TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

... Tanzania ndio nchi kwanza Afrika kumpoteza kiongozi wa ngazi ya juu zaidi - Makamu wa Kwanza wa Rais ni mtu mzito sana! Corona is real; tuachane na porojo za wanasiasa; tuchukue hatua. Hakika kondoo wamekosa mchungaji; kila mmoja na lwake!
 
Tanzania hakuna Corona, ipo ila kidogo tu, hatujasema hakuna Corona tunasititiza kutokutumia chanjo ambayo haijafanyiwa majaribio, nimezunguka hospital hakuna msongamano wa watu, watu walioko huko ni wagonjwa wa kawaida, blah blah nyiiingi huku tunaendelea kufa. MUNGU tuhurumie sisi wajinga
 
Iko shida kidogo hapa...

Wanapitia kwenye sababu ya Corona tu

Ukiwa critics dhidi yao na wakakuona ni tishio. Wakajaribu njia zote kukutoa kwenye reli wakashindwa, basi watakujia utengeneze urafiki nao....

Kuwakubalia, hilo linakuwa kosa kuu. Remember, the devil had never been a friend to any human beings...!

Seif asingekuwa kwenye mapatano hatari yanayoitwa GNU, asingekufa sasa. Alikuwa na maisha marefu sana sawa na Ally Hassan Mwinyi...who is over 90 yrs old now...

Kufanya urafiki na watawala wa awamu hii ya CCM bila kinga ya Mungu, basi tambua kabisa kuwa unasaini hati ya kifo chako tu...

They pretends to be friends. But they are absolutely murderers....

Maalim Seif Shariff Hamad, Mungu akuweke mahali unapostahili...
 
Naona leo umetulia na kuacha mambo ya itikadi,hongera sana
Suala la Maalim Seif kuwa mpinzani makini sio jambo la kiitikadi. Hilo mpaka viongozi wa juu wa vyama vingine wanalijua.

Alafu kumbuka mimi sio mfuasi wa siasa za vyama. Mimi ni mzalendo kwa Tanzania.
 
Apumzike kwa amani mzee wetu na alipost kwenye twitter yake kuwa ana Corona Inalilah wainayilah rajoon
 
Kwani kuzikwa kwa heshima ndo kukoje?
Mizinga ya kutosha kulipuliwa,jeneza kuwekewa bendera ya taifa,wimbo wa taifa la Zanzibar kupigwa na probably malaika watakuwa tayari kumpokea.
 
Mkuu watu wanapona sana tu, kuna mbibi wa miaka 117 kule ufaransa aliugua covid 19 na akapona...!
 
Back
Top Bottom