Makamba na Bashe semeni ukweli kuhusu vijana wa Kitanzania mliowapeleka Israel

Makamba na Bashe semeni ukweli kuhusu vijana wa Kitanzania mliowapeleka Israel

Huwa sikisi, ndiyo maana nikasema, tusitafute mchawi, Bashe na Makamba na Mama Samia wanaujuwa ukweli, ongezea na Waziri wetu wa Ulinzi. Unagtaka nini zaidi kuelewa hilo:

IDF soldiers train Tanzanian soldiers in Tanzania (Screencapture/Channel 13)

Chanzo:



IDF soldiers train Tanzanian soldiers (Screencapture/Channel 13)
Naomba mtu aandike static.timeofisrael.com

Halafu rudi hapa uone kinachoandika,

Nyie huyu bibi ni muongo yaani anatumia nguvu nyingi mpaka nashangaa kwann
 
Mkuu heshima yako
Wapo vijana wetu huko na nchi nyingi tu za Africa wakifundishwa mafunzo ya kijeshi na martial arts ya Israel inayoitwa Krav Maga
Wizara yao ya Ulinzi pia inaandika sana tu haya wala sio siri duniani ila sisi kila kitu wanaficha
View attachment 2847439
Mbona sasa Hamas imewachukua muda mfupi tu kuingia Israel na kufanya mauwaji ya Wanajeshi na Raia?

Hamas imethibitisha kuwa IDF si lolote.
 
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:

View attachment 2847132
Bora hata wee dada umeweza kuwahoji mm nimewauliza watu huko Twitter kulikonk huyu mzazi anakwenda kufanya na itasadia nn

Niliishia kutukanwa
 
Ushaanza kibibi wa dini, yaani wewe kizee ulivyo na tabia mbovu huna aibu wala haya, hao vijana walienda kwa ajili ya mafunzo ya vitendo ya kilimo na si mara ya kwanza Watanzania kwenda Israel na kujifunza kilimo cha kisasa:

Hapa unataka kuaminisha watu kuwa hao vijana walienda kujiunga jeshi la Israel, huo ni uongo mkubwa na hizo picha za kutengeneza na iko wazi, hivyo kwanza katika kipindi hiki kigumu wewe unaleta umbea humu, nadhani serikali inabidi ikusake ueleze huu uongo unatoa wapi.

Wizara ya habari, mtafuteni huyu kibibi ayesambaza uongo na umbea kisa picha za kutengeneza, inafaa utafutwe, alafu Jamhuri ikufungulie mashtaka juu ya upotoshaji mkubwa huu.

Hivi, kwa awamu ya Serikali ya awamu ya 6, ifanye huu upuuzi eti iwapeleke jeshi huko Israel? Kwanini umbea unasambaza mitandaoni wewe kizee? Mh. Nape tusaidie, hii sio sawa. Kisa unawa support Hamas, ndio unapindisha habari na kutaka kutuambia watanzania wenzetu wameuawa sbb walikuwa wamejiunga na jeshi la IDF, kwanza huu upotoshaji adhabu yake ni kali sana, huwezi kuamka na kuanza kujitungia tu story za uongo kuleta taharuki kwa public na serikali kwa ujumla kwa jambo la uongo, kisa unashabikia Hamas, huku ukijua Watanzania wenzetu wameuawa kinyama na magaidi, bila hata kuwaza, unaanza kupotosha.

Mh. Nape, hii ndio kazi yako tafuta mtu kama huyu, hawa aeleze anajua nini, akishindwa kudhibitisha, jela ipo, itakuwa funzo kubwa.

Israel imekuwa ikiisaidia Tanzania tangu kale. Ni Israel ndiyo ilitujengea chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Israel imemuwa imitoa mafunzo katika fani ya kilimo na tiba kwa mataifa mengi ya Afrika.

Hayo magaidi ya Hamas Hizbollal, Alshabab, IS na Boko Haram, mchango wao katika ulimwengu huu ni mauaji tu.

Magaidi ya Kibiti, naona yanajitahidi kuyasifia magaidi menza. Lakini wajue kuwa Ulimwengu wa Wastaarabu, hautayaacha yatambe. Yameua wasio na hatia 1,000; yatalipia kwa 50,000.
 
Hiyo picha uliyoiweka haina uhusiano na vijana wa kitanzania.

Hao ni wale waethiopia wenye asili ya kiisraeli.

Acha uongo wewe bibi.
 
Vipi wale wanaochukuliwa kwenda uarabuni na kuwa vijakazi wa ndani mwisho tunaona clip wakikinga mdomo huku mwarabu anamnyea tuseme nini?
Hao ni tofauti kabisa na hawa wanaoenda kufundishwa namna ya kuuwa
Wote wanapelekwa na serikali na hili swali ungeuliza kwa wahusika waliowaombea ajira za kwenda huko
Kama walienda kufanya kazi za ndani na badala yake wakafanyiwa unyama huo na imethibishwa kuwa ni watz basi ni jukumu la serikali kuwarudisha
Sisi tunajadili tu kuhusu Hao wajeda na sio vijakazi kwa sasa
 
Bora hata wee dada umeweza kuwahoji mm nimewauliza watu huko Twitter kulikonk huyu mzazi anakwenda kufanya na itasadia nn

Niliishia kutukanwa
Kuhoji ili upate jibu ni sawa ila kutengeza majibu ya uongo na picha za kuokota kuhalalisha uongo wako hii siio sawa
 
Gaidi lazima atumie nguvu kutetea magaidi wengine. Ugaidi ni imani.
Yaani nashangaa sana mkuu!

