Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

nadhani kote bado.

labda sio process ya dakika kadhaa.
Mkuu
Tayari wana zaid ya saa 24 , ile barua hatukuandikiwa sisi humu mtandaoni imekuwa addressed kwa mitandao ya simu.
Ni software tu na series of codes pale. Wala si kitu Cha muda kiivo
Na uzuri Wana back up ya Bei za awali

Hii michezo hata ewura huwa wanapata tabu sana na wenye vituo vya mafuta , bei elekezi ikipanda fasta utaona nao wamebadili kuelekea bei mpya , ikishuka bei ndo utasikia excuses ,Mara hatukupata taarifa , hatujamaliza mafuta ya mwanzo, na kadhalika.
 
Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana.

Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo Serikali imezisimamisha.

Tunamtaka Waziri Ndugulile na TCRA mara moja wasimamie agizo lao, la sivyo tunatawachukulia kuwa agizo lao ni la kisiasa na si kwa lengo la kumsaidia mwananchi.

Tunataka kuona mabadiriko ya bei za vifurushi mara moja la Sivyo Andungulile achia nafasi hiyo hutoshi. Umetusababishia wananchi adha kubwa sana kwa kitendo ulichokifanya cha kutaka kumfurahisha Meko kumbe unatuumiza sana wananchi
Mmewaona TCRA wakizuia makanpuni ya simu au mnasikia ya mitaani, inainesha kabisa lao moja.
 
Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana.

Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo Serikali imezisimamisha.

Tunamtaka Waziri Ndugulile na TCRA mara moja wasimamie agizo lao, la sivyo tunatawachukulia kuwa agizo lao ni la kisiasa na si kwa lengo la kumsaidia mwananchi.

Tunataka kuona mabadiriko ya bei za vifurushi mara moja la Sivyo Andungulile achia nafasi hiyo hutoshi. Umetusababishia wananchi adha kubwa sana kwa kitendo ulichokifanya cha kutaka kumfurahisha Meko kumbe unatuumiza sana wananchi
Brother tafadhali sana. Tumebadili staili. Sasa hivi hatutumii lugha ya ukali kwa wawekezaji! Tutawaita Jumanne ofisini tuzungumze nao. Tutafikia mwagaka tu. Sasa hivi, vumilia kwa kuendelea kutumia 'mabando umiza' hadi mwafaka upatikane! CCM Oyeee!!!
 
H
Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Hawana backup? Kwamba hawawezi kurollback changes? Au hawakukusoma nyakati kwamba kitu kama hiki kinaweza kutokea? 😳
 
lakini pia unapasua ujue bei za vifurushi haviwezi kaa constant miaka yote kuna mda lazima vipande ni kama biashara zingine ingawa sio kwa bei elekezi ila kuendana na mfumuko wa bei pia
Lakini bei zimekuwa zikishuka baada ya kupanda hadi huyu waziri alipoleta huu ujinga wake wa bei elekezi. Binafsi natumia halotel, kwa 1000 nilikuwa napata dk 50 mitandao yote kwa wiki, na5000 napata gb 7 kwa wiki. Kwangu hayo ni matumizi ya wiki nzima na sijawahi kupata bei rahisi kama hizo kabla.
Na hata wangesema wapandishe kwa sababu za gharama za uendeshaji basi pia isingefika huku ambako tumefika leo.
 
Mkuu pitia pitia na mawazo ya wadau wengine bas kwenye huu uzi , mbna Wana wameliweka hili Sawa .....!!!!
Nimepita mkuu
Nilikuwa nakujibu kutokana na forecast uliyoileta mezani
Kumbuka hii ni pesa nyingi sana wanatuibia wateja, maana watu wanashida na mawasiliano na wananunua kwa Bei ambazo serikali imezikataa, kadiiri mitandao wanavyo jichelewesha ndo wanavyozidi kupata pesa nyingi za bure.
Ni hayo tu
 
Mkuu

Kutukana ni part ya human existence in this planet

Na kumbuka kuna watu kama sisi tusiokua na aibu yeyote ya kusema kitu kwa tone halisi ya ukali unaotakiwa

Staha ni tabia ya unafiki largely

Unachosema,I can understand where you are coming from,I respect that...

Natumaini pia unajua type of people of my version.....we dont hold no chill for anybody including this group of people called "wananchi" ambapo mimi ni mmojawapo!
Thank you for your appreciation...

Nakubalianà na wewe and I know your contributions in this forum...

You are a kind of person who hold no chills as I do...

However, still we can express our views in a simple and respective language no matter how angry we are....

Thanks
 
No one is here in this planet eti sababu anakupenda na yupo kukuhudumia wewe kwa sense unayojisemea

Makampuni na every individual yupo hapa duniani kujijengea mali kwa kutoa huduma kwa wenzake na sio eti "anawapenda",no

Voda,Tigo,etc hawako hapa TZ kuwapata huduma kama charity,never

That will never be sustainable maana nani analipia miundombinu kuhakikisha mnapata huduma?Ni nyie wateja na yeye apate huduma

Hizi hesabu zikiharibiwa haya makampuni yote hayatakua sustainable for long,yatakufa naturally


Kila kampuni na kila mwanadamu yupo hapa Tanzania kwa ajili yake binafsi

Hakuna aliyepo hata kwa ajili ya mwenzake

Kila mtu anatoa huduma au kununua huduma au bidhaa kwa ajili yake binafsi na hakuna msaada mahali popote

Makampuni yana huduma na bidhaa wananchi wanazozitaka,hivyo transaction lazima itokee

Hakuna aliepo hapa eti kwa ajili ya mtu yeyote

Bei elekezi ni very stupid way of politicians kuvamia na kuamua ni bei gani kwa ajili ya vitu gani huku hawana knowledge wala uelewa wowote wa kujenga hizo huduma

Let competition solve these nonsenses

Serikali kazi yake ni kuhakikisha no crime is done by anyone wether to collude,stealing,lying,manipulation,misrepresentation of facts,etc

Sasa serikali inaacha kazi ngumu ya kuchunguza these facts and ku-prosecute these crimes,yenyewe inageuka jambazi wa kuibia watu mali zao kwa faida za wananchi wapenda bure

Tunajenga jamii ya ajabu sana,isiyojali power of free choice,free markets,personal freedoms,haki za kujipatia mali,uhuru wa biashara,etc

Hii nchi inatakiwa kua na principle ya anybody can be anything he or she wants within the laws tulizokubaliana

Sio mtu unafanyakazi au biashara huku unatetemeka kusubiri lini wananchi na mawanasiasa yao yatapanda kichaa vichwani mwao kuja kuchukua mali ulizojenga for free....Nchi ya ajabu sana mamaeee
Unarudia kila mara kwamba serikali imepandisha bei kwa faida ya wananchi wapenda bure, lakini wananchi gani unaowazungumzia kuwa wamenufaika na kupandishwa kwa hizi bei? Bei zinaumiza hao wananchi sio wanafaidika, wanaofaidika ni serikali basi. Wananchi ni vilio na makampuni nayo ni vilio sababu bila shaka watumiaji watapungua.
 
Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana.

Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo Serikali imezisimamisha.

Tunamtaka Waziri Ndugulile na TCRA mara moja wasimamie agizo lao, la sivyo tunatawachukulia kuwa agizo lao ni la kisiasa na si kwa lengo la kumsaidia mwananchi.

Tunataka kuona mabadiriko ya bei za vifurushi mara moja la Sivyo Andungulile achia nafasi hiyo hutoshi. Umetusababishia wananchi adha kubwa sana kwa kitendo ulichokifanya cha kutaka kumfurahisha Meko kumbe unatuumiza sana wananchi

Missile of the Nation,
Hii nchi imejaa usanii mwingi na ubabaishaji mkubwa!!!
Tangia mwanzo nilijua kuna ubabaishaji wa kucheza na akili za Watz. Ndugu Watz wenzangu mzizi wa fitna wa Vifurushi uko hapa::
  1. TCRA wanahusika moja kwa moja na huu uhumi na ubabaishaji wa bei za Vifurushi. Kuna harufu ya RUSHWA kati ya TCRA na Makampuni yote ya Simu(TTCL, TIGO, VODACOM,AIRTEL, HALOTEL,Mkurugenzi TCRA lazima amulikwe kama ilivo kwa Mkurugenzi wa Bandari.....!!
  2. Makampuni ya simu yansfanya KIBURI KWA VILE WAKTI WA UCHAGUZI MKUU 2020 Serikali ndiyo ilielekeza MITANDAO YA DATA YOTE IZIMWE ILI KUIPA CCM USHINDI KWA KUCHAKACHUA MATOKEO. Ndiyo maana Serikali yenyewe inajiuma meno kwa vile inajua upuuzi ilofanya. Ni DHAHIRI KWAMBA KWA KUZIMA MITANDAO YA DATA KWA TAKRIBANI MIEZI 3 HAWA OPERATORS WALIPATA LOSS KUBWA SANA....Hivo kinachoendelea hapa ni kubebana tu ili warudishe loss incurred during the GE-2020.
 
Unarudia kila mara kwamba serikali imepandisha bei kwa faida ya wananchi wapenda bure, lakini wananchi gani unaowazungumzia kuwa wamenufaika na kupandishwa kwa hizi bei? Bei zinaumiza hao wananchi sio wanafaidika, wanaofaidika ni serikali basi. Wananchi ni vilio na makampuni nayo ni vilio sababu bila shaka watumiaji watapungua.

The Government itself is a key player in this saga.
Kitendo cha kuzima Data Networks kwa makampuni yote wakti wa Uchaguzi Mkuu 2020 ndicho kiini hasa cha gharama hizi za kitapeli.

Kinachoendelea sasa ni kujaribu kuyasaidia haya Makampuni kurudisha hasara walizopata kipindi cha Uchaguzi Mkuu 2020.
Na hapa ndipo Watanzania wanaweza kuona kama kweli Jiwe au Mwamba alikuwa anasema kweli kuhsu KUWATUMIKIA ETI WATZ WANYONGE....Upuuzi mtupu!!
 
The Government itself is a key player in this saga.
Kitendo cha kuzima Data Networks kwa makampuni yote wakti wa Uchaguzi Mkuu 2020 ndicho kiini hasa cha gharama hizi za kitapeli.

Kinachoendelea sasa ni kujaribu kuyasaidia haya Makampuni kurudisha hasara walizopata kipindi cha Uchaguzi Mkuu 2020.
Na hapa ndipo Watanzania wanaweza kuona kama kweli Jiwe au Mwamba alikuwa anasema kweli kuhsu KUWATUMIKIA ETI WATZ WANYONGE....Upuuzi mtupu!!
Kama unatoa agizo kama mamlaka halafu agizo linapuuzwa, basi namna bora ya kulinda heshima yako ni kujiuzulu tu.
 
Mimi ngoja niwaulize swali moja tu 'rahisi'

Hivi mnajua kwamba bei za data tayari zilikuwa juu sana kabla ya huu mvurugano wa sasa?

Wakati watu mnalilia vifurushi vya zamani virejeshwe, embu kumbukeni na hilo pia.
 
Hivi kwa nini watu wanashindwa kuelewa kuwa bei zilipanda ili serikali ipate kodi kubwa kwenye kila MB inayouzwa?..yaani plan ya serikali chini ya Jiwe ilikuwa ni hiyo,wakusanye pesa zaidi..ndo maana pia ilipanda kwa mitandao yote ili wateja wabaki hukohuko walipo.
 
Lakini bei zimekuwa zikishuka baada ya kupanda hadi huyu waziri alipoleta huu ujinga wake wa bei elekezi. Binafsi natumia halotel, kwa 1000 nilikuwa napata dk 50 mitandao yote kwa wiki, na5000 napata gb 7 kwa wiki. Kwangu hayo ni matumizi ya wiki nzima na sijawahi kupata bei rahisi kama hizo kabla.
Na hata wangesema wapandishe kwa sababu za gharama za uendeshaji basi pia isingefika huku ambako tumefika leo.
Hili lilipangwa iwe ni silaha kunyamazisha kabisa jamii
Kumbuka tulizimiwa mitandao wakati wa uchaguzi na Mara kadhaa muheshimiwa sana alikuwa anarudia rudia kuonyesha alichukia sana mitandao ya jamii
The odds are against us now , ndo maana hata tamko la kusitisha bei kandamizi limetoka
 
Mimi ngoja niwaulize swali moja tu 'rahisi'

Hivi mnajua kwamba bei za data tayari zilikuwa juu sana kabla ya huu mvurugano wa sasa?

Wakati watu mnalilia vifurushi vya zamani virejeshwe, embu kumbukeni na hilo pia.
Vilikuwa juu sana kulinganisha wa wapi?..au kulinganisha na kipato chetu?

No zile bei zilikuwa fair bana..wabongo tuache hizo..mfano Ttcl mtu alikuwa anapata 1.2 GB kwa 1k tsh kwa siku tano,,hii ni ghali?
 
Kabla makampuni hawajarekebisha, atumbuliwe mkurugenzi wa TCRA na genge lake pia Waziri awajibishwe
 
The Government itself is a key player in this saga.
Kitendo cha kuzima Data Networks kwa makampuni yote wakti wa Uchaguzi Mkuu 2020 ndicho kiini hasa cha gharama hizi za kitapeli.

Kinachoendelea sasa ni kujaribu kuyasaidia haya Makampuni kurudisha hasara walizopata kipindi cha Uchaguzi Mkuu 2020.
Na hapa ndipo Watanzania wanaweza kuona kama kweli Jiwe au Mwamba alikuwa anasema kweli kuhsu KUWATUMIKIA ETI WATZ WANYONGE....Upuuzi mtupu!!
Hii sababu umeipata wapi mjomba? Tangu uchaguzi hadi leo mbona mbali sana.
 
Back
Top Bottom