Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Sifurahii chief , vitu vingine unauliza Kwanza kabla ya kulalamika , kuna menu za vifurushi sa hv ukijarbu kujiunga unaambiwa ipo kwenye marekebisho , imagine menu zote ziwe deactivated Kwa ajili ya marekebisho na uhitaji wa huduma unahtajika every second.....
Serikali iliruhusu vifurushi tunavyoviona sasa na ghafla Tamko la kusitisha , ina chukua masaa mkuu na hata sku ...sio issue ya kuzima na kuwasha kama taa
Kiongozi, kuprogramu vifurushi ni rahisi kama kunywa maji. Hayo makampuni yana systems zinazohandle hayo masuala ya vifurushi n. k, Siyo kwamba eti maprogrammer wanaenda kubadilisha mistari ya program manually, ni suala la kulog in katika system husika na kurekebisha hivyo vifurushi mara moja, labda uniambie kuwa Management za hayo makampuni zinaleta jeuri au zinajivutavuta kutoa agizo, ili watu wa ICT wakarekebishe kwenye systems
 
Siamini Faustine Ndungulile kawa mjinga kiasi hiki?
Screenshot_20210402-172309.png
 
Sio programming tu lakini ni systems tofauti zinahusika kufanya hizo rollout...Kuna backend Telco & IT systems zina coordinate na kuna some database reconciliation zinahusika. Hata kufanyika kwa hiyo rollout it must have been a planned activity involving multiple upstream/downstream IT teams. ..Hivyo rollback yake usitegemee kuwa ni something to be achieved with immediate effect..lazima waplan tena rollback activity and most probably within the next available maintenance window ambayo huwa ni usiku during low traffic.
Bora umeliweka Sawa pengine wataelewa, mana naona wana social wenzagu wamenishambulia Sana aisee ....
 
Huyu Ndungulile hakuna anachofanya - atumbuliwe tu ili aapishwe mwengine Jumanne kama mama Samia alivyotu promise!
It's too early to judge the minister...

Remember he worked under the tyrant the Late John Pombe..

We are in transition period (kipindi cha mpito wa uongozi). Apewe muda kidogo kidogo naamini atabadilika na kuachana na mazoea mabaya ya Magufuli culture...
 
Mtoa huduma hawajibiki kwako,wala wewe huwajibiki kwake

Hesabu zake za faida au hasara ni zake,wewe mpe counter offer yako,akikubali biashara ifanyike,hutaki chapa lapa

Hesabu zake za 1000/= kwa GB ni hesabu za kipindi hicho na zilijenga faida kwa kipindi hicho,sasa hivi yeye raw materials zake zimepata,na mengine anayoona yeye

Ana haki ya kupandisha bei atakavyo bila kukutaarifu,wewe ni haki yako kuzima simu na kwenda kulima au hamia mtandao mwingine

Hii tabia ya mteja kujifanya yeye ni Mungu anapanga bei na kununua atakavyo yeye,ni usenge wa hali ya juu

Wacha market forces zi-determine yote hayo,na kuna power of FREE CHOICE

Mnataka kuua haya makampuni kwa kupenda vya bure wehu nyie na wanasiasa wenu na vyombo vyenu kama TCRA mlivyojiwekea kuwateteeni maslahi yenu binafsi nyie wenyewe bila kujua kua pia haya makampuni ni watu na hawana mtetezi

Majambazi wakubwa sababu tu ni "wananchi" na miwanasiasa yenu yenye vichwa vibovu mazulumati na maserikali yenu maharamia yenye kuvamia mali za watu na kunyang'anya ili mpewe nyie bure

Mkafie huko,kila mtu ajitegemee,na tabia ya wizi na kupenda bure na kupewa mali zisizo zenu muache
Unazungumzia kampuni ya simu kama vile ni kampuni ya kubangua na kuuza korosho
 
Kupunguza inachukua muda, mpaka waingie kwenye mitambo warekebishe
 
Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana.

Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo Serikali imezisimamisha.

Tunamtaka Waziri Ndugulile na TCRA mara moja wasimamie agizo lao, la sivyo tunatawachukulia kuwa agizo lao ni la kisiasa na si kwa lengo la kumsaidia mwananchi.

Tunataka kuona mabadiriko ya bei za vifurushi mara moja la Sivyo Andungulile achia nafasi hiyo hutoshi. Umetusababishia wananchi adha kubwa sana kwa kitendo ulichokifanya cha kutaka kumfurahisha Meko kumbe unatuumiza sana wananchi
Usiwalaumu kampuni za simu, lawama zinaenda kwa serikali ya ccm chini ya utawala wa jiwe na wabunge wote waliopitisha sheria mbovu mbovu, Watanganyika embu fungukeni akili zenu
 
Mtoa huduma hawajibiki kwako,wala wewe huwajibiki kwake

Hesabu zake za faida au hasara ni zake,wewe mpe counter offer yako,akikubali biashara ifanyike,hutaki chapa lapa

Hesabu zake za 1000/= kwa GB ni hesabu za kipindi hicho na zilijenga faida kwa kipindi hicho,sasa hivi yeye raw materials zake zimepata,na mengine anayoona yeye

Ana haki ya kupandisha bei atakavyo bila kukutaarifu,wewe ni haki yako kuzima simu na kwenda kulima au hamia mtandao mwingine

Hii tabia ya mteja kujifanya yeye ni Mungu anapanga bei na kununua atakavyo yeye,ni usenge wa hali ya juu

Wacha market forces zi-determine yote hayo,na kuna power of FREE CHOICE

Mnataka kuua haya makampuni kwa kupenda vya bure wehu nyie na wanasiasa wenu na vyombo vyenu kama TCRA mlivyojiwekea kuwateteeni maslahi yenu binafsi nyie wenyewe bila kujua kua pia haya makampuni ni watu na hawana mtetezi

Majambazi wakubwa sababu tu ni "wananchi" na miwanasiasa yenu yenye vichwa vibovu mazulumati na maserikali yenu maharamia yenye kuvamia mali za watu na kunyang'anya ili mpewe nyie bure

Mkafie huko,kila mtu ajitegemee,na tabia ya wizi na kupenda bure na kupewa mali zisizo zenu muache
Naiunga mkono hoja yako, the market force iamue...

