kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,965
Mapovu ya nn wewe ni NECChamsingi asiombe kura basi, akitaka aende na jolly club akaongee na madada poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapovu ya nn wewe ni NECChamsingi asiombe kura basi, akitaka aende na jolly club akaongee na madada poa
Tulia bintiWananchi wa kawaida wanajua kavunja sheria ya ya tume na hivyo kumuona mkaidi wanaojua kama hajakosea ni wasomi wachache ambao wengi wao hata kupiga kura huwa hawaendi!!!! si rahihi kukuta wakili au jaji kapanga foleni anapiga kura.Kundi analotaka kulionyesha ni much know halina impact sanduku la kura!!
Watu wa chini ni law abiding wasiotaka mivutano yoyote na serikali .Namwelewa Lisu anataka kujionyesha guru wa sheria kwa kuwa mjeuri wa sheria!!! lakini kwa nani hasa anaotaka kuwaonyesha??? ni wavaa suti wa mahakamani na senior government officials ambao impact yao sanduku la kura ndogo wananchi wa kawaida wanajua kafungiwa ila mjeuri anadharau mamlaka anayetaka kutumia wananchi wa kawaida kama political shield ya ujeuri wake.
Unaweweseka sana mkuu... Meza wembe... Tinadili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tinadili na huyo kibaraka wenu
I am commenting for the first time.. u have made my day Sir!!IAM so happy today ..nasikia alienda kununua nyanya Kariakoo halafu anaenda kumununulia mkewe nguo Karume baadae akaenda kumkatia tiketi shangazi yake Ubungo. teh teh polisi kazi mnayo
Hata yale mabango ya Magufuli barabarani hayaombi Kura. Lissu hana haja ya “kuomba kura” muda huu.Chamsingi asiombe kura basi, akitaka aende na jolly club akaongee na madada poa
Unapenda siasa huku unajijua una hasira!!Wewe choko, ebu pambana na uchoko wako.
Ukisema upo kwenye kile chama cha machoko utapungukiwa nini ?
Korofi haswaa sijui alivyokua mdogo alikuaje, halafu kabishiiiIla Lissu mkorofi sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Bint Lowassa umebadili user name?Korofi haswaa sijui alivyokua mdogo alikuaje, halafu kabishiii
Unanifananisha sijui, au kampeni za Lissu zinakuchanganyaBint Lowassa umebadili user name?
Sasa huyo mzee wa faragha anifanye nimeze wembe?Unaweweseka sana mkuu... Meza wembe... Tinadili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lowasa na Mbowe wakiona haya maigizo ya Lisu wanacheeka!Aise kuna watu walienda shule kuelimika lissu ni kiboko jamaa ni genius,kesho atakuwa ubungo kumkatia shangazi yake ticket
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Ukiwa na akili kubwa huwezi kushindwa na akili ndogo. Hapo hajavunja sheria ya uchaguziIla Lissu mkorofi sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Watu wa dar wapo nae,moja ya mbeleko za chama mbogamboga ndio iliyochemka walijua wanamkomoa kumbe wanamjenga zaidi.Safari hii Lissu hataishia sokoni tu ataenda hadi vyoo vya public kutafuta kura
DAR wamemfanya kitu kibaya