Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chief haya mambo ya jana yabaki jana. Kwa nilipo leo ni siku nyingine nahitaji maswala mengine.Na wewe si umeita watu "uchuro",ndio unachoweza!
Wewe ulikua monkey,mimi nikawa gorilla kabisa...
Wanadamu bwana,yeye hana kosa,wengine ndio tuna makosa..
Tatizo huo mtandao unachoniuz unashika sehemu na sehemu ahushiki sehemu zote bado hauna nguvu sjui tatizo ni minaraHamia ttcl kumenoga[emoji39]
Kwa lipi!!?? Si ndo aliyetuachia huu msala?Namkumbuka anko Magu kwa kweli
Nilichomaanisha ndiyo hicho kwamba sijui kitu kuhusu programmingHata jibu lako linaonesha you know nothing about programming........kutoka Bei chee had kuja Bei ghali ilipangwa kwa siku kadhaa ,hvo turning point is not much simple , emplementation needs time broh.....you know nothing about programming....hii kitu sio mkate at utakanda na kuoka
Huyo uliyemtaja si ndiyo aliyetuachia hili tatizo au!!?? Umesahau tamko lilitolewa enzi za utawala wake!serikali hii haina nguvu..... ni hivyo tuu.. angekua Maguguli pangesha chimbika
Bado zipande tu ili watu wapungue mitandaoni wasio na cha kiandikaKati ya watu waliokuwa wanafurahia bei mpya za bundle unaonekana nawewe ulikuwa mmoja wao.
kama ulikuwa ndo mpango wake pangechimbika vipi tenaserikali hii haina nguvu..... ni hivyo tuu.. angekua Maguguli pangesha chimbika
We **** kweli ungekua karibu ningekupasua mbwa ww unatakuna humu unadhani nakuogopa shoga ww?? Kama biashara ya mama ako mwambie atafute cha kufanya sio kuumiza wananchi shoga mkubwa ww na usirudie ku comment ninachoandikaHii arrogance unaitoa wapi ndugu?
Hupendi bei ya mtu na bidhaa zake eti unamfukuza nchi wakati ni raia kama wewe?
Mzima kweli wewe?
Kipindi kile faida ilikuwepo sasa hivi gharama za uendeshaji zimepanda au unadhani gharama za uendeshaji zinabaki hivyo hivyo?
Mitambo sasa kuiendesha gharama zake zimepanda,bei ile ile haifai,inatakiwa ipande kuakisi OPEX na CAPEX bila hivyo hii mitambo itazima na hizo bando zenyewe hamtakaa mpate moja kwa moja sasa
Wewe unakomaa bei ya zamani ibaki,hizo gharama za uendeshaji nani ajazie?Mavi?
Hutaki huduma zima simu sio lazima utumie bando
Acheni usenge basi
Kubadili tarrifs kwenye systems za IN wala sio kitu cha muda mrefu...Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid