mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Dah aisee.Hivi ina Maana Kampuni ya Voda na Hao Tigo ni Wakubwa Kuliko Serikali? Mbona wanataka kumchefua Rais wetu ambaye Kaanza vyema sasa Malalamiko kama haya Watanzania si Wataanza kutuona Sisi CCM kama ni Wale wale tu.Vodacom wana kiburi kwakuwa mfadhili wao mkuu ni serikali. Viongozi wote wa serikali na taasisi zake wanazo line za Vodacom, kila mwezi wanapewa vifurushi vya kutisha ambavyo hata wangetumia vipi hawawezi kuvimaliza ndani ya mwezi.
Hela wanayovuna Vodacom serikalini hata hawatuhitaji tena tunaotaka tutumie kifurushi cha sh 2,000 kwa wiki.
Jamani wasaidizi wa Rais kama mnasoma hizi thread mwambieni Mama,au ndio mpo tena mmeanza kumharibia kwa kuwa yuko fire na anatupenda Watanzania?🤷🤷🙆🙆