Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Tamko lisilokuwa na nguvu halina maana bora angenyamaza tu.Hili lilipangwa iwe ni silaha kunyamazisha kabisa jamii
Kumbuka tulizimiwa mitandao wakati wa uchaguzi na Mara kadhaa muheshimiwa sana alikuwa anarudia rudia kuonyesha alichukia sana mitandao ya jamii
The odds are against us now , ndo maana hata tamko la kusitisha bei kandamizi limetoka