Makamba unampa taarifa za uongo Rais kwa faida ya nani?

Mmh,sawa,wakufikirie siku zinayoyoma mno angarau hata.......
 
Best comment of the year
 
Correct [emoji817]%
 
Nitajie Waziri yoyote ndani ya serikali ya JPM na Samia, ambaye ni bold enough angeweza kusema ukweli mchungu kama huu?. Nani angethubutu kuyasema haya?.
P
Mkuu watanzania hasa viongozi wa ccm huwa wana uwezo mdogo wa kufikiri na kila kukicha wao nikusifia watawala wao hata pale wanapokosea kwa leongo yakutengeneza mazingira yao wenyewe na familia zao.. kwani suala la gesi si toka awamu ya JK wimbo huo huo unaimbwa, akaja JPM wimbo huo huo sasa hivi yupo mwingine na mawaziri wake na wimbo ni huohuo...
 
hako kajamaa kanaonesha ni kiasi gani kalivyo keupe kichwani na ni type ya wale watu wa kujipendekeza bila kujali ni maumivu kiasi gani wanapitia wananchi kwa sasa
 
Maza naye washajua udhaifu wake kuwa ni mpenda sifa
 
Hakuna kiongozi mjinga ccm, wote wako smart na akilizao zinafanya kazi vizuri tu,hao wanajitoa akili makusudi Ili mambo yao yaende sawa.
Wanafanya ujingaujinga makusudi kwa sababu wanajua wananchi hawawezikuwafanya chochote.
 
Mm n familia yangu tumemwelewa makamba Jr.
Mama kanyaga twende tumecheleweshwa mnooo kama taifa zaidi ya miaka 7.





Tunachokijua:
 
Uwezo wqke tumeupima na kuuona..
 
Swali. Hitaji la Tanzania ni Megawatt ngapi? Ili tuone kuwa uzalishaji wa Mw 2100 hautoshi
 
Swali kwenye mada ni hili 52%, 37% au 22% wakati Makamba anapokea uwaziri?
 
Swali kwenye mada ni hili 52%, 37% au 22% wakati Makamba anapokea uwaziri?
Wakati Makamba anaingia madarakani sijawahi kusikia ikitajwa alichukua ikiwa asilimia ngapi ila wakati Samia anaingia ilikuwa 37%. Hiyo 22% sikuwahi kuiskia labda kama una clip yake niisikilize huenda nikajua ni kitu gani kilichokuwa kinazungumziwa. 52% ni chai za Kalemani tu hizo.
 
Mwigulu anasema Bwawa lilikuwa 12% wakati Rais Samia anaingia madarakani
 
Nitajie Waziri yoyote ndani ya serikali ya JPM na Samia, ambaye ni bold enough angeweza kusema ukweli mchungu kama huu?. Nani angethubutu kuyasema haya?.
P
Pascal Mayalla naomba nikuthibitishie Januari Makamba ni rafiki sana wa waandishi wa habari na wasanii na anatumia sehemu kubwa ya fedha kujenga mahusiano nao kwa faida hizi unazozisema. Lakini mbele ya macho ya watanzania ni tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…