Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Naona halotel wamekaza....nchi hii ujinga mwingi sana.Hapa tusilaumiane bure kosa ni la TCRA maana ndiyo walizitaka kampuni kufanya mabadiliko ya vifurushi hivyo, hapa serikali inabeba lawama, japo TCRA wametoa tamko kama linavyoonekana hapa chiniView attachment 1744454