Ila lugha yako uliyotumia kuwasilisha hoja haijakaa vizuri, imeharibu kila kitu; Maneno "ni usenge wa hali ya juu...", " "wapumbavu....", "wajinga....", hayakuwa na sababu kutumika ktk kutoa ujumbe wako..

Mimi nakujali na kukupenda sana ndiyo maana nimekuambia. Wengine hawatakuambia bali watakuwa wanasonya na kukutukana tu wakikusoma..

Asante..
 
Mtoa huduma hawajibiki kwako,wala wewe huwajibiki kwake

Hesabu zake za faida au hasara ni zake,wewe mpe counter offer yako,akikubali biashara ifanyike,hutaki chapa lapa

Hesabu zake za 1000/= kwa GB ni hesabu za kipindi hicho na zilijenga faida kwa kipindi hicho,sasa hivi yeye raw materials zake zimepata,na mengine anayoona yeye

Ana haki ya kupandisha bei atakavyo bila kukutaarifu,wewe ni haki yako kuzima simu na kwenda kulima au hamia mtandao mwingine

Hii tabia ya mteja kujifanya yeye ni Mungu anapanga bei na kununua atakavyo yeye,ni usenge wa hali ya juu

Wacha market forces zi-determine yote hayo,na kuna power of FREE CHOICE

Mnataka kuua haya makampuni kwa kupenda vya bure wehu nyie na wanasiasa wenu na vyombo vyenu kama TCRA mlivyojiwekea kuwateteeni maslahi yenu binafsi nyie wenyewe bila kujua kua pia haya makampuni ni watu na hawana mtetezi

Majambazi wakubwa sababu tu ni "wananchi" na miwanasiasa yenu yenye vichwa vibovu mazulumati na maserikali yenu maharamia yenye kuvamia mali za watu na kunyang'anya ili mpewe nyie bure

Mkafie huko,kila mtu ajitegemee,na tabia ya wizi na kupenda bure na kupewa mali zisizo zenu muache
Lakini kampuni Ile ipo kwa ajili ya kuhudumia watu. Sio kwa ajili yao pekee, Ndio maana wanafuata sheria zilizowekwa na serikali (wananchi).kwa hiyo HUDUMA lazima iendane na haki halisi ya wananchi pamoja na ubora wa HUDUMA hiyo. Kama kea elfu 2 MB 950,zinaisha taratibu Sana basi tungesema sawa. Sasa Bando linaisha kea mpigo hiyo sio sawa. Bei za Vifurushi ni kama zimekuwa ni elekezi, Kama sivyo basi wasingebadili wote kuwa mpigo. Kwa sababu ilipangwa na ishapanguliwa. Tusubiri
 
Brother

Wanasiasa ni stupid group of people promoted by citizens to steal something from the wealthy entities.

Wanasiasa ni chanzo cha everything wakitumia wananchi kama reason of which is not correct...

Wananchi ni tatizo kubwa zaidi kwa kujiunga na hawa wanasiasa ku-push stupid agendas they have behind them...

Wanasiasa na wananchi ni very bad combination....

Hapa bigger blame ni kwa wanasiasa,ila wananchi nao ni wabaya pia....

Sijajua unawatoa wananchi kwenye hili tatizo kivipi hasa?

Endeleeni kuua haya makampuni kwa kujiwekea bei mnayotaka kwa lazima huku sisi wananchi tukifurahia upumbavu wafanyao hawa wanasiasa...
Mimi pia siwatoi kwenye lawama wananchi ila wengi wao bado ni wajinga wa kutupa kiasi kwamba wewe kama una shule kidogo tu na kufatilia mambo duniani yanaendaje basi utaona gape la uelewa wa mambo kati yako na hawa wananchi wengine ni kubwa kupitiliza. Sasa serikali kuwatumia hawa wananchi wajinga to further their agenda is wrong.

Kitendo cha serikali kuingilia sekta binafsi kimedhoofisha maeneo mengi sana ambayo yalikuwa yanaenda vizuri. Mf, bei ya mahindi tangu wazuie kutoka nje hadi leo bei imekuwa mbovu.

Viongozi wengi tulionao nchi hii ni bomu sana, kama babu tale yupo bungeni unajiuliza anaweza kufanya maamuzi gani ya maana kwa nchi yetu?
 
Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
so it can take how many weeks or month to switch back the system to its previous settings?.
 
Sidhani kama wanaweza kukaidi agizo, labda kuna jambo tusiloelewa
Huu ni ujinga wetu wenyewe, ile ni process haiwezi kubadilishwa overnight. Tulijua tangu mwanzoni tulichokua tunakifanya, tusiwalaumu
 
Hii issue inaenda kuwa kama ile ya sukari tangu serikali ilivyoingilia mchakato sukari haijawahi kushuka chini ya elfu 3
 
Back
Top Bottom