Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Makampuni yamefuata agizo la Waziri Ndugulile kuwa Mb1 iwe tshs 1. Najua alikalishwa chini na kushauriwa kuwepo na ongezeko la bando na akalitekeleza.

Huu mtego amenasa na utamgharimu maisha yake yote ya kisiasa.

Nimelisema wazi hili ili wanasiasa wetu wajifunze kuwa siyo kika ushauri ni wa kukurupukia wanapaswa wajitafakari kabla ya maamuzi yeyote
Mb1 Tsh 1 siyo ishu, maana sh 500 tungepata MB500, sh 1000 karibu GB1, sh3000 GB3.

Lakini viwango vya sasa, sh 500 unapata MB200, sh 2000 MB 900, sh3000 GB1.3

Kama alitoa maagizo ya Mb1 sh 1 ina maana makampuni ya simu haya jafuata.

Mi naona waziri na viongozi wa TCRA waachie ngazi. Kazi imewashinda.
 
Baada ya tamko la serikali kushusha bei za vifurushi, tupeane mrejesho wa utekelezaji.

Huku Halotel bado hawarudisha kama ilivyokuwa zamani, vipi huko uliko?
Itachukua muda kwakuwa inabidi ufanye programming upya..
Hili limewaletea usumbufu hata watoa huduma wenyewe
Na bado kuna official statement lazima wapewe na serikali
 
Baada ya tamko la serikali kushusha bei za vifurushi, tupeane mrejesho wa utekelezaji.

Huku Halotel bado hawarudisha kama ilivyokuwa zamani, vipi huko uliko?
MSIMAMO UKO HIVI

1. TIGO
2.HALOTEL
3. VODACOM
4. AIRTEL
5. ZANTEL


Next Tigo ana safu imara ya ushambuliaji akifuatiwa na Halotel kapanda ligi kuu ila ana safu nzuri ya ulinzi, wengine waliobaki wanapigania kumaliza nafasi ya 2
 
probability ya kurudi vya zamani ni 0.0001% kutokana na yale mazungumzo, kuna uwezekano wamepewa oda watengeneza vipya ambavyo ni juu kidogo ya vya zamani
Duh, hili tatizo la serikali kutaka kuwepo kwenye kila biashara za watu ndio kumetufikisha hapa, kama vya zamani havirudi kuna kila haja ya kuwatumbua wakurugenzi wa TCRA na waziri wake.
 
Mb1 Tsh 1 siyo ishu, maana sh 500 tungepata MB500, sh 1000 karibu GB1, sh3000 GB3.

Lakini viwango vya sasa, sh 500 unapata MB200, sh 2000 MB 900, sh3000 GB1.3

Kama alitoa maagizo ya Mb1 sh 1 ina maana makampuni ya simu haya jafuata.

Mi naona waziri na viongozi wa TCRA waachie ngazi. Kazi imewashinda.

Alisema kuwa 1mb itakuwa kati ya Tsh 2-9 !bei elekezi
 
Uongo mtupu huuu
Tunakazia hapa hapa
FB_IMG_16174354430883777.jpg
 
Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Fyoko !! Sikatai ni programming lkn sio kubwa ni issue ya dakika tu kuedit
 
Walitangaza baada ya Massa 24 mambo yatakuwa yamesha badirika
 
Mkulungwa ana roho mbaya sanaa,yaan tayar keshajadili na malkia kuja kufanya yake kabla hata mwez hujaisha jmn?
 
Mwezi huu Ndugulile asipewe mshahara.
Kama Kuna chochote alichofanya tangu ateuliwe naomba nijulishwe.
Infact angekua mstaarabu angejiuzulu kabla ya kufukuzwa.
Ameshindwa kazi.....asaidiwe......
 
Bado sana. IT wapo kazini kuchange vifurushi sio fasta kiasi hicho hii ni programming
Mkuu usilete uongo usiokwenda shule? Hivyo vifurushi si ni algorithim tu unabadili kama.vile vinavyobadilikaga ghafla wakipandishaga au? Ni fasta sana kama wanavyobadilishaga tuu
 
Lazima wapewe barua rasimi na hapo ndipo ucheleweshaji unaweza kutokea

Naamini waliagizwa kwa maandishi na maamuzi yoyote ya kutengua maagizo ya awali lazima pia yawe ya maandishi.
.
Nina shaka sana HWENDA KUNA HUJUMA AMA NIA OVU DHIDI YA RAIS WETU SSH Kwanini haya ya Mitandao, Maji na Tanesco yaandamane... nawaza tu kuwa kuna kidudumtu...
 
Statistical ukandaa huu wa Africa mashariki Tz ndo tuna vifurushi nafuu vya data, dk na sms.
Lakini kama kawaida yetu wabongo hatujawahi ridhika.

Serikali ìkachukua oportunity kujipatia umaarufu wa kisisasa as usual. Sas tujiulize lini serikali iliingilia kitu kikabaki salama (waliamia kwenye korosho tunajuabkilichotokea)
Kama serikali iliona bundle zipo juu wangepunguza kwenye kampuni yao ya TTCL na sio kuingilia kampuni binasfi come on we are on free market economy acha soko liamue, bei elekezi haijawahi kufanya kazi dhidi ya magiant haya.
Shame on you FCC shame on you TCRA.
Watanzania mkamuamini kabisa ndugulile na tcra yake!!??
Poor you
 
Mwezi huu Ndugulile asipewe mshahara.
Kama Kuna chochote alichofanya tangu ateuliwe naomba nijulishwe.
Infact angekua mstaarabu angejiuzulu kabla ya kufukuzwa.
Ameshindwa kazi.....asaidiwe......
Hakuna fisiemu awezae jiuzulu kwa hiyari... ilikuwa zamani...
 
Back
Top Bottom