Makamishna wastaafu wa Polisi wataka jamii iwatumie kwa ushauri, pia wako tayari kutangaza utalii

Umoja wa WADHULUMU haki za Binadamu Tanzania umeundwa lini? Bora hata Polisi wadogo kuliko hawa Makamishna waliopo kwa ajili ya kulinda nafasi zao badala ya kutetea wananchi.
 
Nashindwa kuelewa jamii itake ushauri gani kwa makamishna wastaafu, wakati wananchi walikuwa wanatendewa sivyo na wao wakiwa kazini wameshindwa kuliona hilo. Sasa wataishauri vipi jamii?
😃😃😃 sijui aina gani ya ushauri nikaombe..

Wao na utalii wapi na wapi hawa jamaaa..
 
Wakiwa kwenye magari ya washawasha waliiona jamii kama siyo sehemu yao. Wapambane na hali zao!!
 
Mbona magenerali wetu awataki wananchi tuwatumie kwa ushauri...
 
[emoji2][emoji2][emoji2] sijui aina gani ya ushauri nikaombe..

Wao na utalii wapi na wapi hawa jamaaa..
Kaombe ushauri huu "Ukitaka kununua kituo kidogo cha polisi ili ukigeuze bar kwa vile kina kaunta nzuri unaanzaje!"
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
😃😃😃😃😃😃😃

Manjagu ni noma
 
Hata viongozi wa dini siwezi, nakumbuka Mbeya waliwahi kugoma kujenga kituo cha polisi kwa kuogopa kitakapokamilika watapigwa.
 
Ujumbe umefika, wao walipokuwa kazini waliomba ushauri kwa nani - huko kwenye jamii wanaishi na watu "wawashauri tu bila kuomba ruhusa".

Nami nawashauri waanzishe kampuni za ulinzi ili wajiongezee kipato, waanzishe hotculture ili waweza kujikwamua kiuchumi
 
walifanya nini cha maana mpaka jamii iwatumie?
 
Wangewashauri hao waliowaachia vyeo wanaoua na kubaka raia kipindi cha uchaguzi! wangewashauri akina siro kuacha kuwa Police wa CCM badala yake wawe polisi wa jamii nzima!
Hivyo kwa utamaduni mliojijengea makamishina jamii yenu ni wana ccm tu achana na wengine msije mkaibua vidonda na kufukua makaburi mliyojaza maiti za jamii
 
Sawa, watatafutwa na wale wanaohitaji ushauri kutoka kwao. Kwenye swala la utalii wanaweza kutumika kuchochea utalii wa ndani kwa kushiriki kampeni za kupanda mlima kilimanjaro na kutembelea mbuga za wanyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…