Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Huyu Ndungulile hakuna anachofanya - atumbuliwe tu ili aapishwe mwengine Jumanne kama mama Samia alivyotu promise!
Hana faida na najutia kura yangu niliyo mpigia nikiwa kama mjumbe
 
Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana.

Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo Serikali imezisimamisha.

Tunamtaka Waziri Ndugulile na TCRA mara moja wasimamie agizo lao, la sivyo tunatawachukulia kuwa agizo lao ni la kisiasa na si kwa lengo la kumsaidia mwananchi.

Tunataka kuona mabadiriko ya bei za vifurushi mara moja la Sivyo Andungulile achia nafasi hiyo hutoshi. Umetusababishia wananchi adha kubwa sana kwa kitendo ulichokifanya cha kutaka kumfurahisha Meko kumbe unatuumiza sana wananchi
Utakua mgeni wa utawala wa CCM ndo imetoka hiyo. Hakuna kitu kiliwahi kupanda bei watu wakalalamika kikashuka wanaishia kutoa matamko wakiamini ni upepo tu utapita, rejea sukari, cement, mafuta ya kula nk. Waliopandisha ni haohao serikali kupitia kikao cha ndugulile na wamiliki wa mitandao mwezi uliopita hivyo usitegemee kushuka.
 
Usimhusishe uliyemtaja hapo hayupo tena. Tukabane na Ndungulile, wanadai mapato ya serikali yamepotea. Mimi nashangaa, yanapoteaje kama watumiaji wa mitandao wameongezeka? Siamini vichwa vyote pale TCRA vimewaza kuja na wazo kama hili la kuumiza watu. Hii haikubaliki
 
Hawa tcra nao ni jipu... Yaani walikaa chini wakakubaliana na makampuni juu ya bei mpya.. kisha leo wanaamua kusitisha... Walipokubaliana mwanzo hawakuona kuwa bei hizo ni mzigo kwa mwananchi? Je wao sio sehemu ya jamii ya kitanzania? Maisha ya raia hawayajui? Hawa jamaa yafaa watupishe maana kazi imewashinda..
Walijua wako na Jiwe. Mkilalamika mnaambiwa kaeni na mavi yenu
 
Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Ikawaje programming ika act fast to their favor pale tu tangazo lilipotoka ila sasa lipo against iwe ishu ya muda mrefu
 
Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Unafahamu kuna kitu kinaitwa rollback na version control system !?
Sio kama wameshindwa kufanya on time, kuna other factors na variables outside progamming.
 
MSIMAMO UKO HIVI

1. TIGO
2.HALOTEL
3. VODACOM
4. AIRTEL
5. ZANTEL


Next Tigo ana safu imara ya ushambuliaji akifuatiwa na Halotel kapanda ligi kuu ila ana safu nzuri ya ulinzi, wengine waliobaki wanapigania kumaliza nafasi ya 2
Nenda mikoani hukoo ndo utajua vodacom ni wa aina gani.
 
kuna mtu nliongea nae jana ana kitengo kikubwa tigo alisema itachukua mda angalau wiki wapange vifurushi upya tena
Utamuharibia kazi mwenzako na wataanza kuogopa kuwapa wabongo nafasi za juu maana watajua wanavujisha mambo kama haya kirahisi tu kwa lugha ya kiswahili😂😂😂
 
Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid

Sio programming tu lakini ni systems tofauti zinahusika kufanya hizo rollout...Kuna backend Telco & IT systems zina coordinate na kuna some database reconciliation zinahusika. Hata kufanyika kwa hiyo rollout it must have been a planned activity involving multiple upstream/downstream IT teams. ..Hivyo rollback yake usitegemee kuwa ni something to be achieved with immediate effect..lazima waplan tena rollback activity and most probably within the next available maintenance window ambayo huwa ni usiku during low traffic.
 
Back
Top Bottom