Makamu Mwenyekiti CCM, Mzee Mangula: Bagamoyo tuliahidi kujenga Gati sio Bandari

Tuliwaambia toka mwanzo watenganishe kofia hizi wakagoma, sasa unapata wapi nguvu ya kumpinga Mwenyekiti wako wa chama ambaye ndiye Rais wa nchi na amri jeshi mkuu nje ya vikao vya chama.

Huyu mzee naona waliomshauri wamekosea sana.
Hatuna Raisi, nchi ipo kwenye auto-pilot
 
Suala la bandari ya Bagamoyo ni suala la kitaifa, yaani ni maslahi ya taifa. Ikiwa na maana kwamba mradi ukipitishwa ukafanikiwa utakuwa na manufaa kwa taifa, ukiwa na hasara, huo mzigo wa hasara wanabebeshwa wananchi.

Ikiwa kweli mkataba ulijadiliwa na wabunge 60 tu, je kwa nini wengine hawakushirikishwa? Kwa nini iwe hivyo? kuna siri gani?
 
Weee! Atakifanyia wapi? Kwa nguvu gani?

Alisulubiwaga na Kikwete huyu mzee akaenda kulima nyanya kwao Matibhila Iringa huko. Mbona hakuthubutu kumwondoa Kikwete?
Why alirudishwa?

Za chinichini ni kuwa Kikwete alitaka kupinduliwa, Mangula na wazee kadhaa wakasaidia jahazi...
 
Huyu mzee badala ya kuongelea mambo ya msingi ya hitaji la nchi yaani Katiba mpya, yeye anamshambulia mwenyekiti wake tena hadharani - protocol gani hii.
 
Bible inasema Maisha ya Mwanadamu ni miaka 70. Kuwaachia watu wafanye kazi beyond their life span ndiyo tatizo linapokuja.

Kama Mangula anajua kuna tatizo kwenye huo mradi si aseme wazi wazi tu. Yaani yeye ni mtu kweli wa kumuogopa Maza. God forbid!
Kufikia hatua ya kutoa kauli kama hiyo hadharani basi jua hiyo bandari haitajengwa ,huyu katumwa kusema aliyoyasema na nimsimamo wa chama na vyombo vya ulinzi itakua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hivi Kikwete au sijui Mzee wa Msoga yeye ni immortal ? Yaani hawezi kufa au hatofariki ? Kwa nini mnaweka matarajio mengi sana kwa Binadamu ambaye ana nyama na damu tu ?

Chochote kinaweza kutokea, hao Wazungu wanaweza kuwachenjia muda wowote tu, …
 
Tusubiri tuone may be with our noices and concern wanaweza kufanya hivyo kwa nia na lengo la kuonyesha kuwa wao, yaani Bunge na Serikali, ni WASIKIVU!
 
Bible inasema Maisha ya Mwanadamu ni miaka 70. Kuwaachia watu wafanye kazi beyond their life span ndiyo tatizo linapokuja.

Kama Mangula anajua kuna tatizo kwenye huo mradi si aseme wazi wazi tu. Yaani yeye ni mtu kweli wa kumuogopa Maza. God forbid!
Waliomuwekea sumu si hao hao viongozi wenzake, lazima awe na hofu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Waliomuwekea sumu si hao hao viongozi wenzake, lazima awe na hofu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Tatizo la kuendeleza Madaraka wakati muda ushapita.

Hapo alipowekwa ni strategy ya CCM kuonyesha kuwa bado kuna Wazee wanaipa direction CCM. But in reality this is not happening, wanatumiwa. Anachofanya ni kujitutumua kuonyesha kuwa bado yupo na ana nguvu but in reality wote tunajua kuwa Mwendazake alishawamaliza.
 
Acha uzushi ww........
 


Ni hivi, nguvu ya Rais ni kubwa sana lakini pia inategemea, chama chako kiko na wewe, asilimia fulani ya wananchi wako na wewe. Ukipoteza hivi viwili Chama na Raia utategemea kitu kimoja Jeshi, usalama, polisi.

Hao pia ni raia, wanaona ugumu wa maisha, ubaguzi, kiburi, wanatukanwa kila siku directly or indirectly, wenyewe na ndugu zao wanaumia na ugumu wa maisha kwa maamuzi yasiyo sahihi.

Watavumilia, ila itafikia sehemu, wakati(Tipping, critical point) mambo yatakuwa hayavumiliki.
 
Hiki chuma cha puwa kina itwa Mangula ni moja ya chuma kina tisha sana. Yani hata akiondoka nikama ccm inakaribia mwisho. Sijuwi ana siri gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…