Makamu Mwenyekiti CCM, Mzee Mangula: Bagamoyo tuliahidi kujenga Gati sio Bandari

Makamu Mwenyekiti CCM, Mzee Mangula: Bagamoyo tuliahidi kujenga Gati sio Bandari

“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.

Juni mwaka huu akizungumza na wafanyabiashara, Rais Samia Suluhu Hassan aliweka wazi kuwa serikali imeanza mazungumzo ya kufufua mradi wote wa bagamoyo ambao unajumuisha bandari na eneo la maalum la uwekezaji.
Jibu kwa Mzee Mangula mbona ni rahisi.

Ataambiwa huo mradi wa Bandari hauhusu ahadi za chama chao kwa vile ni mradi wa watu binafsi.

Hawa walioamua kuiuza nchi hawawezi kukosa majibu, hata kama hayaridhishi.
 
Ataambiwa huo mradi wa Bandari hauhusu ahadi za chama chao kwa vile ni mradi wa watu binafsi.
Ni mradi wa watu binafsi, au ni mradi ambao baada ya muda fulani tutatakiwa tuwe tumelipa gharama za kujenga mradi huo ili uwe wa taifa?!
 
Mzee Mangula anasema kwenye ilani ya CCM 2020-25 hawakuahidi bandari ya bagamoyo bali waliahidi ghati tu.

Hivyo anashangaa mjadala wa ujenzi wa bandari bagamoyo unatoka wapi.

Mzee Mangula hapa nadhani wa kumuuliza zaidi ni mwenyekiti wake ambae alisema ana habari njema kuwa wamefufua mazungumzo mradi wa bandari Bagamoyo.

Huu mshangao wa mzee Mangula una walakini ndani yake.

Chini nimeweka video Mama Samia akisema ana habari njema kuhusu ujenzi wa bandari bagamoyo, ngoja tuone panapovuja.

---

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula amewataka Watanzania kutohangaika na upotoshaji unaofanya na baadhi ya watu mitandaoni kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, na kwamba wamuache Rais Samia Suluhu Hassan afanye kazi yake ya kutekeleza mipango ya maendeleo.

Amesema hayo akizungumzia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani ambapo amebainisha kuwa bandari hiyo haijapitishwa kwenye ilani ya uchaguzi ya 2020-2025, hivyo hakuna sababu ya kuwapotosha wananchi, badala yake waunge mkono utekelezaji wa miradi iliyoahidiwa.

“Nashangaa huu mjadala unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” amesema Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru na kueleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.

“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.

Juni mwaka huu akizungumza na wafanyabiashara, Rais Samia Suluhu Hassan aliweka wazi kuwa serikali imeanza mazungumzo ya kufufua mradi wote wa bagamoyo ambao unajumuisha bandari na eneo la maalum la uwekezaji.

Akiwa madarakani, Hayati Rais John Magufuli alikataa kuendeleza mradi huo ambao mkataba wake ulisainiwa wakati wa uongozi wa mtangulizi wake, Rais Dkt. Jakaya Kikwete, kwa maelezo kwamba masharti yake hayakuwa rafiki na kwamba yangeliingiza Taifa matatizoni.

Kwakweli , kama Mzee kikwete alisaini mkataba ule ukiwa na masharti Yale , anapaswa kuliomba msamaha taifa
 
Dogo kwanini unalazimisha kufananisha uzalendo na mambo hayo?
Mangula atutajie ukurasa ktk ilani ya ccm ambapo tutasoma ujenzi wa uwanja wa ndege chato, daraja la Busisi, mbuga ya burigi na uwanja wa mpira wa kubeba mashabiki laki moja huko chato.
 
Wana siasa kama wanasiasa. Katika ubora wao. Hii bandari naona kama itapata tabu sana kutokea. Inapingwa na inapingwa na inapingwa..kisirisiri na hata hadharani
 
Ni mradi wa watu binafsi, au ni mradi ambao baada ya muda fulani tutatakiwa tuwe tumelipa gharama za kujenga mradi huo ili uwe wa taifa?!
Huko ni baadae mkuu, mipango ya CCM ni ya muda maalum, mara nyingi ni miaka mitano, ikifuatia uchaguzi mkuu.
Hata hivyo Mzee Mangula atapewa sababu tu, si yeye ni Makamu; Mwenyekiti alishabariki mradi wenyewe.
 
Mzee Mangula anasema kwenye ilani ya CCM 2020-25 hawakuahidi bandari ya bagamoyo bali waliahidi ghati tu.

Hivyo anashangaa mjadala wa ujenzi wa bandari bagamoyo unatoka wapi.

