Sio kweli ni 120yra yakizidi sana.Bible inasema Maisha ya Mwanadamu ni miaka 70. Kuwaachia watu wafanye kazi beyond their life span ndiyo tatizo linapokuja.
Kama Mangula anajua kuna tatizo kwenye huo mradi si aseme wazi wazi tu. Yaani yeye ni mtu kweli wa kumuogopa Maza. God forbid!
Mzee JK aliwahi kusema wana CCM hatuachiani hata gkasi ya maji mezani, ukipuuza imekula kwako.M
mtajuana wenyewe ccm fc
Ykaliyomkuta Mzee mweusi akitoka kikao cha Jiwe na polepoleMzee JK aliwahi kusema wana CCM hatuachiani hata gkasi ya maji mezani, ukipuuza imekula kwako.
Wenyeviti watatu,tangu kwa JKMzee Mangula anatambua vyema ubabaishaji wa chama chake cha CCM. Anatambua kuwa kwa muda mfupi amehudumu chini wa wenyeviti wawili tofauti wa chama chake.
Anatambua kuwa ijapokuwa wote wawili walikuwa ni mtu na makamu wake wa rais, na wote walishiriki kwa pamoja kuinadi ilani ya chama chao, lakini jambo la kuchangaza kwa sasa inadhihirika tofauti kubwa ya kimsimamo kati yao.
Hali hii ndiyo inamfanya kamarade Mangula kujaribu kuweka mambo sawa. Lakini inaonyesha kwa sasa Mwenyekiti Taifa aliyeko naye ameshaota mapambe, hutachelewa kusikia akiambiwa kuwa maoni yake ni "NONSENSE".
Mzee Mizengo Pinda eeeh! naomba uanze sasa kupiga jalamba, kutokana nguvu ya wapambe inakupasa kufanya hivyo. Naona imefika muda wako ya kutwaa mizigo ya kamarade Mangula.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Kauli ya JPM na CAG inamajibu,Halafu binafsi naamini ni CCM tu ndiyo itakayo tupa UKWELI wa suala hili la GHATI au BANDARI huko Bagamoyo na UKWELI juu ya aliyosema Kamanda wetu JPM kuhusu utata wa ujenzi na uwekezaji hapo Bagamoyo wa hiyo inayosemwa sasa na kupigiwa UPATU na kila mtu toka Serikalini hapo IKULU hadi huko BUNGENI, ambako wengi wao waliupinga sana huo Mradi, yaani walikubaliana na Kamanda wetu JPM LAKINI leo wamegeuka U -TURN na kuunga mkono Mradi huo na hapo hapo wakimkana Kamanda wetu JPM. What A SHAME ON THESE PEOPLE!
Hana cha kupoteza.Mzee Mangula ana nafasi ya kumuona mwenyekiti wake muda wowote tena kwa jambo lolote...
Mwenye ni dhamu ndaninya ccm ni nani?Mzee Mangula ana nafasi ya kumuona mwenyekiti wake muda wowote tena kwa jambo lolote.
Inashangaza mzee Mangula anaongea na waandiahi wa habari kupinga/kuhoji maagizo na maelekezo ya mwenyekiti wake kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo...
Hamad Maalim OmarHana cha kupoteza..
Mpemba gani atatufaa kwa hii nafasi?
Kwa Taarifa yako Mangula anaweza kuanzisha vuguvugu la kumtoa Rais na likafanikiwa.Tuliwaambia toka mwanzo watenganishe kofia hizi wakagoma, sasa unapata wapi nguvu ya kumpinga Mwenyekiti wako wa chama ambaye ndiye Rais wa nchi na amri jeshi mkuu nje ya vikao vya chama.
Huyu mzee naona waliomshauri wamekosea sana.
Basi atulieHana cha kupoteza..
Achukue jahazi mapemaHamad Maalim Omar
sahau ndugu, sahau kabisa, kwa mfumo wetu na katiba yetu Rais huwezi kumfanya chochote, sana sana utaishia kuumia.Kwa Taarifa yako Mangula anaweza kuanzisha vuguvugu la kumtoa Rais na likafanikiwa.
Nyie jamaa bana, haya mambo ndio yalifanya jiwe akosee kabisa. Kina makamba na kinana walivyompinga aliwashughulikia Ila wote tulisema haikua sawa.Tuliwaambia toka mwanzo watenganishe kofia hizi wakagoma, sasa unapata wapi nguvu ya kumpinga Mwenyekiti wako wa chama ambaye ndiye Rais wa nchi na amri jeshi mkuu nje ya vikao vya chama.
Huyu mzee naona waliomshauri wamekosea sana.
ππππ mzee Mangula hapimi alama za nyakati anafikili Mzee Mkapa bado yuko hai au Magufuli.Mzee Mangula ana nafasi ya kumuona mwenyekiti wake muda wowote tena kwa jambo lolote.
Inashangaza mzee Mangula anaongea na waandiahi wa habari kupinga/kuhoji maagizo na maelekezo ya mwenyekiti wake kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo .
Alichokifanya mzee Mangula siyo desturi, siyo utamaduni na ni kinyume na kanuni na taratibu za Chama Cha Mapinduzi.
Mzee Mangula aitwe, ahojiwe na apewe kalipio kali. Kama akikaidi avuliwe uanachama.
Sawa Mkuu. Point yangu ni kwamba hawa Wazee hawana faida kwa Taifa.... Wamekuwa ni waoga kuliko hata watoto wa Form 2. This is not right.Sio kweli ni 120yra yakizidi sana.
Weee! Atakifanyia wapi? Kwa nguvu gani?Kwa Taarifa yako Mangula anaweza kuanzisha vuguvugu la kumtoa Rais na likafanikiwa.