. Sasa Wapalestina na jamii ya wapenda haki wanatuonaje kama nchi.

Madhara yake ni makubwa huko mbeleni kuliko vifo vya vijana hao.
Huwezi kupewa msaadana Mmarekani kama haupo pamoja na Israel.

Tanzania ni vibaraka wa Israel kama ilivyo marekani.
 
Tunaoajuwa sisi ni wawili tiu, tujiulize 260 wako wapi?

Tena tuspate tabu ya kujiuliza, Makamba anajuwa, Bashe pia anajuwa.
Kwenye hili namuona mtangulizi wa January ndiye anajua zaidi
 
Sasa naelewa kwa nini Faiza Foxy anashambuliwa vikali siku hizi mbili.

Upumbavu wa Msomali Bashe unatugharimu kama Taifa.
Serikali nzima inajuwa nini kinaendelea. Hakuna siri kijana.

Unafikiri juzi pesa za Millenium na Mmarekani burebure? Na jana imetangazwa IMF wamewachia zingine, kwa kuwa wanatupeda sana? Hapana.

Wananunuwa damu ya vijana wetu, halijaanza leo hilo, sema ujinga wa kina Bashe ni kusema uongo na kutuona Watanzania ni wajinga, si wangesema ukweli tu, vijana wanapelekwa mafunzo ya kijeshi.

Haiingii akilini vijana 260 waende kufundishwa kulima Israel wakati vituo kibao vya kilimo tunavyo Tanzania.

Na hiyo namba 260 haijaja hivihivi, hiyo ni idadi ya wanayopanda ndege moja ijae.
 
Huwezi kupewa msaadana Mmarekani kama haupo pamoja na Israel.

Tanzania ni vibaraka wa Israel kama ilivyo marekani.
Kwa hiyo ule msimamo wa kutofungamana na upande umeshapigwa teke....

Tunakemea mauaji ya pale Gaza na Israel na hatujaona serikali yetu ikilaani hii vita, kumbe kuna mbinumbinu zinaendelea
 
Kwa hiyo ule msimamo wa kutofungamana na upande umeshapigwa teke....

Tunakemea mauaji ya pale Gaza na Israel na hatujaona serikali yetu ikilaani hii vita, kumbe kuna mbinumbinu zinaendelea
Ile ni siasa tu za kinafik tu.

Hatufungamani na upande wowote wakati Sheikh Ponda kaitisha matembezi ya amani akashikwa na kutiwa ndani? Fikiri.
 
Serikali nzima inajuwa nini kinaendelea. Hakuna siri kijana.

Unafikiri juzi pesa za Millenium na Mmarekani burebure? Na jana imetangazwa IMF wamewachia zingine, kwa kuwa wanatupeda sana? Hapana.

Wananunuwa damu ya vijana wetu, halijaanza leo hilo, sema ujinga wa kina Bashe ni kusema uongo na kutuona Watanzania ni wajinga, si wangesema ukweli tu, vijana wanapelekwa mafunzo ya kijeshi.

Haiingii akilini vijana 260 waende kufundishwa kulima Israel wakati vituo kibao vya kilimo tunavyo Tanzania.

Na hiyo namba 260 haijaja hivihivi, hiyo ni idadi ya wanayopanda ndege moja ijae.
Yaani sisi tunaenda kushiriki kukandamiza binadamu wengine.

Ni kazi bure tulifanya kupinga makaburu wa Afrika Kusini endapo yale yale waliyoyafanya na sisi as Taifa tunaenda kuyashiriki. Ingetosha kuunga mkono kinafiki.. lakini vijana 260?

Tukatae huu udhalimu
 
Ndiyo maana nikasema Makamba, Bashe , Mama Samia na sasa nakuongezea, waziri wetu wa ulinzi wanayajuwa hayo. Tusitafute mchaewi wa vijana wa Kitanzania wakifa front huko.

Mambo yapo wazi kabisa, siyo siri.

Kwamba hawakuenda kusoma walienda kufanya nini?
 
Back
Top Bottom