Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafikiri ni mambo ya bandika bandua kama mikeka ya Kanjibai..Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Ndungulile anasubiri nn kujiuzuru..mwezetu ukokaribu hapo tusaidieMchakato wa kuandaa menu mpya ya bundle unachukua sio chini ya siku kadhaa, tuvumiliane,kukiharakishana tutaharibu zaidi[emoji1787]
Kwaio software zikisha change vifurushi tu basi vina reflect na kwa wateja immediately?Wanazo software za kuchange vifurushi, ni dakika moja tu kubadili rate, haina ufundi wowote
Huyu waziri inabidi hafukuzwe arudi akatibu wagonjwa tu.Huyo waziri mnayemtaja alituambia kua wamesha play role ya kuregulate sasa kilichotokea inapaswa AFUKUZWE KAZI hana anachofanya! Over
Watakuambia mchakato utachukua miezi 3, ni kama bank tuu kuchukua pesa wako fasta, ila kuirudisha ni mlolongo mrefu.TCRA waangalieni Airtel wamewakazia hawataki kurudisha vifirushi vya awali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya one click to go!Hivi unadhani huko core kwenye mitandao kuna button ya restore factory settings kama kwenye tecno?
Huyo sidhani kama ana uwezo wa kujiuzulu, ataendelea kukomaa mpaka atoleweNdungulile anasubiri nn kujiuzuru..mwezetu ukokaribu hapo tusaidie
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Unamkumbuka mleta majanga hii ni product yakeNamkumbuka anko Magu kwa kweli
Huyu mzee alipotoshwa alidanganywa au aliwekwa hapa ili aje kutumbuliwa , Daktari anaenda kuwa fundi software what a joke?Makampuni yamefuata agizo la Waziri Ndugulile kuwa Mb1 iwe tshs 1. Najua alikalishwa chini na kushauriwa kuwepo na ongezeko la bando na akalitekeleza.
Huu mtego amenasa na utamgharimu maisha yake yote ya kisiasa.
Nimelisema wazi hili ili wanasiasa wetu wajifunze kuwa siyo kika ushauri ni wa kukurupukia wanapaswa wajitafakari kabla ya maamuzi yeyote
Kwaio software zikisha change vifurushi tu basi vina reflect na kwa wateja immediately?
Tuache siasa kwenye mambo ya technology yanatumia akili sio mihemko tu wakuu..
Taka kabisa unazani kila mtu anaweza pornRoute za xvideos zitapungua. Waminye zaidi kubet online kuwe kugumu
Utamuharibia kazi mwenzako na wataanza kuogopa kuwapa wabongo nafasi za juu maana watajua wanavujisha mambo kama haya kirahisi tu kwa lugha ya kiswahili😂😂😂
Duh, hili tatizo la serikali kutaka kuwepo kwenye kila biashara za watu ndio kumetufikisha hapa, kama vya zamani havirudi kuna kila haja ya kuwatumbua wakurugenzi wa TCRA na waziri wake.
Kwamba ku switch from low to high tarrifs iliwezekama overnight lakini kurudi kwenye low tarrifs ndo mnaleta excuses , how slow our programmers are? au bado mnatumia pentium one ku process data?Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Mkuu pitia pitia na mawazo ya wadau wengine bas kwenye huu uzi , mbna Wana wameliweka hili Sawa .....!!!!Kwamba ku switch from low to high tarrifs iliwezekama overnight lakini kurudi kwenye low tarrifs ndo mnaleta excuses , how slow our programmers are? au bado mnatumia pentium one ku process data?
IT experts mnaleta local excuses kama vile wauza mafuta wanavyo bahatisha ewura wakishusha bei elekezi.
Africa bana !!! Unaweza kudhani unaongea na meneja wa big gambling casino , kumbe unaongea na expert.