Makamo wa Rais Dkt. Mpango huyu Tajiri Muha Muyama ni nani Kwako? Kwanini ana Kiburi na Kaibuka Wewe ulipokuwa tu Makamu wa Rais?

Makamo wa Rais Dkt. Mpango huyu Tajiri Muha Muyama ni nani Kwako? Kwanini ana Kiburi na Kaibuka Wewe ulipokuwa tu Makamu wa Rais?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Halafu wakati ukijiandaa ( ukiniandalia ) Majibu yangu kwa Maswali niliyokuuliza nina Swali lingine Kwako, kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na JWTZ kwa Kawe Lugalo.

Makamu wa Rais na hao Watendaji wote niliowataja hapo juu pamoja na wa JWTZ ni kwanini hilo Ghorofa Kubwa na linalojengwa na huyu Tajiri Muha aitwae Muyama jirani na Kambi ya Lugalo Kawe ( sehemu iitwayo ) kwa Masai halina Vibali ( Tangazo ) kuwa anayejenga ni nani na anajenga nini hapo?

Na kwanini Uongozi wa JWTZ kuna Mzee Mmoja Mstaafu anaishi Kawe jirani na Chuo cha Tiba alitaka Kujenga Jengo la Ghorofa Nne ( 4 ) tu akazuiwa, ila huyu Muyama Muha anayejenga Mita chache tu kutoka Ukuta wa Lugalo Yeye ameruhusiwa?

Najua Makamu wa Rais Kiutamaduni Wewe ni Mtani wangu ukiwa Muha wa Kigoma na MImi Mzanaki wa Mara lakini katika hili naomba tuweke Utani Wetu pembeni na unipe majibu ya Kutosha kwani mpaka unaona leo GENTAMYCINE nimekuja na Uzi huu ( Taarifa hii ) jua nina Information za kutosha tu za kuhusu huyu Muyama na Wewe ila kwa sasa nakusikilizia.

Haya Watu wa TISS, CMI na Wasaidizi wa Rais Samia naombeni mkae tayari kwa Mrejesho wa huu Uzi lakini pia tayari GENTAMYCINE nimeshawarahisishia sehemu ya Kuanzia kwani kuna Kubwa linaloendelea hapa ambalo linaweza hata Kumchafua Makamu wa Rais wa sasa.

Muyama baadae nitakatishia hapo!!!
 
Baada ya jasusi kufanya yako umekuj kutupa info... Niko hap nasubiri mrejesho
Kwa Information nilizokusanya hapo na huyo Muyama na Makamu wa Rais wa sasa Dkt. Mpango natamani hata Katiba Mpya ipatikane Leo hii.

Sasa naamini kuwa hakuna Kiongozi asiyejinyakulia Keki Tamu ya Tanzania hasa akiwa Madarakani na sijui ni kwanini Wengi Wao hupenda Kuwatumia Ndugu zao ( hasa Wajomba au Watoto ) ili wasijulikane.

Na kilichonishangaza zaidi ni kwamba Tanzania tuna Waandishi wa Habari ila wameshindwa Kunusa Uhuni unaoendelea hapo hadi Mimi GENTAMYCINE Mtu wa Kawaida tu nimeweza Kuzinyaka zote za Ndani.

Najua baada ya kusema hilo Jengo halina Kibao ( Tangazo ) kama Sheria inavyotaka kwa Mkandarasi wa Ujenzi muda wowote kuanzia sasa najua hiko Kibao ( Tangazo ) hilo litawekwa ili tu kuweza Kuonyesha kuwa nimedanganya na kwamba lilikuwepo.
 
Muyama One
Huyo huyo Mkuu. Aanze tu Kufuatiliwa upesi sana na aeleze Pesa anatoa wapi, ukaribu wake na Makamu wa Rais Dkt. Mpango, kwanini Utajiri wake umeibuka pale Makamu wa Rais alipomaliza Kuapa Ikulu na kwanini anaogopwa na Watendaji wa Mamlaka?
 
