Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana.

Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo Serikali imezisimamisha.

Tunamtaka Waziri Ndugulile na TCRA mara moja wasimamie agizo lao, la sivyo tunatawachukulia kuwa agizo lao ni la kisiasa na si kwa lengo la kumsaidia mwananchi.

Tunataka kuona mabadiriko ya bei za vifurushi mara moja la Sivyo Andungulile achia nafasi hiyo hutoshi. Umetusababishia wananchi adha kubwa sana kwa kitendo ulichokifanya cha kutaka kumfurahisha Meko kumbe unatuumiza sana wananchi
Mpaka mda huu no changes, cjui wamedharau agizo au ndo tukisumbuliwa tunafunga biashara tunahamia Zimbabwe! Siasa imerudi Tz!
 
Ninyi mnaosemea mambo ya programming am sure hamna hiyo taaluma.

Iko hivi, haya mashirika ya mtandao kama Tigo, Voda n.k ni wazoefu saana katika kubadili hizi system/programme eneo ya vifurushi, financial matters kama Tigopesa au MPESA.

Endapo hata sasa hivi wakaamua kubadili vifurushi haimaanishi kuwa wanaanza upya, wanaweza wakarestore vile vya zamani, ieleweke kuwa kila wafanyapo marekebisho, yale yaliyopita huwa yanaseviwa, na hii wanafanya kwa ajili ya kutunza records zao ktk Annual General Meeting ama vikao kwa Marketing Departments.

Endapo wao wakaamua kubadili hivi vifurushi ni zoezi la muda mchache tu, wala sio process ndefu kama tunavyotaka kuaminishwa.

Naomba nijibiwe na mtu ambae amefanya kazi kama Head of ICT ktk mashirika kama haya, sio bla bla zenu.

Naungana na mleta mada, ni kiburi cha haya makampuni ya simu, hakuna kingine zaidi ya hapo. Maana wao wanaona ni kama vile usumbufu kwao, isitoshe wao hivi vifurushi before hawajivitoa walikubaliana na TCRA, someni barua ya TCRA vizuri utaona wanakiri kuyatambua mabadiliko hayo.
 
Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana.

Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo Serikali imezisimamisha.

Tunamtaka Waziri Ndugulile na TCRA mara moja wasimamie agizo lao, la sivyo tunatawachukulia kuwa agizo lao ni la kisiasa na si kwa lengo la kumsaidia mwananchi.

Tunataka kuona mabadiriko ya bei za vifurushi mara moja la Sivyo Andungulile achia nafasi hiyo hutoshi. Umetusababishia wananchi adha kubwa sana kwa kitendo ulichokifanya cha kutaka kumfurahisha Meko kumbe unatuumiza sana wananchi
Nani hasa ndiye aliyebadulisha bei ya vifurushi? Makampuni au serikali?

Waliagizwa wapandishe bei, utekelezaji wake ulikua ni mchakato na hata sasa wameagizwa tena wapunguze utekelezaji wake ni mchakato. Watakapoa tayari wata upload menu ya zamani

Hawana kosa wao hata moja
 
Nani hasa ndiye aliyebadulisha bei ya vifurushi? Makampuni au serikali?

Waliagizwa wapandishe bei, utekelezaji wake ulikua ni mchakato na hata sasa wameagizwa tena wapunguze utekelezaji wake ni mchakato. Watakapoa tayari wata upload menu ya zamani

Hawana kosa wao hata moja
Ile ya kwanza walipewa mwezi mzima.

Hii ya sasa wametakiwa wasitishe mara moja, hawakupewa mwezi mzima wa kufanya hivyo!
 
Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Wengi hawaelewi kaka wanafikiri unalala na kuamka vimeshabadilishwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hii arrogance unaitoa wapi ndugu?

Hupendi bei ya mtu na bidhaa zake eti unamfukuza nchi wakati ni raia kama wewe?..
Kazi yenyewe umepata kwa kushikwa mkono, unadhan wote tuna mshahara km wako, then ukikwama unalia kwa mzee wako bas unaona maisha umeyapatia, unaongea shit, subiri uone sasa
 
Hili la bando linaumiza saaana Kwa sasa mawasiliano yamekua gharama saana Yan tunao tumia mitandao Kwa shughuli mbali mbali za kutuingizia kipato tunapata hasara saana
 
Hzo ni programming kijana , sio issue ya overnight, mpo fixed Sana na siasa hata kwenye mambo ya kitaalam Zaid
Kwaiyo hiyo programming inatakiwa kufanyika kwa siku ngapi ili mambo yakae sawa. Nafikiri kuna sababu nyingine zaidi ya hiyo maana sidhani kama wana hard code hivyo vifurushi
 
Wanabodi mbona kwangu vifurushi viko vilevile, ni mgomo wa haya makampuni au serikali imetupiga changa la macho?

Na huyu waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia mama Ndalichako yuko kimya anafikiri kuna Sayansi na Teknolojia bila internet kwa sasa?
 
Wanabodi mbona kwangu vifurushi viko vilevile, ni mgomo wa haya makampuni au serikali imetupiga changa la macho?
Na huyu waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia mama Ndalichako yuko kimya anafikiri kuna Sayansi ba Teknolojia bila internet kwa sasa?
Uko mtandao gani bwashee?!
 
Wanabodi mbona kwangu vifurushi viko vilevile, ni mgomo wa haya makampuni au serikali imetupiga changa la macho?
Na huyu waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia mama Ndalichako yuko kimya anafikiri kuna Sayansi ba Teknolojia bila internet kwa sasa?

Piga kazi usisubiri eti vifurushi bei zishuke, inawezakuchukua zaidi ya mwezi hayo mazungumzo na wewe bado unasubiri! Chapa kazi nunua kifurushi! Anza kuji-tune kisaikolojia kijana, kazi zitalala!

Wengine tunaendelea kununua hivyo hivyo wakati hayo mazungumzo na TCRA yakisubiriwa, na yanaweza kuanza baada ya wiki hii ya Pasaka maana watu wapo kwenye pilikapilila za Pasaka!
 
Piga kazi usisubiri eti vifurushi bei zishuke, inawezakuchukua zaidi ya mwezi hayo mazungumzo na wewe bado unasubiri! Chapa kazi nunua kifurushi! Anza kuji-tune kisaikolojia kijana, kazi zitalala! Wengine tunaendelea kununua hivyo hivyo wakati hayo mazungumzo na TCRA yakisubiriwa, na yanaweza kuanza baada ya wiki hii ya Pasaka maana watu wapo kwenye pilikapilila za Pasaka!
Duh! Mkuu kwa bei hii ya buku jero 500mb sitoboi[emoji16]
 
Back
Top Bottom