Imalamawazo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2021
- 1,343
- 3,269
Mangula akumbuke kuwa Bogamoyo ni eneo la Sultan wa Oman, Sultan ndiye anayetoa pesa za ujenzi wa hiyo bandari. Mwacheni ajenge, watanganyika mkishindwa kulipa hilo deni atakuwa amerejirejeshea nchi yake iliyoporwa.Mzee Mangula sumu aliyopewa ina mzingua.
Atueleze Chato Airport na daraja Busisi ni kwa Ilani ipi?
Halafu binafsi naamini ni CCM tu ndiyo itakayo tupa UKWELI wa suala hili la GHATI au BANDARI huko Bagamoyo na UKWELI juu ya aliyosema Kamanda wetu JPM kuhusu utata wa ujenzi na uwekezaji hapo Bagamoyo wa hiyo inayosemwa sasa na kupigiwa UPATU na kila mtu toka Serikalini hapo IKULU hadi huko BUNGENI, ambako wengi wao waliupinga sana huo Mradi, yaani walikubaliana na Kamanda wetu JPM LAKINI leo wamegeuka U -TURN na kuunga mkono Mradi huo na hapo hapo wakimkana Kamanda wetu JPM. What A SHAME ON THESE PEOPLE!Mzee Mangula anasema kwenye ilani ya CCM 2020-25 hawakuahidi bandari ya bagamoyo bali waliahidi ghati tu.
Hivyo anashangaa mjadala wa ujenzi wa bandari bagamoyo unatoka wapi.
Mzee Mangula hapa nadhani wa kumuuliza zaidi ni mwenyekiti wake ambae alisema ana habari njema kuwa wamefufua mazungumzo mradi wa bandari Bagamoyo.
Huu mshangao wa mzee Mangula una walakini ndani yake.
Chini nimeweka video Mama Samia akisema ana habari njema kuhusu ujenzi wa bandari bagamoyo, ngoja tuone panapovuja.
---
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula amewataka Watanzania kutohangaika na upotoshaji unaofanya na baadhi ya watu mitandaoni kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, na kwamba wamuache Rais Samia Suluhu Hassan afanye kazi yake ya kutekeleza mipango ya maendeleo.
Amesema hayo akizungumzia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani ambapo amebainisha kuwa bandari hiyo haijapitishwa kwenye ilani ya uchaguzi ya 2020-2025, hivyo hakuna sababu ya kuwapotosha wananchi, badala yake waunge mkono utekelezaji wa miradi iliyoahidiwa.
“Nashangaa huu mjadala unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” amesema Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru na kueleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.
“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.
Juni mwaka huu akizungumza na wafanyabiashara, Rais Samia Suluhu Hassan aliweka wazi kuwa serikali imeanza mazungumzo ya kufufua mradi wote wa bagamoyo ambao unajumuisha bandari na eneo la maalum la uwekezaji.
Akiwa madarakani, Hayati Rais John Magufuli alikataa kuendeleza mradi huo ambao mkataba wake ulisainiwa wakati wa uongozi wa mtangulizi wake, Rais Dkt. Jakaya Kikwete, kwa maelezo kwamba masharti yake hayakuwa rafiki na kwamba yangeliingiza Taifa matatizoni.
Safi Kabisa, swali zuri kabisaMzee Mangula sumu aliyopewa ina mzingua.
Atueleze Chato Airport na daraja Busisi ni kwa Ilani ipi?
Ha! Ha! Ha! I love this game! Case closed!
Mangula atutajie ukurasa ktk ilani ya ccm ambapo tutasoma ujenzi wa uwanja wa ndege chato, daraja la Busisi, mbuga ya burigi na uwanja wa mpira wa kubeba mashabiki laki moja huko chato.Haaaa tumekutana,Slender bridge ni ukurasa wa ngapi kwenye ilani.
Mzee Mangula wanamharibu
Naomba video ya wakati Mheshimiwa Mzee Philip Mangula akiyazungumza haya, kwanza.Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula amewataka Watanzania kutohangaika na upotoshaji unaofanya na baadhi ya watu mitandaoni kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, na kwamba wamuache Rais Samia Suluhu Hassan afanye kazi yake ya kutekeleza mipango ya maendeleo.
Ajiangalie jamaa asijewekewa sumu tena. Ila huyu mzee acha awekewe sumu tu. Nikikumbuka alivyokuwa anamuandama, kumfanyia figisu, madharau, majungu na kumtukanaga Rais Edward N Lowasa yani achaTukiwaambia ccm imesha pasuka, hamtuelewe.
Haya sasa, ngoma ndio kwanza imeanza.
Najua mama atapata wakati mgumu sana 2025
Mbona mkataba wa miaka 99 tunaingia na Wachina?Mangula akumbuke kuwa Bogamoyo ni eneo la Sultan wa Oman, Sultan ndiye anayetoa pesa za ujenzi wa hiyo bandari. Mwacheni ajenge, watanganyika mkishindwa kulipa hilo deni atakuwa amerejirejeshea nchi yake iliyoporwa.
China mshenga tu, Sultan anataka nchi yakeMbona mkataba wa miaka 99 tunaingia na Wachina?
Tuliza mshono wewe nigerUwanja wa chato ulikuwa kwenye ilani
Kura=Nonsense kwa mfumo wetu.
Atapita kwa 98%
kabla jogoo halijawika tutakua tushapoteana mbaya.Mzee Mangula anasema kwenye ilani ya CCM 2020-25 hawakuahidi bandari ya bagamoyo bali waliahidi ghati tu.
Hivyo anashangaa mjadala wa ujenzi wa bandari bagamoyo unatoka wapi.
Mzee Mangula hapa nadhani wa kumuuliza zaidi ni mwenyekiti wake ambae alisema ana habari njema kuwa wamefufua mazungumzo mradi wa bandari Bagamoyo.
Huu mshangao wa mzee Mangula una walakini ndani yake.
Chini nimeweka video Mama Samia akisema ana habari njema kuhusu ujenzi wa bandari bagamoyo, ngoja tuone panapovuja.
---
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula amewataka Watanzania kutohangaika na upotoshaji unaofanya na baadhi ya watu mitandaoni kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, na kwamba wamuache Rais Samia Suluhu Hassan afanye kazi yake ya kutekeleza mipango ya maendeleo.
Amesema hayo akizungumzia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani ambapo amebainisha kuwa bandari hiyo haijapitishwa kwenye ilani ya uchaguzi ya 2020-2025, hivyo hakuna sababu ya kuwapotosha wananchi, badala yake waunge mkono utekelezaji wa miradi iliyoahidiwa.
“Nashangaa huu mjadala unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” amesema Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru na kueleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.
“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.
Juni mwaka huu akizungumza na wafanyabiashara, Rais Samia Suluhu Hassan aliweka wazi kuwa serikali imeanza mazungumzo ya kufufua mradi wote wa bagamoyo ambao unajumuisha bandari na eneo la maalum la uwekezaji.
Akiwa madarakani, Hayati Rais John Magufuli alikataa kuendeleza mradi huo ambao mkataba wake ulisainiwa wakati wa uongozi wa mtangulizi wake, Rais Dkt. Jakaya Kikwete, kwa maelezo kwamba masharti yake hayakuwa rafiki na kwamba yangeliingiza Taifa matatizoni.