Halafu wakati ukijiandaa ( ukiniandalia ) Majibu yangu kwa Maswali niliyokuuliza nina Swali lingine Kwako, kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na JWTZ kwa Kawe Lugalo.

Makamu wa Rais na hao Watendaji wote niliowataja hapo juu pamoja na wa JWTZ ni kwanini hilo Ghorofa Kubwa na linalojengwa na huyu Tajiri Muha aitwae Muyama jirani na Kambi ya Lugalo Kawe ( sehemu iitwayo ) kwa Masai halina Vibali ( Tangazo ) kuwa anayejenga ni nani na anajenga nini hapo?

Na kwanini Uongozi wa JWTZ kuna Mzee Mmoja Mstaafu anaishi Kawe jirani na Chuo cha Tiba alitaka Kujenga Jengo la Ghorofa Nne ( 4 ) tu akazuiwa, ila huyu Muyama Muha anayejenga Mita chache tu kutoka Ukuta wa Lugalo Yeye ameruhusiwa?

Najua Makamu wa Rais Kiutamaduni Wewe ni Mtani wangu ukiwa Muha wa Kigoma na MImi Mzanaki wa Mara lakini katika hili naomba tuweke Utani Wetu pembeni na unipe majibu ya Kutosha kwani mpaka unaona leo GENTAMYCINE nimekuja na Uzi huu ( Taarifa hii ) jua nina Information za kutosha tu za kuhusu huyu Muyama na Wewe ila kwa sasa nakusikilizia.

Haya Watu wa TISS, CMI na Wasaidizi wa Rais Samia naombeni mkae tayari kwa Mrejesho wa huu Uzi lakini pia tayari GENTAMYCINE nimeshawarahisishia sehemu ya Kuanzia kwani kuna Kubwa linaloendelea hapa ambalo linaweza hata Kumchafua Makamu wa Rais wa sasa.

Muyama baadae nitakatishia hapo!!!
Labda huyo Muyama nae Ni Tiss utajuaje?! au unawajua wote mkuu
 
Munyama sio mtanzania ni mrundi kama alivyo makamu wenu wa uraisi
Tunamsemea Muyama na siyo huyo Munyama wako. Kuhusu Yeye kuwa ni Mburundi ninachojua tu ni kwamba Mtanzania Halisi ni Mgogo peke yake ila tuliobakia ni Wageni kutoka Mataifa Jirani ( Karibu ) na huu ndiyo Ukweli Wenyewe.
 
Halafu wakati ukijiandaa ( ukiniandalia ) Majibu yangu kwa Maswali niliyokuuliza nina Swali lingine Kwako, kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na JWTZ kwa Kawe Lugalo.

Makamu wa Rais na hao Watendaji wote niliowataja hapo juu pamoja na wa JWTZ ni kwanini hilo Ghorofa Kubwa na linalojengwa na huyu Tajiri Muha aitwae Muyama jirani na Kambi ya Lugalo Kawe ( sehemu iitwayo ) kwa Masai halina Vibali ( Tangazo ) kuwa anayejenga ni nani na anajenga nini hapo?

Na kwanini Uongozi wa JWTZ kuna Mzee Mmoja Mstaafu anaishi Kawe jirani na Chuo cha Tiba alitaka Kujenga Jengo la Ghorofa Nne ( 4 ) tu akazuiwa, ila huyu Muyama Muha anayejenga Mita chache tu kutoka Ukuta wa Lugalo Yeye ameruhusiwa?

Najua Makamu wa Rais Kiutamaduni Wewe ni Mtani wangu ukiwa Muha wa Kigoma na MImi Mzanaki wa Mara lakini katika hili naomba tuweke Utani Wetu pembeni na unipe majibu ya Kutosha kwani mpaka unaona leo GENTAMYCINE nimekuja na Uzi huu ( Taarifa hii ) jua nina Information za kutosha tu za kuhusu huyu Muyama na Wewe ila kwa sasa nakusikilizia.

