IoT
JF-Expert Member
- Apr 21, 2014
- 1,057
- 1,402
Hivi ni nani anayechukukuaga hizi nyuzi na kupeleka phoenix? Nimeuliza kwa uzuri tu kwa kutaka kujua. View attachment 1742877
Technology imekua Kiongozi, matumizi ya Artificial Intelligence (AI). Ni automatically inafanyika hiyo, hakuna anayepost huko. Trending news zinakuwa feeded huko kwa AI.