Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hao ni Raia wa Israel asili yao ni Ethiopia Faiza anataka kuzusha tu na kuzua taharuki.Kibibi kizandiki hiki.
Yani sura tu zinaonekana hao ni wahabeshi.
Body appearance, face structure 70% hawa. Vijana kama sio wanyarwanda, eritreA au ethiopia.Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimi tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia inaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
Katazame na post #107 uje useme na hao je?Dunia kwa sasa kiganjani.
Hao sio watanzania ni wahabeshi ambao walihamishiwa Israel miaka hiyo kulipotokea njaa .
Wametengewa nafasi chache kwenye majeshi ya Israel , ukimuona mweusi yoyote jeshini Israel 100% ni asili ya hao wahabeshi
Picha pia ni ya 2011 , nimefanya search kwa google lens na kufanya exact match.
Get your facts right next time.
Kwa kuwaangalia tu pia at least wahabeshi wanafanana na watu wa Eritrea. Ni mbali sana na Tanzania
View attachment 2847385
Madam faiza,Haijalishi.
Tunataka kuelewa walipelekwa jeshini au kujifunza kilimo?
Kuna wengine wanakwrnda kuwa manurse Uarabuni ambako matukio ya unyanyasaji kwa watanzania yako juu! Kama kuna mzazi atamruhusu mwanae aende uko ntamshangaa sana…Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimi tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia inaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
Hajui walichukuliwa wengi miaka ya njaa wakaenda kuzaliana Israel huko.Hao ni Raia wa Israel asili yao ni Ethiopia Faiza anataka kuzusha tu na kuzua taharuki.
Mkuu heshima yakoHao ni Raia wa Israel asili yao ni Ethiopia Faiza anataka kuzusha tu na kuzua taharuki.
Meno pause inamsumbua yule bibiHizi takataka zinashindwa kukemea unyama wa ndugu zao katika imani yameamua kuwalinda, hiyo dini nina wasiwasi nayo sana kama ndio ina waumini wa hovyo kama hawa wazee humu ndani.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Vipi wale wanaochukuliwa kwenda uarabuni na kuwa vijakazi wa ndani mwisho tunaona clip wakikinga mdomo huku mwarabu anamnyea tuseme nini?Mkuu heshima yako
Wapo vijana wetu huko na nchi nyingi tu za Africa wakifundishwa mafunzo ya kijeshi na martial arts ya Israel inayoitwa Krav Maga
Wizara yao ya Ulinzi pia inaandika sana tu haya wala sio siri duniani ila sisi kila kitu wanaficha
View attachment 2847439
Wewe ni mpumbavu. Aliyekuambia hao vijana walikuwa Israeljeshini ni nani?Uwe jeshini Israel halafu useme wanateketea bila hatia?
Una akili kichwani au kwenye masaburi?
Tupe link tukasome na tumone joshua mollel akifundishwa hapo la sivyo ni ujinga na utahira na monopause ya kushabikia dini iliokuja na majahazi
Wataalamu wa website embu tazameni hiki ni nini?
Umetoa hitimisho kwa hizo picha zilizotumwa na faiza foxy? Na Hao sio watanzania walio kufa ambao walienda kwa ajili ya kujifunza killimo ila umesikitisha sanNi mpumbavu Tu ndo anaamini mtu ataenda Israel kujifunza kilimo'....
Na mtu mpumbavu zaidi ndo anaamini kuwa "the so called mwanafunzi " wa kilimo alikuwa attacked innocently.....
Watu wenye akili wanajua there is more to the story ....
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132