Haya Watu wa TISS, CMI na Wasaidizi wa Rais Samia naombeni mkae tayari kwa Mrejesho wa huu Uzi lakini pia tayari GENTAMYCINE nimeshawarahisishia sehemu ya Kuanzia kwani kuna Kubwa linaloendelea hapa ambalo linaweza hata Kumchafua Makamu wa Rais wa sasa.

Muyama baadae nitakatishia hapo!!!
SAsa kama hao JWTZ wamekuwa wapuuzi wa kujenga frem chafu kama zile unategemea huyo Muha asijenge ghorofa... Wewe duniani umeona wapi kambi ya Jeshi inanajisiwa kisi kile....??? KAmbi ya Jeshi inachafuliwa na Mafrem ya aajbu ajabu...


Hao JWTZ waondoe na zile Frem Zivunjwe mara moja na ule uoto wa asili urejeshwe kwa kupandwa miti sio ule uchafu unaoendelea pale...
 
Nimekujibu tu mkuu! Unajuaje labda huyo Munyama nae Ni wakitengo,so sio hatari kujenga hapo
Sawa Muyama nimekupata. Ila yule Demu uliyeondoka nae Jana Kaathirika na 'Dally Kimoko Guitar' vipi Ulikumbuka lakini Kujifunika na Mwamvuli mlipokuwa mkifanya nae Mazoezi ya Kibaikolojia?

au nawe uliamua 'Kujilipua' mazima kama nifanyavyo Mimi na kwamba liwolo na liwe?

Leo mida ya Saa 9 hivi Alasiri au Saa 10 Jioni nitapita hapo Kawe 'Kwa Masai' unapojenga nikienda Maua kuna Goma huko nataka 'nikalichujie' Madini ya Kibaikolojia kama nawe ulivyomchujia' yule Demu wako wa Jana.

Watani zangu Waha mna tabu mno.
 
SAsa kama hao JWTZ wamekuwa wapuuzi wa kujenga frem chafu kama zile unategemea huyo Muha asijenge ghorofa... Wewe duniani umeona wapi kambi ya Jeshi inanajisiwa kisi kile....??? KAmbi ya Jeshi inachafuliwa na Mafrem ya aajbu ajabu...


Hao JWTZ waondoe na zile Frem Zivunjwe mara moja na ule uoto wa asili urejeshwe kwa kupandwa miti sio ule uchafu unaoendelea pale...
Nilishalisemea hili hapa JamiiForums na kuja na Mada zangu Kuu Mbili juu ya Kupinga ule Ujenzi, ila nikaona Former CDF alikuwa ameshakuwa 'Fixed' na Kabariki huo Upuuzi hapo.

We've already Commercialized our Army Chief so just sit and relax to see the negative impact of that especially to our Soldiers and Security as well.

Tunajiamini mno na tumeshajisahau.
 
Baada ya awamu hii,

Mambo ya kijinga yote yatabakia historia.

Acha wafurahishane sasa.

Ndio wakati wao.

Mungu atasimamisha mtu ambaye ataondoa kila baya linofanyika sasa.
Na huyo atakuwa ni President GENTAMYCINE tu Mkuu. Na 99% ya Watendaji wangu watakuwa ni JamiiForums Members hivyo kuanzia Leo muanze kuwa na Adabu na jueni kuwa mpo na Rais Mtarajiwa ambaye nitakuwa ni zaidi ya Hayati Rais Dkt. Magufuli Kimaamuzi, Kiutendaji, Kiukali.

Na kuna uwezekano mkubwa wale watakaokuwa wanaenda Kinyume nami wakawa ama wanachezea Nakozi zangu au nawawamba mno Makofi. Na nitaongoza kwa miaka yangu Mitano tu ila Tanzania itaifikia Marekani, China, Uingereza na Israel kwa Maendeleo. Kikubwa niombeeni tu Uhai mrefu na nipunguze pia Kupenda Mbunye na Kuchuja Madini ya Kibaikolojia kwa Mabeibe.
 
Back
Top Bottom