Ukweli pia unasema kutegemea chanzo kimoja cha nishati ya umeme unaotegemea maji ni hatari kwa usalama wa nchi, yaani kukitojea ukame nchi itakosa nishati nafuu kuendesha shughuli za uchumi wake.
www.jamiiforums.com
BUNGENI: Mchango wa Prof. Sospeter Muhongo amechangia na kutoa ushauri ufuatao
Wakuu Jana Prof Sospeter Muhongo amechangia Kwenye Bajeti ya Nishati na kutoa ushauri ufuatao: (1) Ukuaji wa uchumi wetu uendae na upatikanaji wa umeme mwingi na wa bei nafuu GDP/Capita: *US$ 3,000 na MW 10,000 -15,000 *US$ 1,500 na MW 5,000 (2) Tuwe na Vyanzo vingi vya uzalishaji wa umeme -...