Mzee Mangula hapa nadhani wa kumuuliza zaidi ni mwenyekiti wake ambae alisema ana habari njema kuwa wamefufua mazungumzo mradi wa bandari Bagamoyo.

Huu mshangao wa mzee Mangula una walakini ndani yake.

Chini nimeweka video Mama Samia akisema ana habari njema kuhusu ujenzi wa bandari bagamoyo, ngoja tuone panapovuja.

---

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula amewataka Watanzania kutohangaika na upotoshaji unaofanya na baadhi ya watu mitandaoni kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, na kwamba wamuache Rais Samia Suluhu Hassan afanye kazi yake ya kutekeleza mipango ya maendeleo.

Amesema hayo akizungumzia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani ambapo amebainisha kuwa bandari hiyo haijapitishwa kwenye ilani ya uchaguzi ya 2020-2025, hivyo hakuna sababu ya kuwapotosha wananchi, badala yake waunge mkono utekelezaji wa miradi iliyoahidiwa.

“Nashangaa huu mjadala unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” amesema Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru na kueleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.

“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.

Juni mwaka huu akizungumza na wafanyabiashara, Rais Samia Suluhu Hassan aliweka wazi kuwa serikali imeanza mazungumzo ya kufufua mradi wote wa bagamoyo ambao unajumuisha bandari na eneo la maalum la uwekezaji.

Akiwa madarakani, Hayati Rais John Magufuli alikataa kuendeleza mradi huo ambao mkataba wake ulisainiwa wakati wa uongozi wa mtangulizi wake, Rais Dkt. Jakaya Kikwete, kwa maelezo kwamba masharti yake hayakuwa rafiki na kwamba yangeliingiza Taifa matatizoni.


Hili Gazeti la Uhuru halijakoma tu? Sina hakika kama maneno haya kayatoa Mangula kweli au vipi lakini Ilani ya CCM 2015-20, Ukurasa wa 66 (Toleo la Kiswahili), kifungu Na. 41(Usafiri wa Majini) (d) Kuanza Ujenzi wa Bandari Mpya za Bagamoyo na Mwambani Tanga. Labda Mangula angetuambia Bandari hii ishajengwa kama Ilani ilivyoahidi?
 
M
Mzee Mangula anasema kwenye ilani ya CCM 2020-25 hawakuahidi bandari ya bagamoyo bali waliahidi ghati tu.

Hivyo anashangaa mjadala wa ujenzi wa bandari bagamoyo unatoka wapi.

Mzee Mangula hapa nadhani wa kumuuliza zaidi ni mwenyekiti wake ambae alisema ana habari njema kuwa wamefufua mazungumzo mradi wa bandari Bagamoyo.

Huu mshangao wa mzee Mangula una walakini ndani yake.

Chini nimeweka video Mama Samia akisema ana habari njema kuhusu ujenzi wa bandari bagamoyo, ngoja tuone panapovuja.

---

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula amewataka Watanzania kutohangaika na upotoshaji unaofanya na baadhi ya watu mitandaoni kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, na kwamba wamuache Rais Samia Suluhu Hassan afanye kazi yake ya kutekeleza mipango ya maendeleo.

Amesema hayo akizungumzia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani ambapo amebainisha kuwa bandari hiyo haijapitishwa kwenye ilani ya uchaguzi ya 2020-2025, hivyo hakuna sababu ya kuwapotosha wananchi, badala yake waunge mkono utekelezaji wa miradi iliyoahidiwa.

“Nashangaa huu mjadala unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” amesema Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru na kueleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.

“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.

Juni mwaka huu akizungumza na wafanyabiashara, Rais Samia Suluhu Hassan aliweka wazi kuwa serikali imeanza mazungumzo ya kufufua mradi wote wa bagamoyo ambao unajumuisha bandari na eneo la maalum la uwekezaji.

Akiwa madarakani, Hayati Rais John Magufuli alikataa kuendeleza mradi huo ambao mkataba wake ulisainiwa wakati wa uongozi wa mtangulizi wake, Rais Dkt. Jakaya Kikwete, kwa maelezo kwamba masharti yake hayakuwa rafiki na kwamba yangeliingiza Taifa matatizoni.


Mangula mnafiki sana yule mzee kama rangi yake. Si amuulize mwenyekiti wake wanafanya kazi ofisi moja?
 
Tukiwaambia ccm imesha pasuka, hamtuelewe.

Haya sasa, ngoma ndio kwanza imeanza.

Najua mama atapata wakati mgumu sana 2025
Hakuna kitu kama hicho as long as ameshima mpini hakuna mwamaccm wa kusema SU
 
Back
Top Bottom