Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Kitaalamu mavi gani kwnn wasingeomba radhi. Mzee angekuwepo we ungetumbuliwa tu ndio wale wa tuko kwenye mchakato...upumbavu.
 
Huyu Ndungulile hakuna anachofanya - atumbuliwe tu ili aapishwe mwengine Jumanne kama mama Samia alivyotu promise!
Tumbua tumbua ya magufuli haijawahi kuwa na tija zaidi ya kuwajaza watumishi nidhamu ya uoga na unafki .
 
Naomba nimkumbushe Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kwamba ni uvumilivu wa Watanzania ndio umetufiksha hapa tulipo. Tafadhali ingia kazini kwani kazi uliyo nayo ni kubwa...kurudisha imani ya Watanzania kwamba nchi yetu kwa sasa iko salama mikononi mwako.

Anza kulifukia hilo shimo tulikotumbukia mikononi mwa fashisti uchwara tuweze kuendelea kukuunga mkono. Lakini ukianza kuyumba mapema hivi unatupa mashaka na hivyo kuzima taratibu matumaini yetu.

Tunahitaji tiba ya haraka kwa majeraha tuliyopata kwa kipindi cha miaka minne na kweli tuliumizwa sana mheshimiwa Rais!
 
Toka enzi za Magufuli bei za vifurushi zilikuwa gumzo lakini pamoja na hayo hakuna kampuni iliyothubutu kupandisha gharama za vifurushi japo waliendeleza maongezi kutafuta suluhu na njia bora kwani walijua kwa kufanya hivyo kipindi cha Magufuli hakika wasingebaki salama kwani Magufuli mara nyingi alipenda kusimama upande wa wananchi hususan wenye kipato cha chini.Ila baada ya mwendazake kutangulia kampuni za simu zimejaa viburi na hata waziri naye hana wasiwasi kwakuwa anajua hakuna wa kumtumbua.Inasikitisha sana kuona ndani ya kipindi kifupi watanzania tumeshaanza kumkumbuka Magufuli.Leo Rais Samia amewasili Dar kwa kutumia ndege kubwa ya serikali lakini angekuwa Magufuli angetumia usafiri wa gari ili aweze kusimama sehemu mbalimbali kujionea miradi mbalimbali ya maendeleo na kuongea na wananchi.Inasikitisha sana.

Tutakukumbuka daima.Taifa linakukumbuka sana.Endelea kupumzika kwa amani mpendwa wetu JPM
 
Sijawai kuona baba kaondoka alafu kusitokee mabadiliko hasi tulieni hii ndiyo hari harisi si jambo geni Chuma hakipo
 
Sijaisoma kanuni mpya inasemaje lakn km kunakipengele kinachomtaka mtoa huduma kutoa taarifa kwa mlaji Kama Kuna mabadiliko ya vifurushi kwa muda flni Sasa zimepita siku ngp toka wamechange? Je tupo ndani ya muda kisheria?
 
Contract is Holly and sacrosanct even the state can't interfere

Mtoa huduma anamkataba na mlaji sio na serikali ilimeadi anauza bika kuvunja sheria za nchi
 
Nani kakwambia serikali imepandisha bei?

Bei imepandishwa na mitando ya simu kufidia gharama na faida yao

Wananchi wapenda bure wakaanza kulia,serikali imezuia hizo bei kama kawaida yao ya kuingilia biashara za watu?

Nimerudia rudia nini?

Nikirudia rudia kitu....soma kimoja,vilivyorudiwa usisome

Zinaumiza hao wananchi na halafu wakiumia gharama za kuendesha hao watoa huduma zitoke kwa nani?

Zitoke mbinguni au unadhani hela zinaota kwenye miti?

Wewe ni mwananchi,unaona umeumizwa kutokana na upeo wako na hali yako na maslahi yako wewe mwananchi,mtoa huduma hajaafikiana na wewe,unamlalamikia nani sasa?

Wewe unalia shida na mtoa huduma analia shida the same way,kwavile wewe una serikali na wanasiasa mavichaa,unayafungulia yaje kumuonea mtoa huduma ili upate huduma kwa bei yako wewe unayofikiria kwenye ubongo wako

Halafu mitambo ya mtoa huduma ihudumiwe kwa pesa gani iwapo hela unayotoa haitoshi?
Kama.mnaona hampati faida si muondoke?? Mwanzoni ilikuaje mnapata faida na.leo hii mnakuja na ukatili usiovumilika eti ndo mpate faida?? Na ww ulivyo mwehu hujui unaongea nn unakaa upande wa mabebari nguruweee mkubwa
 
Pamoja na kutoa tamko kuwa vifurushi virudi bei ya zamani bado bei imebaki mpya.

Serikali iseme tu kuwa wenye Kampuni wamegoma. Ingekuwa enzi ya Magufuli haya Makampunj yangeambiwa hivyo yangeendelea kudinda kweli?

Au Serikali inajikosha.huku inasema hivi halafu kule inawaambia waendelee kukaza tu? Hapa itakuwa inatucheza shere.
 
Mkuu hivi unafahamu kitu inaitwa "PROGRAMING"?

Then usiwe unamtaja taja marehemu!
Mtoa mada anyooshe tu maelezo ya kwamba tamko la Serikali/tcra kusema wamesitisha huo mchakato, halina uhalisia.

Hayo mambo mengine ya angekuwepo sijui fulani! Kwa sasa hayana nafasi tena. Yaani ukishaondoka, umeondoka! Kujutia au kumlilia mtu aliyefariki, hakusaidii chochote.
 
Yani ukituambia hivi ndiyo unakuwa umesemaje
Tukiwa hatuifahamu programing ndo inakuwaje

Yaani kusoma programing kidogo tu imekuwa shida ndugu yangu
Hata jibu lako linaonesha you know nothing about programming........kutoka Bei chee had kuja Bei ghali ilipangwa kwa siku kadhaa ,hvo turning point is not much simple , emplementation needs time broh.....you know nothing about programming....hii kitu sio mkate at utakanda na kuoka
 
Back
Top Bottom