Jana alikuja mmoja akaleta picha ya mtu anaonekana kavaa nguo za jeshi akisema kwamba ni joshua mollel.

Yaani unabaki unacheka ni kama zile picha unajiedit upo na messi nyuma kuna daraja la salendar.

Hawa watu akili zilishatafunwa!
 
Mbona sasa Hamas imewachukua muda mfupi tu kuingia Israel na kufanya mauwaji ya Wanajeshi na Raia?

Hamas imethibitisha kuwa IDF si lolote.
IDF wanajisifia wao na marafiki zao kuwa wana jeshi balaa ila hamna lolote na hamas wamewaweza sana
 
Bibi yetu kumbe kuna nyakati netweki inashika au ndio kusema kuna wakati unaamua kujitoa ufahamu? Angalau sasa unaonesha kidogo roho ya kiubinadamu kuhoji mustakabali wa raia wa Tanzania ambao wanateketea huko Israel bila hatia, mara nyingi tunakuona ukiwaunga mkono HAMAS wanaochinja watu hadharani
Kwenye suala la udini network ya bibi iko vizuri.

Yeye hataki vijana wasome ujasusi huko Israel. Anataka waende madrasa Iran
 
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:

View attachment 2847132
Enzi zile kabla ya vita havijaanza ilikuwa ni siri kubwa na tusingejua chochote.
Hao wakirudi watakuwa na nyoyo za kikatili sana.Watapiga wapinzani na kila mtu atakayepingana na fikra za kiyahudi.Waislamu wataendelea kupotea bila kujulikana walikopotelea.
Kwa ile picha iliyosambazwa jana.Inaonekana alikuwa akijibu vibaya.Upande wa pili mmoja alikuwa akiuliza sana wenzake.Kuna nini؟ .yaa shabaab.bleesh يا شباب بلى شرء
 
Yaani nashangaa sana mkuu!

Jana alikuja mmoja akaleta picha ya mtu anaonekana kavaa nguo za jeshi akisema kwamba ni joshua mollel.

Yaani unabaki unacheka ni kama zile picha unajiedit upo na messi nyuma kuna daraja la salendar.

Hawa watu akili zilishatafunwa!
Ila wapo wanaofunzwa kijeshi huko Israel hilo tunalijua
 
alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?
Ulitaka wasisome ujasusi kwa mzayuni waende kusoma madrasa Iran?
 
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:

View attachment 2847132
gaidi ni gaidi tu. ni kwamba unaweka hizi picha za wayahudi wa kiethiopia ili dunia iamini kwamba wale vijana walipelekwa kule kijeshi? BAshe ambaye ni msomali swala tano, makamba naye hivyo, mama samia naye hivyo, kwamba wangefanya hivyo? haujui kwamba walienda Israel kujifunza kilimo kwa vitendo kwenye mashamba ambayo tayari yapo? haujui kuwa Israel iligeuza jangwa likazalisha mazao yote unayoyajua hapa duniani wakati waarabu waliowazunguka bado wanachamba kwa kutumia mchanga jangwani hawana uwezo kulima chochote? wewe ni mjinga sana na umelaaniwa. jaribu kuwa na utu walau kidogo basi. mzazi wa Joshua anaenda Israel sio kwa msaada wa serikali yako ya kina makamba na bashe au yeyote, serikali yako masikini imeshindwa kusaidia kuokoa yeyote. Ubalozi wa Israel Kenya ulikuja Arusha na wao ndio wametoa hiyo offer. Ukiangalia ile clip ya Joshua na ile ya Clement wote walikabidhiwa baiskeli na wameuliwa wakiwa na baiskeli walizokuwa wanatumia mashambani. hivi mlipeleka wapi utu ninyi? kwanini mioyo yenu imejaa mashetani na roho mbaya kiasi hicho? kweli unataka kutwist hii issue ionekane wale vijana waliuliwa kwa halali kwa kuwa walikuwa wanajeshi? shida hata kutwist hauwezi kwasababu kichwani empty, unaujua ubwabwa na uuaji tu hakuna elimu wala akili.
 
Hao ni tofauti kabisa na hawa wanaoenda kufundishwa namna ya kuuwa
Wote wanapelekwa na serikali na hili swali ungeuliza kwa wahusika waliowaombea ajira za kwenda huko
Kama walienda kufanya kazi za ndani na badala yake wakafanyiwa unyama huo na imethibishwa kuwa ni watz basi ni jukumu la serikali kuwarudisha
Sisi tunajadili tu kuhusu Hao wajeda na sio vijakazi kwa sasa
Jeshi linaprogramu ya kuwa na mafunzo ya pamoja hilo ni jambo lla kawaida ila huu uongo wa faiza foxy hapana
 
Back
Top Bottom